<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108</id><updated>2012-02-03T02:48:44.515+03:00</updated><title type='text'>"Mwangaza"</title><subtitle type='html'>Sala zipo nyingi, lakini hii ya KUJALI UTU ndio sala iliyo na nguvu kuliko sala nyingine yoyote.</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>72</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2211601295952801537</id><published>2011-11-15T10:46:00.000+03:00</published><updated>2011-11-15T10:46:59.663+03:00</updated><title type='text'>Kutana na MAEMBE AND THE SPIRITS; wakupe CHANJO YA RUSHWA.</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Ni ukweli usiopingika kuwa,Tanzania ya sasa inagubikwa na wimbi la &lt;b&gt;WANAHARAKATI&lt;/b&gt; wa kila aina kuanzia wa kisiasa, kiuchumi na wale wa kijamii. Kimsingi katika nyanja zote za maisha ya mwananchi wa tanzania, wanaharakati wametokea kuonesha mapambano, na mara nyingi yamekuwa ni ya kujaribu kuzirekebisha taasisi au asasi husika ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zkionesha dalili ama moja kwa moja kuonesha kupindisha haki, kunyima demokrasia, kuzuia ukuaji wa uchumi wa nchi na maendeleo ya wananchi na matakwa ya watanzania kwa ujumla. &lt;br /&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;br /&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;Maembe And The Spirits&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;, ni miongoni mwa wanaharakati walioamua kujitosa katika msitu wenye simba wengi katika harakati za kukabiliana na tatizo sugu la RUSHWA nchini Tanzania na kwingineko duniani. Kikundi hiki, kikiongozwa na bwana Vitali Maembe, kwa kutumia nyimbo mbalimbali wanazotunga wenyewe pamoja na majadiliano ya wazi, kimeamua kwa gharama zao, kutembelea maeneo yote ya Tanzania ili kuwaelimisha watanzania mambo mbalimbali yahusuyo rushwa yakiwemo &lt;b&gt;madhara, vyanzo na namna ya kuepukana na kansa hii sugu&lt;/b&gt; iliyomea katika damu za watu na inoyoonekana kushindwa kutibika kirahisi. Maskani yao hasa ni Bagamoyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Harakati yao hii wanayoiita &lt;i&gt;&lt;b style="color: red;"&gt;CHANJO YA RUSHWA&lt;/b&gt;&lt;/i&gt; inayobeba ujumbe &lt;i style="color: blue;"&gt;&lt;b&gt;"kuiba,&lt;/b&gt; &lt;b&gt;kutamani kuiba,kuweka mali ya wizi,kumficha mwizi, kumtamanisha mwizi ni kosa la wizi"&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;. Wanamaliza kwa kusema kuwa, &lt;i&gt;&lt;b style="color: blue;"&gt;"Rushwa ni Adui wa haki na maendeleo"&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;. Kwa maneno mengine, &lt;i&gt;&lt;b&gt;Maembe and The Spirits,&lt;/b&gt;&lt;/i&gt; wanatuambia kuwa, &lt;b&gt;&lt;i&gt;kula rushwa, kutamani kula rushwa,kumficha mla rushwa, kumsabibishia mtu kula rushwa ni Rushwa.&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi sasa wanaharakati hawa wameshatembelea katika Taasisi, wanajamii na Asasi&amp;nbsp; nyingi za hapa nchini wakitoa chanjo hii ya rushwa kwa njia ya nyimbo. Haya ni mafanikio makubwa. Kwa kuwa wanaelimisha jamii kwa njia ya njimbo, pia wanapata fursa ya kuiburudisha jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama inavyojulikana, vita dhidi ya rushwa ina maadui wengi kwa kuwa wafuasi ni wengi wasiopenda kuingiliwa. Hivyo,mbali na mafanikio waliyokwishayapata, changamoto nazo zimekuwa ni sehemu ya harakati zao. Siandiki hili kwa utashi wangu lakini mbali na kukutana na wanaharakati hawa na wakaweza kueleza miongoni mwa changamoto wanazokabiliana nazo katika harakati zao za kuikabili rushwa, Bwana Vitali Maembe ameeleza &lt;a href="http://chanjoyarushwa.blogspot.com/2011/11/mapambano-kupinga-mapamabano.html" target="_blank"&gt;&lt;b&gt;hapa &lt;/b&gt;&lt;/a&gt;katika blogu yao waiitayo&lt;b&gt;&lt;i&gt; &lt;a href="http://chanjoyarushwa.blogspot.com/" target="_blank"&gt;CHANJO YA RUSHWA&lt;/a&gt; &lt;/i&gt;&lt;/b&gt;miongoni mwa changamoto hizi wanazokabiliana nazo. Changamoto nyingine ni pamoja na nyimbo zao nyingine kutopewa nafasi katika baadhi ya vyombo vya habari na kushindwa kuzifikia baadhi ya taasisi kutokana na vikwazo wanavyokumbana navyo vinavyotokana na taasisi husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika kazi wanayoifanya ni kubwa na ikizingatiwa kuwa wanajitolea. Tuwaunge mkono kwa kila hali katika harakati za kutokomeza kabisa Rushwa hapa nchini. Nimalizie kwa kusema kuwa, &lt;b&gt;&lt;i&gt;tabia inabadilika, rushwa ni tabia, hivyo tunaweza kubadili mitizamo yetu kwa kuikataa rushwa katika mazingira yote&lt;/i&gt;&lt;/b&gt; kama wasemavyo Maembe and The Spirits kuwa &lt;i style="color: blue;"&gt;&lt;b&gt;kuiba,&lt;/b&gt; &lt;b&gt;kutamani kuiba,kuweka mali ya wizi,kumficha mwizi, kumtamanisha mwizi ni kosa la wizi.&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;i&gt;&lt;br /&gt;&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;&lt;i&gt;&lt;br /&gt;&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2211601295952801537?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2211601295952801537/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2211601295952801537&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2211601295952801537'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2211601295952801537'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/11/kutana-na-maembe-and-spirits-wakupe.html' title='Kutana na MAEMBE AND THE SPIRITS; wakupe CHANJO YA RUSHWA.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2882122095627327257</id><published>2011-07-27T13:19:00.000+03:00</published><updated>2011-07-27T13:19:22.462+03:00</updated><title type='text'>Hii ni Sayansi au Imani?</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;&lt;div style="text-align: left;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-Fi6O1yZaAEY/Ti_lhnjmG_I/AAAAAAAAATk/K716wjJMymA/s1600/picha+mpya.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="http://1.bp.blogspot.com/-Fi6O1yZaAEY/Ti_lhnjmG_I/AAAAAAAAATk/K716wjJMymA/s320/picha+mpya.JPG" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Kuna mambo mengine katika hali ya kawaida, tunayatenda lakini kuyaelezea inakuwa vigumu. Tunatumia dawa na kusubiri kupona. Wengine wanatumia chakula na kusubiri wapate nguvu na kuona miili inajengeka. Maelezo ya nini kinatokea hadi haya yanafanyika, mara nyingi yanakuwa si muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Picha hapo juu, inaonesha gunzi likiwa limefungwa kwenye shina na mpapai. Madhumuni ya gunzi hili ni kuzuia mpapai usiwe dume kwa maana ya kutoa maua ambayo yatatoa mapapai yasiyo ya kawaida na ambayo hayatafaa kuliwa.Nami nilishawahi kutumia njia hii miaka fulani iliyopita. Ni kweli mipapai ilikuwa inabadilika; kutoka mipapai dume na kuwa mipapai yenye kutoa mapapai mazuri yenye kufaa kula. Mapapai dume huwa yanakuwa marefu isivyo kawaida na huwa hayafai kula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninachojiuliza hapa ni kuwa, gunzi hili linafanyaje kazi? Labda hii ni Sayansi na pengine yapo maelezo ya kinachotokea. Au labda, hii ni imani. Kwa maana kuwa gunzi halina msaada wowote, kwamba kingine chochote kingeweza kufungwa na muhusika akaamini kuwa mpapai ule utabadilika na kuwa jike. Si haba pia kufikiri kuwa kama hii ni imani, basi hata matumizi ya gunzi ni sehemu ya imani hiyo. Kwamba imani haitafanya kazi kama gunzi halitahusishwa.