Singida: Wananchi Wakubali Malazi Bora Katika Bora Mazingira-Sehemu ya Pili.

Sehemu ya kwanza ya makala hii ilitazama kwa ujumla harakati za wakazi wa Singida hususani katika wilaya ya Iramba wanavyojitahidi kujenga makazi bora kwa kutumia matofali ya kuchoma na kuachana na nyumba za asili aina ya tembe. Katika wilaya ya Iramba, ujenzi wa makazi bora umekuwa na athari kubwa sana katika mazingira kutokana na ukweli kuwa, uandaaji wa matofali unahusisha uharibifu mkubwa wa mazingira.

Mbali na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na kukata miti ili kupata kuni za kuchomea matofali, lakini pia kwa bahati mbaya sana tabaka la juu la udongo ndilo ambalo hutumiwa katika kuandaa matofali.
 Uharibifu huu umepelekea maeneo mengi kuwa na mashimo yanayosababisha mmomonyoko wa udongo na pia wananchi kushuhudia mabadiliko ya hali ya hewa yasiyotarajiwa.

Nilipata bahati ya kutembelea moja ya msitu wa asili ulioko katika kijiji cha Kyalosangi kata ya Kinampanda wilayani Iramba na kushuhudia uharibifu mkubwa wa msitu huu. Picha hapa chini inaonesha angalao mandhari nzuri ya msitu huu wa asili. bila shaka kila mmoja angependa kuona msitu huu ukiendelea kuwa na mandhari hii ya kuvutia.


Mbali na msitu huu kuharibiwa na watu wanaotafuta kuni kwa ajili ya kuchomea matofali, lakini pia miti hukatwa kwa wingi kabisa kwa ajili ya kuandalia mkaa, kujengea nyumba za watu za kuishi, mabanda ya mifugo pamoja na kuni kwa ajili ya kupikia. Tazama picha zifuatazo zikionesha shughuli mbalimbali za kiuharibifu katika msitu huu wa asili.







Miongoni mwa madhumuni ya kukata miti hii, kama nilivyotangulia kusema ni kwa ajili ya kuandalia mkaa, kuchomea matofali kwa ajili ya kujengea nyumba, kujengea mabanda ya mifugo, hususani mabanda ya nguruwe. Picha zifuatazo zinaonesha maeneo mbalimbali ambayo mkaa ulichomwa.





Picha hapa chini inaonesha miongoni mwa mabanda ya nguruwe yanayojengwa kwa kutumia fito nyingi na hivyo kuhitaji miti mingi kukatwa kwa ajili ya ujenzi wa mabanda ya aina hii.


Lakini pia, mbali na ujenzi wa mabanda ya mifugo, lakini miti hutumika kwa wingi kabisa katika ujenzi wa uzio majumbani kama picha zifuatazo zinavyoonesha.



Pia, ukataji wa miti kwa ajili ya kuni za kupikia ni miongoni mwa shughuli zinazochangia uharibifu mkubwa wa msitu na hatimaye mazingira kwa ujumla. Tazama picha zifuatazo.




 Kama nilivyokwishagusia, uharibifu huu umepelekea maeneo mbalimbali kuachwa  yakiwa wazi, hivyo kusababisha hali ya ukame na pia mmomonyoko wa udongo unaotisha. Wakati wa mvua, maji ya mvua huaribu tabaka la juu la ardhi na kuiacha ardhi ikiwa na mitaro na makorongo kama picha zifuatazo zinavyoonesha.







Huku uharibifu wa misitu inayosaidia katika kuleta mvua na kuhifadhi mazingira ukiendelea, hadi sasa hakujakuwa na juhudi za dhati za kukomesha shughuli hizi zinazohatarisha misitu na zinazopelekea uharibifu wa mazingira.

Comments

Anonymous said…
The gods have the freedom to rapidly accelerate global warming because of unregulated Chinese industrialization. And they are using it.
Whereas US industrial regulation combined with automotive smog devices had contained emmissions, the shameful emmissions at the hand of the Italians which allocated the financing of chinese growth will ultimately kill our planet
The gods must abjectly hate the Italians:::They ruined our cultures, eliminating Old Worlds around the globe, they destroyed our societies and now they will be used to ruin the planet.
Intelligent design:::Everything the gods do has purpose. There was purpose in the Italian boot, the Scandanavian penis, the sheep of Europe and the SFBA Beast. Chinese/Asian slanted eyes is yet another. Designed to make them/some look evil, they are a warning to other races. What is occurring with enviornmental degredation is living proof and may be the reason why they have this appearance.
Never forget the shameful experience we each had in 2008 when the Chinese desperately tried to clean up the envionment in Beijing.

Recall the $5 trillion Republican scam where W set up the evil Democrats to sign the credit card receipt.
Expect some portion of the $5 trillion stolen from the United States creatively went to the Catholic Church, positioned to bitterly complain they lost their affluent white parishoners for poor Latinos and the US is all their doing anyways.
I always suspected there has been a skim on the US General Fund (1/3) all along. And the gods are using these clone host fakes to kill Planet Earth::::The puppeteer pulling the strings, ironically.

