Posts

Showing posts from April, 2018

Namna ya Ujifunzaji ni Moja ya Changamoto kuu ya Elimu Yetu.

Image
Mwalimu Hottish wa Shule moja huko Ghana Akichora Kitumizi cha Microsoft Word kama namna ya kuwasaidia wanafunzi wake kujifunza. Picha kwa hisani ya www.MillardAyo.com Mjadala wa kujadili mustakabali wa Elimu yetu umeitishwa. Bila shaka ni kutokana na mwenendo usioridhisha wa elimu yetu.  Elimu yetu inaonekana kutokukidhi mahitaji ya watanzania na Taifa kwa ujumla. Hata hivyo, kabla ya kufika mbali, wadau wa elimu-walimu, wanafunzi, wazazi, raia, viongozi, n.k wanafahamu bayana kuhusu matarajio ya elimu inayotolewa? Kwa mini tunasema   elimu yetu imezorota? Wanafunzi kufeli sana? Mazingira ya kufundishia na kujifunzia kuwa magumu (sana)? Tunahitaji elimu itusaidie kufika wapi kama watanzania na kama Taifa?Pengine maswali haya yabaki kama sehemu ya kuchochea mjadala wa wa kitaifa kuhusu elimu nchini kwetu.  Makala haya yanalenga kushirikisha uzoefu wangu wa darasani na kuonesha angalao moja ya maeneo ambayo, yakifanyiwa kazi vizuri, yanaweza kuifanya elimu yetu ikapigiw

Popular posts from this blog

Mambo Makuu Manne ya Kuzingatia ili Kufanya Upimaji Endelevu Wenye Tija

Mambo Muhimu ya Kuzingatia Katika Kuboresha na Kuongeza Ufanisi wa Shule.

Kubadilika kwa Mitaala: Walimu na Wanafunzi Wabadilike kwa Namna Gani?