&lt;br /&gt;Binafsi nilishatumia njia hii na ikafanya kazi, lakini maelezo sina. Sijui kama ni Sayansi, au ni imani. Hebu tuwaachie wataalamu (kama mzee wa Mitiki) na wengine wote wenye ufahamu na mambo haya wapate kutuondolea dukuduku hili ili hatimaye tupate kujua kama hii ni Sayansi au ni Imani.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2882122095627327257?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2882122095627327257/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2882122095627327257&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2882122095627327257'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2882122095627327257'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/07/hii-ni-sayansi-au-imani.html' title='Hii ni Sayansi au Imani?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-Fi6O1yZaAEY/Ti_lhnjmG_I/AAAAAAAAATk/K716wjJMymA/s72-c/picha+mpya.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2106145001949268639</id><published>2011-06-25T07:22:00.001+03:00</published><updated>2011-06-25T07:30:03.760+03:00</updated><title type='text'>Pengine haikuwa busara kuwafukuza; labda harakati za kutafuta haki na usawa wa binadamu.</title><content type='html'>Tanzania tunakaribia kuadhimisha miaka hamsini ya Uhuru. Lakini kwa hali duni ya kiuchumi na kisiasa ilivyo, haitamnyima raia wa kwaida kabisa kuamini kuwa uhuru hauna maana kwake. Tazama vita kati ya wananchi na wawekezaji (wakoloni wa kizungu wa karne ya leo) unavyogharimu maisha ya watanzania. Umeme umekuwa ni tatizo sugu ambalo linaweza kutatulika. Waandishi wa habari wanakosa uhuru wao wa kufanya kazi. Haishangazi sana kwa wafanyakazi wa umma kufanya kazi nusu mwaka, mwaka mzima na hadi miaka bila kulipwa stahiki zao ikiwemo mishahara yao. Huu ni utumwa. Inaashiria kuwa bado tuna haja ya kuutafuta uhuru ambao tunadhani tayari tunauogelea.&lt;br /&gt;Hali ya utumwa unaoendelea Tanzania unanifanya niamini kuwa, kwa  kuwafukuza wakoloni wa kizungu haikumaanisha kuwa tulipata uhuru na hivyo tukawa huru. Nadhani tulipaswa kutambua tu kuwa, waafrika asili yetu ni Afrika na ili tuwe huru hakukuwa na umuhimu wa sisi (waafrika) kuishi peke yetu(kujitenga) kama ishara ya kuwa huru. Hata hivyo jambo hili halijawezekana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi ninaona ni bora harakati za kutafuta haki za binadamu zingepewa kipau mbele kuliko kutafuta uhuru kwa kuwafukuza wale walioonekana kuficha na kuwakosesha uhuru wazawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashangaza kidogo kwani wale tuliowafukuza katika harakati zetu za kutafuta uhuru, ndio haohao leo hii wamekuwa ndio kimbilio letu. Leo hii tunawafuata na kuwaomba waje kwetu kutusaidia kutumia rasilimali zetu; wawezeshe mipango ya muda mrefu na mfupi kwa kuwa wahisani wetu katika bajeti ya serikali. Miaka hamsini tutajivunia kuwa tumejenga barabara kwa hisani ya watu wa china, hospitali zimejengwa kwa hisani ya serikali ya Uingereza na kadhalika. Kwa mwendo huu sisiti kusema kuwa, nishati ya umeme imekuwa ni tatizo kwa kuwa hakuna wahisani!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka hii hamsini sijui tunajivunia nini wakati wale tuliowafukuza ndio hao tunawarudia na kuwapigia magoti warudi kiuwekezaji. Uwekezaji katika maeneo mengi umeshagharimu maisha ya watanzania wengi. Migogoro kati ya wananchi na wawekezaji haiishi. Idadi kubwa ya wananchi wapo gerezani bila ya hatia kwa sababu ya wawekezaji kulindwa. Tunarudi kule kwenye utumwa. Tofauti na hivi sasa ni kuwa, badala ya watu kuteswa vibaya hadharani (kuna hofu ya wanaharakati wa haki za binadamu) kwa kuchapwa viboko, kufanyishwa kazi za sulubu na hata kuuawa, wanaswekwa gerezani, na mambo mengine yanaendelea chini kwa chini. Hakuna atakayebisha kuwa, vita vile vya majimaji vimerudi tena. Utaratibu wa Ngwale upo; uwekezaji unavaa sura ya maji yale ya Ngwale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania bado tunahitaji umakini zaidi. Pengine ifikie mahali tufikirie  kuwa inawezekana kujitegemea. Ifikie mahali tusipige magoti ili kupata tunachohitaji; ifike mahali tusifikirie kutembeza "kibaba" ilihali rasilimali zituwezeshazo kukijaza kibaba chetu wenyewe zipo. Na,haina maana kupewa fedha ili kukuza uchumi, ni afadhali kuwezeshwa kujipatia fedha ili kujikuzia uchumi wetu wenyewe.  Tukiendelea kutembeza kibaba hasahasa kwa wale tuliowafukuza katika harakati za kudai uhuru, basi mimi, wewe na yule (pengine) hatutashindwa kufikiri kuwa, haikuwa busara kuwafukuza wakoloni, badala yake kumbe kilichotakiwa ni kuanzisha "harakati za kutafuta haki na usawa wa binadamu".&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2106145001949268639?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2106145001949268639/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2106145001949268639&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2106145001949268639'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2106145001949268639'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/06/pengine-haikuwa-busara-kuwafukuza-labda.html' title='Pengine haikuwa busara kuwafukuza; labda harakati za kutafuta haki na usawa wa binadamu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-376952806164439188</id><published>2011-06-10T09:51:00.003+03:00</published><updated>2011-06-10T10:18:31.692+03:00</updated><title type='text'>Labda B.W Botha alitumia tafsida.</title><content type='html'>P.W Botha alikuwa ni raisi wa zamani wa Afrika ya Kusini wakati nchi hii ilipokuwa inatawaliwa. Kuna wakati Raisi huyu alilihutubia baraza lake la mawaziri na nakala ya hotuba yake iliandikwa katika gazeti la Sunday times la Afrika Kusini na David G. Mailu tarehe 18 August 1985.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Botha aliongea mengi yaliyoonekana kuwakashifu waafrika. Miongoni mwa mambo aliyoyayongelea ilikuwa ni hili: "By now everyone of us has been seen it practically that Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other".&lt;br /&gt;Naam, hadi sasa, nchi zote za Afrika hazitawaliwi tena na wakoloni wa kutokanchi za ng'ambo; tulishapata uhuru wa kujioongoza kama sio kujitawala. Hali halisi inaonesha tunashindwa kutumia vizuri ule uhuru wa kujiamulia mambo yetu wenyewe; uhuru ambao tuliutafuta wenyewe kwa kumwaga damu ilipobidi.  Najaribu kutafakari kuhusu Afrika ya sasa. Hakuna dalili iliyowazi kweli kuwa waafrika hatuwezi kujiongoza (kidemokrasia)kama alivyosema ndugu Botha miaka kadhaa iliyopita pale aliposema: "By now everyone of us has been seen it practically that Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other"? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa tafsiri ya leo, uhuru wa kujitawala umekuwa silaha mbaya sana. Tumevuka mipaka ya uhuru tulioutafuta wenyewe kwa hali na mali. Tumejitawala badala ya kujiongoza; tumerudisha matabaka ya kikoloni, watawaliwa na watawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uhuru tulipewa (baada ya kuupigania). Hatua ambayo ilikuwa ya umuhimu sana. &lt;br /&gt;Kwa hali ya Afrika ya sasa, naweza kusema kuwa Botha alitumia tafsida pale aliposema "give them (Africans) guns, they will kill each other". Yawezekana alimaanisha kuwa, wape waafrika uhuru, uone namna watakavyojitawala; uone namna watakavyokandamizana, uone namna watakavyoumizana na mwisho kuuana. Hawataitambua demokrasia inayowapasa: Ile ya kisiasa wala ile ya kiuchumi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo, tumepewa uhuru. Badala ya kujiongoza tumejitawala. Uhuru umekuwa silaha ya kukwamisha maendeleo. Uhuru umezaa wakoloni wazawa; uhuru umezaa silaha nyingi nyingine ambazo tunazitumia kuangamizana, tunazitumia kuuana kama alivyotangulia kusema ndugu Botha. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi, rushwa, upindishaji wa sheria ziainishwazo wazi nakatiba na kugombania madaraka ya kutawala (wala si kuongoza), ni miongoni mwa silaha zilizoota mizizi baada ya uhuru (ambao mimi naona ni silaha nambari moja katika karne hii katika bara letu la Afrika) . Silaha hizi kiukweli zinatuua waafrika hususani watanzania. &lt;br /&gt;Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kwa walio wengi. Tunanyanyasana, matabaka tayari yapo, tunauana wenyewe kwa wenyewe. Wazawa wachache wanatafuta kutawala (kuliko kuongoza) ili kujinufaisha wao. Wanatafuta maisha mazuri yenye kila watakalo. Wanajitahidi kurefusha maisha yao (wanazuia wao kutokufa) kwa kuua walio wengi. Tumeshuhudia migogoro ya kisiasa katika nchi nyingi za Afrika. Baadhi ni Zimbabwe, Kenya, Madagaska, Ivory Coast, Sudan, Somalia n.k. na sasa Tanzania ambapo hali ya kisiasa si ya kuridhisha. Mifano hai katika Tanzania ni mauaji yaliyotokea Zanzibar katika uchaugzi wa mwaka 2005, maualji ya watu wasio na hatia mkoani Arusha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, hata na yale ya Nyamongo mkoani Mara. Madhila yote haya yalikuja baada ya nguvu kubwa ya dola kutumika.&lt;br /&gt;Mamia ya watu hadi sasa wapo jela pasi na hatia kwa sababu ya matumizi yasiyo stahiki ya madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaodhani kuwa ni viongozi, hawaongozi bali wanatumia madaraka yao kuwachapa wanyonge kwa fimbo ya uhuru wao wa kugeuza sheria na kuzitumia kwa kadiri ya wawezavyo ili kutimiza matakwa yao. Ndio maana haishangazi kuona mahakama zetu za Kiafrika zinavyotoa maamuzi yasiyotegemewa na yasiyo ya kikatiba wala kitaaluma bali ni mashinikizo tu ya watawala fulani.&lt;br /&gt;Tanzania yangu ndio hiyo inayoelekea kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru wake. Ni yapi tunajivunia baada ya miaka hii hamsini? ujenzi wa barabara ama? shule za kata au? hospitali? Lakini tukumbuke kuwa wakoloni walijenga mashule na mahospitali mazuri sana, mengine hadi leo yanatumika na bado yapo imara. Labda Afrika ya Kusini isingekuwa kama ilivyo hivi sasa kama wakoloni wangeondoka miaka hamsini iliyopita. &lt;br /&gt;Kwa mtazamo wangu, uhuru tuliutafuta ili tuweze kutumia uzalendo wetu kwa uhuru na kwa kiwango cha juu kabisa. Uzalendo hapa unabeba maana ya uwajibikaji wa kujituma kwa manufaa ya Taifa, jamii kwa ujumla na kwa mtu mmoja mmoja. Miaka hamsini tangu  tupate uhuru.Tupo huru kutumia uzalendo wetu kuijenga nchi? &lt;br /&gt;"Give Africans guns, they will kill each other", labda Botha alieleweka vibaya, ilikuwa ni tafsida tu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-376952806164439188?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/376952806164439188/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=376952806164439188&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/376952806164439188'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/376952806164439188'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/06/labda-bw-botha-alikutumia-tafsida.html' title='Labda B.W Botha alitumia tafsida.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1770530464827548191</id><published>2011-03-12T12:48:00.002+03:00</published><updated>2011-03-12T12:57:25.612+03:00</updated><title type='text'>Inatosha sasa kuona, bora mimi kusema: Serikali yangu iharibuyo kioo itegemeacho kujitazamia.</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Ni siku nyingine ya Jumamosi ambapo blogu yako ya Mwangaza inakuletea kipengele cha "Inatosha sasa kuona, bora mimi kusema". &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naam, wiki hii tarehe nane mwezi huu, wanawake duniani waliadhimisha siku yao almaarufu Siku ya Wanawake duniani. Hapa Tanzania, kilele cha maadhimisho hayo yalifanyika pia, kama ilivyozungumziwa &lt;a href="http://startvtz.com/2011/03/09/mbunge-ataka-wanawake-kujiamini/"&gt;hapa&lt;/a&gt; katika tovuti ya Startv. &lt;br /&gt;Sina hakika sana kama maadhimisho haya yalifanyika kuanzia ngazi ya kijiji hadi kitaifa. Mimi katika pitapita yangu ya kimajukumu, nilikumbana na maadhimisho hayo  katika shule ya msingi Tumuli iliyopo wilayani iramba mkoani Singida, pamoja na kuwa sikuwa na muda mwingi wa kufuatilia maadhimisho hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgeni rasmi alikuwa mkuu wa Wilaya ya Iramba akiwa na msafara wake uliosheheni vigogo mbali mbali wa chini yake.&lt;br /&gt;Mengi yaliongewa na kukamilishwa na kauli mbiu isemayo &lt;b&gt;"Fursa sawa katika elimu,Mafunzo na Teknoloji:Njia ya wanawake kupata ajira bora"&lt;/b&gt; ambayo ndiyo kauli mbiu ya siku ya wanawake kwa mwaka huu. Iinigusa sana na kunifanya nitafakari kuhusu juhudi za serikali na hatma ya akina mama hawa wa miaka ijayo wanavyojaribu kuufikia ujumbe huu mzito katika mazingira magumu kama inavyoonekana pichani hapa chini.&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh4.googleusercontent.com/-VwIMec7Jgdc/TXsiYvpy8RI/AAAAAAAAAQU/Lni3KBYDOQ0/s1600/Picha+no1.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh4.googleusercontent.com/-VwIMec7Jgdc/TXsiYvpy8RI/AAAAAAAAAQU/Lni3KBYDOQ0/s320/Picha+no1.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: left;"&gt;&lt;a href="https://lh3.googleusercontent.com/-a5n-FQFRpUk/TXsiY-TIHYI/AAAAAAAAAQk/--hY9KUI8z0/s1600/Ndiko+wasomeapo.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh3.googleusercontent.com/-a5n-FQFRpUk/TXsiY-TIHYI/AAAAAAAAAQk/--hY9KUI8z0/s320/Ndiko+wasomeapo.jpg" width="256" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;mazingira yenyewe ndio haya, lengo litatimia?&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watoto hawa ni wa shule ya msingi Tumuli, shule ambayo maadhimisho haya  yalifanyikia. Mkuu wa wilaya na wajumbe wake walifika shuleni hapo na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha kupata kifungua kinywa(darasa ambapo masomo yalilazimika kusitishwa) na kisha kuelekea sehemu iliyotengwa kwa ajili ya tukio hilo.