Jesus is a false god.
There is no Satan. The world around us is all the god's doing:::You have to be tested with temptation.
Christianity is a test.
Muslim misery? The gods claim they are trying to "help you". The gods control everything, choreograph all that we see, including Isreal's relationship with Palestine, an "obligation" for their money-grubbing acceptance of the Evil Empire's billions. They also control the Italians, victims of the Moorish invasion/rape of their women, positioned in charge of this false reality through Christianity.
The gods created all this to position this reality you experience today.
"Earning" is temptation. It is a lie leading people into Damnation. Any hope of the Muslim world regaining the power they once had is long since over and it will never, ever return. Their acts 0f terrorism are only hurting them in the eyes of the gods.
The gods claim they are trying to "help you", but they also stoked your pride with your regional superpower status of centuries ago, rendering their efforts today merely destructive, a very bad sign. This means the gods have major problems with your people.

I believe the gods relocated the Jews to another planet before the Holocaust began to give them additional time before Earth fell into the social decay Christianity and the United States is responsible for. I suspect this favor included some/many of the Native America peoples as well.
Unfortunately for Muslims you didn't have the favor necessary to be allowed such generosity. I believe it is due to your mysogyny, your belief women are inferior to the men. This does not include veiling, which is a positive for the people and helps maintain decency within your society.
Orthodoxy is always the best course of action because, as I have repeated, old is mostly good and a little evil, while new is mostly evil and a little good. This applies to Islam as well.

As we all become more disfavored We lose our grace with the gods and with it protection from their theater, the positioning they put in place to end on Planet Earth.
The definition of irony::::As the Muslims made the Jews feel unwelcomed in the Middle East so will the Muslims experience the same when the Italian's Chinese-based global warming makes the Middle East uninhabitable, centuries-old revenge for the Moorish invasion/rape, plus a lot of other things I suspect.


Anonymous said…
Just as the gods used WWII to justify an influx of new technologies, including the voice in your head, so will they use the impending pestilence which kills over half the world's population to justify historical medical advances, including the "cure of aging", initiating the "1000 years with Jesus on Earth", despite biotechnology already accomplishing these goals.
We've seen this tactic used recently with AIDS, targetted at homosexuals and blacks in Africa with the biotechnology product. The gods control everything on Earth, and althugh sold AIDS to your enemies as revenge, their real purpose was to enlighten you regarding sex:::Back-handed help. It was very effective with homosexuals in the USA, but sex is among the most powerful temptations with Africans. Remeber it is always the gods:::Slavery, AIDS, drive-bys, crack babies, pimps prostituting 10 year-old girls. And, contrary to your belief the victim doesn't go anywhere, they are reincarnated back to Earth like everyone else when we die.
Then, as promised, The End will come with fire::::Global tectonic subduction.

There was a very real perception that bi-racial was much worse for the white than it was for the person of color. The liberal culture, which was designed and promoted with the god's tools to achieve their Apocalyptic goals, screamed racism when there was a very reasonable explanation for this reality::::
In this white punishment known as the United States the person of color has already adopted the disfavors/temptations intended for another race. But by associating/mating with a person of color the white is newly adopting the disfavors of another culture.
And this is the reason why people of color are not welcome in the United States. The gods control everything:::The perception they want to create, the thoughts they want you to have.
People of color can't recover from absorbing the temptations from two cultures. And why they become more and more like so many blacks in America:::Veterans at absorbing the temptations of two cultures.
To further illustrate this is why California's educational system/funding was ranked #1 when California was white:::Education being the basis of the affluent economic system. Now even public higher education has become unaffordable.

Don't forget the lessons the 'ole white preacher taught:::Dancing is a sin, spare the rod spoil the child.
The gods used the liberal tool to ridicule away so many taboos, paving the way for the decay of society and ultimately the End Times::::::
Black behavior was controlled by the KKK. Men's behavior was controlled by marriage for thousands of years.
When married by 15 men never gained the taste of promiscuity. Once the gods used the budding liberalism tool the men set the tone for the deteriorating enviornment centered around their gross disfavor.
Women's relinquishing control of pre-arranged marriage will be what costs mankind everything in The End. It's all their fault. Men are pigs, essentially just primally responsive disfavored beings who if given the freedom will abuse based on the impulses the god's push them into. Whereas under pre-arranged marriage this behavior was contained now the promiscuous fraternity house epitomizes the pinnicle of what a "real man" should be like. And sadly the women fall into line.

The gods behave monsterously in the course of managing Planet Earth but they demand people be good if you are to have a chance to ascend in a future life.
Not only is doing the right things important (praying, attoning for your sins, thinking the right way:::accepting humility, modesty, vulnerability), so is avoiding the wrong things important as well:::"Go and sin no more".
You NEED active parents who share wisdom to have a real chance to ascend into heaven in a future life, and you MUST be a good parent as well to have that opportunity. Once your children have been raised something changes, something has been decided about you. This is exactly that.


Popular posts from this blog

Mambo Makuu Manne ya Kuzingatia ili Kufanya Upimaji Endelevu Wenye Tija

Mambo Muhimu ya Kuzingatia Katika Kuboresha na Kuongeza Ufanisi wa Shule.

Kubadilika kwa Mitaala: Walimu na Wanafunzi Wabadilike kwa Namna Gani?