Posts

Showing posts from February, 2009

WENGI HUWA HAWANA MALENGO YA KUWA WALIMU, WANALAZIMIKA.

Kulingana na tafiti niliyoifanya siku za hivi karibuni,niligundua kuwa asilimia kubwa ya waalimu wa kuanzia shule za msingi ,sekondari na hata vyuo hawakupenda kuwa walimu.Walilazimika kuwa walimu baada ya malengo yao mengine kama ya kuwa madaktari,mainjinia,wahasibu,wanasheria n.k kushindwa kutimia kutokana na kushindwa kufaulu vizuri ktk mitihani ya mwisho ya taifa kuanzia ile ya darasa la saba(kwa zamani), form four na ile ya kidato cha sita. Hata hivyo hali ya kusikitisha ni kwamba walimu wengi wanachukulia kuwa ualimu ni daraja tu na wanaamini kuwa ipo siku wataachana na kazi hiyo kwa kujiendeleza kusoma na hatimaye kufikia malengo yao ya awali.Hii hupelekea mashuleni kuwepo na walimu wasio na nia,yani bora liende,yani amekuwa mwalimu kwa sababu ilibidi.Hili liko wazi kabisa kwani waalimu wengi wameshajiendeleza na wengi wameshakuwa wahasibu,wanasheria na kadhalika. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba hata jamii inaunga mkono hali hii.Mtoto anaweza kuwa na malengo ya kuwa mwalimu,lkn

Popular posts from this blog

Mambo Makuu Manne ya Kuzingatia ili Kufanya Upimaji Endelevu Wenye Tija

Mambo Muhimu ya Kuzingatia Katika Kuboresha na Kuongeza Ufanisi wa Shule.

Kubadilika kwa Mitaala: Walimu na Wanafunzi Wabadilike kwa Namna Gani?