&lt;br /&gt;Sina hakika kama mkuu wa Wilaya ama kiongozi mwingine aliwaza kutazama mazingira halisi ya kusomea ya akina mama hawa wa miaka ya kesho kutwa na kutathmini kama, na ni kwa namna gani ujumbe katika siku hii ya wanawake ungeweza kufikiwa katika mazingira magumu wanayokabiliana nayo akina mama hawa wa miaka ijayo kama ionekanavyo pichani juu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Sherehe, wakubwa hawa walirudi tena kwenye darasa maalumu kwa ajili ya kupata chakula cha mchana kilichoandaliwa vyema kabisa; wanafunzi nao walienda kupata chakula chao cha mchana (kama ionekanavyo pichani hapa chini wakiwa kwenye foleni na baadae wakiwa wamekaa "bwaloni" wakipata chakula cha mchana ) ambapo chakula  kilikuwa ni mahindi makavu yaliyochanganywa na maharagwe na kupikwa kwa pamoja (almaarufu ngararimo/ndutu au makukuru kwa wachaga). Walituliza njaa yao huku wakiishia kula kwa harufu tu vile vinono vilivyoandaliwa kwa ajili ya wakubwa hao waliofanya masomo yao yasiende kama kawaida baada ya maadhimisho hayo kufanyikia shuleni hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh3.googleusercontent.com/-OnMSWGYaBmE/TXs5aC2_6nI/AAAAAAAAAQ8/DYDUHrTQkCk/s1600/Image081makuu.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" src="https://lh3.googleusercontent.com/-OnMSWGYaBmE/TXs5aC2_6nI/AAAAAAAAAQ8/DYDUHrTQkCk/s1600/Image081makuu.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;Wanafunzi wakiwa kwenye foleni kwa ajili ya kuchukua chakula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Picha hapa chini, wanafunzi wakila chakula cha mchana (mahindi na maharage vilivyopikwa kwa pamoja)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh4.googleusercontent.com/-BcleDJSfAFY/TXs5ZymV4gI/AAAAAAAAAQ0/iJ8JBxv8468/s1600/Image079makukuru3.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh4.googleusercontent.com/-BcleDJSfAFY/TXs5ZymV4gI/AAAAAAAAAQ0/iJ8JBxv8468/s320/Image079makukuru3.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh6.googleusercontent.com/-ukWiOsTpSk0/TXs5amxIw9I/AAAAAAAAARU/tgS4zMY2Zyo/s1600/MakuImage082.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh6.googleusercontent.com/-ukWiOsTpSk0/TXs5amxIw9I/AAAAAAAAARU/tgS4zMY2Zyo/s320/MakuImage082.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Shule hii ni mchanganyiko, yani wanafunzi wa kike na kiume. Nimewaongelea hawa wa kike kwani siku hii iliwahusu sana na kauli mbiu ilikita kwenye elimu ambayo msingi wake ndipo hasa walipo akina mama hawa wa miaka kadhaa ijayo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naam, bado nikiwa nimejikita zaidi katika kuwaangalia akina mama wa ziku zijazo, serikali yangu ya Tanzania inashindwa kutambua (kwa makusudi) kuwa kutokutimiza wajibu wake katika nyanja mbalimbali za kielimu, kijamii na kiuchumi ni kikwazo namba moja cha kukwamisha ufikiwaji wa kauli mbiu kama hizi za siku ya Wanawake duniani(sina hakika hata kama huwa wanakumbuka kutoa tathmini ya kauli mbiu iliyopita; imefanikiwa ama haijafanikiwa na kwa kiwango gani)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni serikali hii hii inayoruhusu msongamano mkubwa wa wanafunzi madarasani ambapo matokeo yake ni mwalimu mmoja kuwahudumia wanafunzi wengi kuliko uwezo. Hapa bado akinamama wa kesho wanazidi kukandamizwa(akina baba wa kesho hali kadhalika) tazama darasa hili pichani. Ni chuo cha ualimu Kinampanda kilicho na uwezo wa kuchukua wanafunzi 240 tu lakini kwa sasa kina wanafunzi 577. Labda niiulize serikali katika hali hii, kauli mbiu kama hii ya  mwaka huu ya wanawake itafikiwa kweli? Serekali itakwepa kulamumiwa kuwa yenyewe ndio inaongoza katika kuisaliti kauli hii ilihali haipitwi na maadhimisho haya kila mwaka na yenye kufana? Hapa sio kwamba serekali inavunjavunja kioo inachokitegemea kujitazamia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh6.googleusercontent.com/-seRayevfY0Y/TXo_VfBeHPI/AAAAAAAAAQM/xA30Z6cRO-g/s1600/Viti.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh6.googleusercontent.com/-seRayevfY0Y/TXo_VfBeHPI/AAAAAAAAAQM/xA30Z6cRO-g/s320/Viti.jpg" width="256" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akina mama hawa wa leo na kesho (wapo pia akina baba wa leo na kesho) wasomao katika chuo hiki ambao nao wanatazamiwa kwenda kuwafundisha akina mama wa miaka ijayo wanatendewa haki kweli? Haitoshi, mazingira ya Wakufunzi bado nayo ni duni. Wakufunzi wapya katika chuo hiki hata na vyuo vingine kama hiki, mambo ni haya haya. Mwezi wa pili huu wanasota chuoni; hakuna hela ya kujikimu wala mishahara. Hapo hapo serekali inategemea Mkufunzi huyu atimize wajibu wake wa kutoa elimu bora ipasavyo! Jambo ambalo kwa kiasi kikubwa  haliwezekani. Ndivyo serikali yangu inavyozidi kujipoteza katika harakati za kujitafuta na kama jinsi inavyozidi &lt;i&gt;kuvunja kioo inachokitegemea sana katika kujiangalia taswira ya uso wake&lt;/i&gt;.&lt;br /&gt;Tukutane tena wakati mwingine (jumamosi ijayo) katika safu hii. Jumamosi njema, mwisho na mwanzo mwema wa juma kwenu nyote. Hadi wakati mwingine, mara nyingine.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1770530464827548191?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1770530464827548191/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1770530464827548191&amp;isPopup=true' title='12 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1770530464827548191'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1770530464827548191'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/03/inatosha-sasa-kuona-bora-mimi-kusema.html' title='Inatosha sasa kuona, bora mimi kusema: Serikali yangu iharibuyo kioo itegemeacho kujitazamia.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='https://lh4.googleusercontent.com/-VwIMec7Jgdc/TXsiYvpy8RI/AAAAAAAAAQU/Lni3KBYDOQ0/s72-c/Picha+no1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>12</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-4861392644741189835</id><published>2011-03-05T11:08:00.000+03:00</published><updated>2011-03-05T11:08:30.939+03:00</updated><title type='text'>Inatosha sasa kuona, bora kusema (Serikali ya Tanzania na usaliti kwa walipa kodi wake)</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Kadiri siku zinavyoenda, nazidi kujionea namna ambavyo serikali yangu ya Tanzania inavyoonesha udhaifu mkubwa katika masuala mengi ya utendaji wake. Katika pita pita zangu, nilikutana na jengo moja lililopo katika kijiji cha Kyalosangi kilichopo wilaya ya Iramba katika tarafa ya Kinampanda mkoani Singida. Nililisogelea karibu na kisha nilikiona kibao kama kinavyoonekana hapa chini&amp;nbsp; katika picha ambacho kilinitambulisha kuwa ni mahakama ya mwanzo. Nilistaajabu maana jengo hili linaonenaka kama ni gofu na ni mda mrefu sana umepita bila kutumika. Nilfanikiwa kuomgea na mkazi mmoja na alinieleza kuwa mahakama hii inatumika na kwa bahati nzuri nami siku moja nilishuhudia watu wakipata huduma mbalimbali katika mahakama hii iliyo katika hali ya kusikitisha kwa namna jengo hili lilivyochakaa kana kwamba haina uangalizi wa aina yoyote wa wananchi na serikali .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh3.googleusercontent.com/-BGjfxfH787Y/TWtkOgQRQyI/AAAAAAAAAOI/sMMKk4GamNU/s1600/Kibao.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" src="https://lh3.googleusercontent.com/-BGjfxfH787Y/TWtkOgQRQyI/AAAAAAAAAOI/sMMKk4GamNU/s1600/Kibao.jpg" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;Hiki ni kibao kinachoelekeza mahali ilipo &lt;b&gt;Mahakama ya Mwanzo&lt;/b&gt;, Kinampanda wilayani Iramba katika Mkoa wa Singida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh3.googleusercontent.com/-PaaRlR_t25Y/TWtefmFF8wI/AAAAAAAAANo/8u951Gb4VGA/s1600/Image004.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh3.googleusercontent.com/-PaaRlR_t25Y/TWtefmFF8wI/AAAAAAAAANo/8u951Gb4VGA/s320/Image004.jpg" width="256" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&amp;nbsp;Picha hapa juu ni mwonekano wa Mahakama hii. Bado inatumika kwa shughuli za kimahakama pamoja na kuwa inanonekana kama jengo lililotelekezwa miaka mingi iliyopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; Picha hapa chini zaonesha sehemu ya ndani ya mahakama hii. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh6.googleusercontent.com/-X2pMlLjpGyE/TWtefznrmUI/AAAAAAAAAN4/D0puWC9-n5M/s1600/Mahakama1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh6.googleusercontent.com/-X2pMlLjpGyE/TWtefznrmUI/AAAAAAAAAN4/D0puWC9-n5M/s320/Mahakama1.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="https://lh4.googleusercontent.com/-BIUgCIzuRyY/TWtkO_61I2I/AAAAAAAAAOQ/P2QmQEPcUSo/s1600/Mahakama0.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="https://lh4.googleusercontent.com/-BIUgCIzuRyY/TWtkO_61I2I/AAAAAAAAAOQ/P2QmQEPcUSo/s320/Mahakama0.jpg" width="256" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;  &amp;nbsp;&amp;nbsp;  &amp;nbsp;&amp;nbsp;  &amp;nbsp;&amp;nbsp;  &amp;nbsp;&amp;nbsp;  &amp;nbsp;&amp;nbsp;  Sehemu ya kukaa watu katika harakati za kupata huduma mbalimbali mahakamani &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp; hapo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni dhahiri kuwa watendaji na wasimamizi wa mahakama ni wazembe. Hili halina mjadala. Ni aibu kubwa kwa Serikali yangu ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni aibu kwa mahakama kuonekana&amp;nbsp; kama Gofu na ilihali babo inatumika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine labda serikali inasubiri jengo hili lianguke kabisa na pengine kusababisha hata maafa (kwani siku moja laweza kuwaangukia watu wakiwa mahakamani) kisha waseme imeshatokea na hakuna namna nyingine zaidi ya kufidia wahanga (kauli kama hizi zimeshazoeleka sana na tumezishuhudia kwenye matukio mengi yakiwemo ya milipuko ya mabomu Mbagala na Gongo la mboto) na kuanza mchakato wa kujenga jengo jingine (au kutojengwa kabisa)la mahakama kwa gharama kubwa ambazo zingeepukika kwa kukarabati jengo lililokuwepo kwa kiwango kizuri na kwa gharama nafuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fedha za walipakodi badala ya kuelekezwa kwenye majukumu kama haya ya kuboresha huduma za jamii, inaelekezwa sehemu nyingine ambazo hazina umuhimu kwa wakati huo (&lt;a href="http://freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=24245"&gt;wabunge kupewa pesa kwa ajili ya kununulia magari yao binafsi&lt;/a&gt; ni mfano ulio hai).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watumia mahakama hii (wananchi), labda kwa kutokujua ama akili zao kufungwa na mazoea, hili hawajaliona kama ni tatizo. Labda bado wapo kwenye ule utaratibu wa &lt;span style="color: red;"&gt;bora maisha&lt;/span&gt; kuliko &lt;span style="color: lime;"&gt;maisha bora, &lt;span style="color: black;"&gt;au wale wa kushukuru siku imepita na bila hata kutathimini imepitaje, ama wale wa bora nimekula hata kama ni ugali wa chumvi. Jamii ya mawazo haya bado ipo miongoni mwetu na haina budi kupitwa na watati&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huu ni uteandaji mbovu kabisa wa serikali yetu ya Tanzania, yaonesha kiwango kisichoridhisha kabisa cha utendaji. serikali isisubiri wananchi wawe wazalendo maana yanayotokea Misri na kwingineko hayataepukika. Wananchi nasi hatuna budi kufungua midomo yetu, hatuna budi kuonesha kutoridhika na huduma duni katika sehemu husika.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-4861392644741189835?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/4861392644741189835/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=4861392644741189835&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4861392644741189835'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4861392644741189835'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/03/inatosha-sasa-kuona-bora-kusema_05.html' title='Inatosha sasa kuona, bora kusema (Serikali ya Tanzania na usaliti kwa walipa kodi wake)'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='https://lh3.googleusercontent.com/-BGjfxfH787Y/TWtkOgQRQyI/AAAAAAAAAOI/sMMKk4GamNU/s72-c/Kibao.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8485971372916114332</id><published>2011-03-04T16:06:00.000+03:00</published><updated>2011-03-04T16:06:26.167+03:00</updated><title type='text'>Inatosha sasa kuona, bora kusema-Kipengele kipya</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Mwanamuzki wa kizazi kipya ndugu Joseph Haule anayejulikana sana kwa jina la Prof J aliwahi kuimba wimbo uitwao &lt;span style="color: blue;"&gt;INATOSHA SASA &lt;span style="color: black;"&gt;aliomshirikisha mwanamuziki wa siku nyingi Joseph Mbilinyi almaarufu kama &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Mr._II"&gt;Mr Sugu&lt;/a&gt; ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Mbeya Mjini. Prof J kuna sehemu anasema &lt;i style="color: lime;"&gt;"inatosha sasa kuona nadhani bora mimi kusema" &lt;/i&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;Prof J anaonesha kukerwa na mambo ambayo hayampendezi yeye, na pia yasiyoipendeza jamii vilevile. Mwanafasihi huyu anatukumbusha kuwa ifike mahali sasa tusiishie tu kuona uovu, bali na tuusemee kwa usahihi wake kwani pia ni hatua nzuri katika kutatua au kuuondoa uovu huo. Dhana hii pia si vibaya ikitumika hata kwenye mazuri katika jamii katika harakati za kuwapa moyo wale wote wenye kutenda kwa kadiri ya inavyotakiwa.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color: blue;"&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;Umefika sasa wakati hata wanajamii wote, mmojammoja na hata kwa umoja wetu, tusiishie kuona tu, umefika muda wa kusema wazi kuwa haturiridhiki na huduma, haturidhiki na utendaji. Pia hatuna budi kusema pale tunaporidhika; lakini kikubwa hapa ni kuwa, imetosha kuona na sasa tuseme. Kwa mantiki hii, hata blogu ya Mwangaza nayo inaunganba na Prof J pamoja na wanajamii wote wapenda maendeleo kusema kuwa,&amp;nbsp; &lt;span style="color: red; font-size: small;"&gt;&lt;b&gt;&lt;i&gt;"Inatosha sasa kuona, bora kusema"&lt;span style="color: black;"&gt; &lt;/span&gt;&lt;/i&gt;&lt;/b&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;a&lt;/span&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;mbacho kitakuwa ni kipengele kitakachokujia kila siku ya &lt;span style="font-size: large;"&gt;Jumamosi &lt;/span&gt;katika blogu hii ya Mwangaza&lt;/span&gt;&lt;b&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;. Kipengele hiki kitakuwa kinaelezea mambo mengi ambayo kwa namna moja ama nyingine yamekuwa yakifumbiwa macho na wahusika, na pia yale ambayo kwa namna moja ama nyingine, waathirika wa hali hizi ( kwa sababu mbalimbali) wameshindwa kuyaweka bayana. Vile vile pongezi hazitaachwa nyuma kwa yale mazuri yatendekayo na kwa wanaostahili. &lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;&lt;b&gt;Pia kipengele hiki hakitamuacha yeyote yule atakayetaka kuonesha kuwa, naye kwa namna moja ama nyingine amechoka kuona na sasa ameona kuwa umefika wakati wa yeye kusema. &lt;/b&gt;Nawakaribisha sana katika kipengele hiki wadau wote wa blogu ya Mwangaza na wadau wa blogu kwa ujumla.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color: blue;"&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;&lt;span style="color: red; font-size: small;"&gt;&lt;span style="color: black;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8485971372916114332?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8485971372916114332/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8485971372916114332&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8485971372916114332'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8485971372916114332'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/03/inatosha-sasa-kuona-bora-kusema.html' title='Inatosha sasa kuona, bora kusema-Kipengele kipya'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7265407935682904217</id><published>2011-02-22T12:56:00.000+03:00</published><updated>2011-02-22T12:56:39.030+03:00</updated><title type='text'>Tumkaribishe Mshairi</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Ulimwengu wa kublogu unazidi kushika kasi hasa hasa katika kipindi hiki ambacho huduma ya intaneti inavyozidi kupatikana kwa urahisi. Ni jambo la kujivunia kuwa kila siku watu wanazidi kujumuika katika kuielimisha jamii kwa njia ya mtandao na hususani kwa njia hii ya magazeti huru ya mtandaoni, na kila mmoja kwa namna yake aonavyo inafaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Basi, leo hii naomba kumtambulisha ndugu David Mgaya ambaye naye kwa kupitia mashairi, ameona analo jambo la kutuelimisha wanajamii. Ndio kwanza anaanza, lakini ni imani yetu kuwa anayo mengi ya kutufunza na kutuburudisha. Waweza ku&lt;a href="http://mgayathepoet.blogspot.com/"&gt;bofya hapa&lt;/a&gt; ili upate kuona kile akusudiacho kujifunza nasi.&lt;br /&gt;Karibu sana ndugu Mgaya.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7265407935682904217?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7265407935682904217/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7265407935682904217&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7265407935682904217'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7265407935682904217'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/02/tumkaribishe-mshairi.html' title='Tumkaribishe Mshairi'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7355277816519102403</id><published>2011-02-22T12:19:00.001+03:00</published><updated>2011-02-22T12:31:23.290+03:00</updated><title type='text'>Soko la Magulioni-Singida Mashariki</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;Kati ya sehemu ambazo wananchi wake wanahatarisha maisha yao, basi ni hapa katika soko hili liitwalo &lt;b&gt;MAGULIONI &lt;/b&gt;ambalo lipo eneo maarufu liitwalo &lt;b&gt;Njia panda ya Makiungu&lt;/b&gt; pembezoni mwa barabara ya Singida-Manyara. soko hili huwa kila siku ya Jumamosi na husheheni vitu vya kila aina kuanzia mboga mboga, nguo, kuku, miwa, vyungu, vyakula mbali mbali vikiwemo viazi vitamu vilivyopikwa na ambavvo havijapikwa, majembe n.k Kiujumla, halitofautiani na masoko mengine ambayo ulishawahi kuyaona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na upatikanaji wa vitu mbali mbali nilivyojitahidi kuvitaja, lakini pia, kila Jumamosi idadi kubwa ya watu hulitegemea sana soko hili kwa kitoweo cha nyama: kuanzia ya ng'ombe hadi ya mbuzi. Walaji wa nyama hizi kwa hakika wapo katika hatari kubwa sana kwani kulingana na uchunguzi wangu niligundua kuwa hakuna dakitari wa kuangalia uhalali wa matumizi ya nyama hizo, machinjio duni na pia sehemu za kuuzia nyama hizo ni hatari kabisa kwa afya za walaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Picha hapa chini zinaonesha baadhi ya mabucha ambayo watu kutoka sehemu mbalimbali hufika hapo kujinunulia nyama kwa ajili ya&amp;nbsp; mahaitaji mbalimbali ya nyumbani, mahotelini, mashuleni, maofisini na sehemu nyingine zenye uhitaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-id-n9dtRTU0/TVGGsRmyqVI/AAAAAAAAAMc/xDLB975quZo/s1600/Bucha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="http://2.bp.blogspot.com/-id-n9dtRTU0/TVGGsRmyqVI/AAAAAAAAAMc/xDLB975quZo/s320/Bucha.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;Hili ni Bucha lililokuwa kwenye maandalizi ya kuwekewa nyama tayari kwa kuanza kuuzwa. Nyama zinazowekwa hapa ni zile mbuzi na kondoo au na za Punda kama zipo maana nilisikia hata za Punda mara nyingine huwa zinaletwa kwa uficho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-bu_A5rmqRvo/TVGIja5JC9I/AAAAAAAAAMs/7h339t692Jc/s1600/Oyaaa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="http://2.bp.blogspot.com/-bu_A5rmqRvo/TVGIja5JC9I/AAAAAAAAAMs/7h339t692Jc/s320/Oyaaa.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;Hili ni Bucha la nyama ya mbuzi. Kama uonavyo, nyama ya mbuzi imetundikwa wateja wakisubiriwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-BoyQ18uFQ7c/TVGJWeawVWI/AAAAAAAAAM0/ZxYw62LVZDk/s1600/Ng%2527ombe.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="http://4.bp.blogspot.com/-BoyQ18uFQ7c/TVGJWeawVWI/AAAAAAAAAM0/ZxYw62LVZDk/s320/Ng%2527ombe.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&amp;nbsp;Na hili ni bucha la nyama ya ng'ombe kama uonavyo. Nyama zipo wazi sana kiasi kwamba vumbi na wadudu wasambaza vimelea vya magonjwa wanaweza kutua kwenye nyama kwa urahisi kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-g5bu9yVYVB8/TTXLpz5q1MI/AAAAAAAAALs/QraL2d2MvgY/s1600/Bucha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="320" src="http://4.bp.blogspot.com/-g5bu9yVYVB8/TTXLpz5q1MI/AAAAAAAAALs/QraL2d2MvgY/s320/Bucha.jpg" width="240" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Hii pia ni sehemu iliyotayarishwa kwa ajili ya kuwekea nyama za kuuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika ni mazingira ya kutisha. Mheshimiwa Tundu Lissu, haya yapo katika jimbo lako la Singida Mashariki. Wewe na viongozi wengine wahusika, liangalieni hili kwa umakini. Eneo hili likiangaliwa vizuri litaboresha sana maisha ya wanavijiji wa vijiji vya karibu na wanaSingida kwa ujumla. Tofauti na hapo, utakuja wakati ambapo kwa ubovu wa huduma, basi wanaSingida na waTanzania kwa ujumla watagubikwa na simanzi maana kuna wakati watu watalishwa vibudu vya wanyama vilivyosababishwa na magonjwa hatari yatakayogharimu maisha ya watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7355277816519102403?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7355277816519102403/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7355277816519102403&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7355277816519102403'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7355277816519102403'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/02/soko-la-magulioni-singida-mashariki.html' title='Soko la Magulioni-Singida Mashariki'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-id-n9dtRTU0/TVGGsRmyqVI/AAAAAAAAAMc/xDLB975quZo/s72-c/Bucha.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8753904363078240483</id><published>2011-02-20T13:31:00.003+03:00</published><updated>2011-03-15T20:08:14.428+03:00</updated><title type='text'>Miaka mitano baadae..</title><content type='html'>&lt;div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on"&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-TZ5JCwMhwhs/TU1vQ5ruQSI/AAAAAAAAAME/GkwduOjrq2A/s1600/Image000.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img src="http://4.bp.blogspot.com/-TZ5JCwMhwhs/TU1vQ5ruQSI/AAAAAAAAAME/GkwduOjrq2A/s320/Image000.jpg" border="0" height="320" width="256" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;                                  Sehemu ya juu ya kitabu kipya cha kufundishia&lt;br /&gt;                                                    cha hisabati kidato cha tatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni takribani miaka matano sasa imepita tangu serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi irekebishe mtaala wa masomo kwa shule za sekondari, kidato cha &lt;span style="color:magenta;"&gt;KWANZA&lt;/span&gt; hadi cha &lt;span style="color:magenta;"&gt;NNE. &lt;span style="color:black;"&gt;Kwa miaka yote hii mitano hakukuwa na vitabu vya rejea vinavyoendana na mtaala huu vilivyotolewa na  Wizara.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:magenta;"&gt;&lt;/span&gt;Hatimaye sasa baada ya miaka hiyo mitano , serikali imewakumbuka wawezesha wanafunzi kupata maarifa (Waalimu) kwa kuwapatia vitabu hivi. Binafsi naishukuru wizara kwa jambo hili jema japokuwa limekuja kwa kumchelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Labda watu wanaweza kujiuliza kwa kipindi chote hiki cha miaka mitano, walimu wamekuwa wakitumia  vitabu gani katika fundisha. Watu binafsi walitumia nafasi hii vyema kuandaa vitabu ambavyo walihakikisha vinahusisha mada zote zilizobainishwa kwenye mtaala huu uitwao mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nimekuwa nikifundisha somo la hisabati na nimekuwa nikitumia vitabu hivi vya watu binafsi. Tatizo kubwa la vitabu hivi ni kuwa, vimesheheni makosa kiasi kwamba nashindwa kuelewa kama ni kweli vilithibitishwa na vyombo husika kabla ya kupata uhalali wa matumizi au la. Hili nimelishuhudia katika kitabu fulani cha hisabati ambacho sitapenda kukiweka hadharani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika somo la hisabati, kuna mada (topics) mbili wizara imeziongeza; ambazo ni &lt;b  style="color:lime;"&gt;Rates and Variations &lt;span style="color:black;"&gt;na&lt;/span&gt;  Accounts.&lt;/b&gt;&lt;span style="color:lime;"&gt;&lt;span style="color:black;"&gt; Walimu wamekuwa wakitegemea zaidi vitabu vya Ziada na Rejea katika kufundisha mada hizi. Hakukuwa na vitabu vya Kiada ambavyo navyo, mbali na uwepo wa mtaala mpya, vingewasaidia kuhakikisha wanaelekeza maarifa yaliyokusudiwa na kwa uhakika na umakini zaidi.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:lime;"&gt;&lt;span style="color:black;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:lime;"&gt;&lt;span style="color:black;"&gt;Kibaya zaidi, kuna asilimia kubwa ya waalimu wa hisabati walioko mashuleni hivi sasa ambao wakati wansoma elimu hii ya sekondari, hawakukutana na mada hizi, hususani hii ya Accounts. Mbaya zaidi, hata kule wanapoandaliwa, mada hizi, kwa bahati mbaya hazifundishwi. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:lime;"&gt;&lt;span style="color:black;"&gt;Hapa nimezungumzia zaidi solo la hisabati lakini nimepokea pia malalamiko hata kwa masomo mengine kama ya somo la fizikia. Hali ni ile ile  ya mada mpya kuongezwa, pasi na kuwa na vitabu vya kiada hususani vilivyoandaliwa na wizara. Serikali kupitia wizara ya elimu izingatie hili la kutoa mtaala mpya uambatanao na utoaji wa vitabu vya kiada maana kwa kutegemea tu vitabu vya ziada na rejea vyaweza wakati (mwingine) kuwaposha wanafunzi na hatimaye kuanguka katika masomo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="color:lime;"&gt;&lt;span style="color:black;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8753904363078240483?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8753904363078240483/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8753904363078240483&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8753904363078240483'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8753904363078240483'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/02/miaka-matano-baadae.html' title='Miaka mitano baadae..'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-TZ5JCwMhwhs/TU1vQ5ruQSI/AAAAAAAAAME/GkwduOjrq2A/s72-c/Image000.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2931106455192317748</id><published>2011-01-04T12:39:00.001+03:00</published><updated>2011-01-04T12:39:53.653+03:00</updated><title type='text'>Uchawi unahitaji vita kama ya ukeketaji wa Wanawake!</title><content type='html'>Ukeketaji wa wanawake nchini Tanzania ni jambo ambalo (pengine na kwingineko duniani) kwa miaka iliyopita lilikuwa limeshamiri sana katika jamii zetu kiasi kwamba watu pengine hawakukaa kuwaza kuwa ipo siku jambo hili litapewa kipau mbele kwa kupingwa na wanaharakati duniani kote. Hili limefanyika na sasa jamii kwa kiasi kikubwa imekuwa adui wa jambo hili na kwa miaka ya hivi karibuni ukeketaji umepungua kwa kiasi kikubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Wahusika wa ukeketaji wamejisalimisha, wamesaliti amri kwa wingi wao japokuwa bado wapo pia ambao wanaendelea na ukeketaji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchawi kama ukeketaji ulivyokuwa, ni tatizo kwa Taifa letu watanzania. Sehemu nyingi za Tanzania zinakosa maendeleo ambapo, pamoja na mambo mengine, uchawi unachangia sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni siku za hivi karibuni tumesikia huko Mbozi mkoani Mbeya, walimu walizikimbia shule walizokuwa wanafundisha kwa madai ya kusumbuliwa na mambo ya kichawi. Si Mbeya tu, hali hizi zipo sehemu nyingi  Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si walimu tu wanaathirika, lakini mambo mengine mengi ya kimaendeleo yanashindikana kwa sababu ya uchawi. Vita ya kuupinga uchawi haijapewa msisitizo kabisa na watu mbali mbali duniani huku baadhi ya nchi kama Romania kuuhalalisha. Labda pengine swala hili lipo kiutamaduni zaidi, lakini hata Ukeketaji wa wanawake hapo awali ulikuwa na sura kama hii.&lt;br /&gt;Sidhani kama kuna uchawi wenye tija katika jamii zetu. Mtu mwenye wivu mbaya na mwenzake, anatumia uchawi kumuangamiza, anamzibia njia za mafanikio, twasikia mvua zinazuiwa, yanasikika matukio ya watu kuchukuliwa misukule na kufanyishwa kazi ngumu, radi zisizotegemewa za mchana wa jua kali zinazogharimu maisha ya watu, ajili nyingine za magari zinahusishwa na uchawi n.k Matukio ya aina hii ni mengi katika jamii zetu. Madhara yake ni makubwa likiwemo hili la kutoa uhai wa binadamu. Madhara haya na mengine, yananifanya nione kuwa jambo hili nalo linapaswa kupaziwa sauti ya kulikemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mantiki hii, kama ilivyo kwenye swala la ukeketaji na msisitizo wa vita dhidi yake, nadhani umefika wakati wa kuuvalia njuga uchawi. Njia muhimu na muafaka ni kutoa elimu kwa jamii. Watu waelimishwe  kuhusu madhara ya jambo hili, waambiwe kuwa maisha bila uchawi inawezekana, waelimishwe kuwa uchawi nao ni adui wa maendeleo kama jinsi ilivyo rushwa au ufisadi. Wachawi na wote walio katika mrengo huu wataelimika, wataachana nao, watasalimisha zana zao, na mwisho watasaidia kupambana na wakaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zipo habari za kushangaza sana nchini Romania kuhusiana na uchawi. Nchi hii imehalalisha uchawi. Wachawi katika nchi hii sasa watatambulika kwa vyeti vyao kwa kutunukiwa kulingana na uwezo wao. Swali la kujiuliza hapa ni kuwa uchawi huo wa hali ya juu utaoneshwa kwa watu, wanyama au kwa viumbe wasio hai?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yupo mchawi mmoja nchi humo aliyesema kuwa yeye atatumia uchawi kuiloga serikali yake ili kodi isikusanywe kutoka kwake. Kauli ya mchawi huyu imekuja baada ya serikali ya Romania kusema kuwa itakusanya kodi kama ilivyo kwa wafanyakazi wa taaluma nyingine. Hii ni kwa mujibu wa vyombo kadhaa vya habari.&lt;br /&gt;Kauli ya mchawi huyu bado inadhihirisha kuwa uchawi haufai katika jamii. Tuukemee kwa njia muafaka kama za kuelimisha na si kuwaua kama jinsi wafanyavyo wale jamaa wa kule kanda ya ziwa wanavyowaua vikongwe. Wanasahau kuwa hata vijana wadogo kabisa ni nguli wakubwa wa  uchawi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaharakati tupo? Au ndio yale yale ya nani wa kumfunga paka kengele? Kazi tunayo, tuingie vitani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2931106455192317748?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2931106455192317748/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2931106455192317748&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2931106455192317748'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2931106455192317748'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2011/01/uchawi-unahitaji-vita-kama-ya-ukeketaji.html' title='Uchawi unahitaji vita kama ya ukeketaji wa Wanawake!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5955804785709676635</id><published>2010-11-26T08:43:00.003+03:00</published><updated>2010-11-28T23:07:32.100+03:00</updated><title type='text'>Kiswahili na Kiingereza; Twazitaka lugha hizi kwa pupa, na tunazikosa zote.</title><content type='html'>Kiswahili ni lugha kuu ya mawasiliano kwa watanzania na ndio maana inatambulika pia kama lugha ya Taifa. Kiingereza ni lugha rasmi ambayo hutumika maofisini na  mashuleni, hususani shule za upili hadi vyuo vikuu. Hutumika kama lugha ya kufundishia na mawasiliano mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinyume na matarajio, sehemu ambazo kiingereza kilipaswa kutumika, maofisini na shuleni, hakitumiki ipasavyo, bali kiswahili ndicho kinachoshika hatamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na kutoitumia lugha ya kiingereza mashuleni na kwenye ofisi, nje ya maeneo haya hali ni hiyo hiyo, watu wanatumika kiswahili kwa uhuru wao kwani ndiyo lugha pekee ituunganishayo watanzania bila kujali sana elimu aliyonayo mtu. Wapo watanzania wachache wasiokijua kiswahili vizuri kwa sababu wamekuwa wakitumia lugha za makabila yao kiasi cha kukisahau kiswahili lakini asilimia kubwa tunakizungumza vizuri. Mashuleni, walimu wanawahimiza wanafunzi wao kutumia kiingereza hata wawapo majumbani kwao kama namna ya kuijua zaidi lugha hii. Kwa mantiki hii, kiswahili kinapewa msisitizo mdogo kwa maana kwamba hatuna haja ya kuendelea kukijifunza. Au niseme kuwa kiswahili kinapuuzwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya sana, pamoja na msisitizo wa matumizi ya kiingereza majumbani na mitaani, watu bado tumekuwa hatuitumii lugha hii ya kigeni; imebaki kutumiwa mashuleni na maofisini na watu wachache. Wapo pia baadhi ya walimu (yawezekana ni idadi kubwa) wafundishao kwa kiswahili masomo yaliyotakiwa kufundishwa kwa kiingereza. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vuguvugu hili la namna tutumiavyo lugha hizi mbili ni janga kubwa kwetu watanzania. Kwa uvuguvugu huu, kiswahili na kiingereza zitazidi kuwa tatizo kwetu. Kiingereza kitazidi kuwa ni janga letu watanzania, na kiswahili vile vile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matumizi ya kiswahili na kiingereza kwa wakati mmoja yameshamiri sana hususani katika maongezi, hotuba na hata kwenye filamu za kitanzania. Ni za kiswahili lakini, kiingereza kinapachikwa pachikwa si mchezo. Sina hakika kama ni kusudio la watunzi, na kama ndivyo kwa maudhui yapi? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni juzi hapa Raisi  wakati akitangaza baraza la mawaziri, alikuwa akiingiza maneno ya kiingereza. Japokuwa haikuwa kwa wingi, lakini alichanganya kiswahili na kiingereza. Si kiashirio kizuri, hususani kwa Raisi wa nchi pale anapoongea na wananchi ambao inajulikana wazi kuwa wapo wasiojua kiingereza. Wapo watanzania wengi wasiokijua kiingereza, waliokuwa wanafuatilia Raisi akitangaza baraza la mawaziri. Ni wazi kuwa kuna sehemu waliachwa, hasahasa wale ambao hawakuwa na mtu wa kuwapa maana ya maneno yale ya kiingereza kwa kiswahili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si yeye tu, kwenye vikao vya bunge, kiswahili na kiingereza vimekuwa vikisikika mara kwa mara vikitumiwa kwa wakati mmoja. Watanzania wa kawaida mitaani na majumbani, mseto huu wa lugha ni jambo la kawaida sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina hakika kama mchina wakati anaeleza jambo kwa wananchi wake kwa lugha yao, au mjerumani, au mkorea, na ikafika sehemu akaingiza kiingereza. Kama ndivyo, lugha zao wamezipa msisitizo stahiki mbali na kuwa nao pasi na shaka wanajifunza pia kiingereza. Wanazitumia lugha zao katika nyanja zote. Mtanzania aendae China kusoma, hana budi kukijua kichina kwanza, Ujerumani vile vile. Huku kwetu bongo, mwingereza anaishi hapa miaka mitano, hajajua kuongea kiswahili. Watanzania hatuna msisitizo  kwa wageni kuijifunza lugha yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimezisikiliza hotuba kadhaa za hayati Mwalimu Nyerere. Sijamsikia akichanganya lugha, yani Kiswahili na Kiingereza. Alizitambua na alikuwa na hisia sahihi na watu wake. Alikienzi kiswahili ipasavyo. Alitaka watanzania wapate ujumbe husika bila kukwazika na kubabaika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi naona kuna haja ya kuondokana na vuguvugu hili la lugha. Tunazikosa zote, hakuna upande ambao tunaweza kuusimamia kikamilifu na kujidai nao. Wimbi la kuchanganya kiingereza na kiswahili linazidi. Litatugharimu hapo mbeleni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Harakati za katiba mpya ziambatane na mabadiliko yahamasishayo matumizi ya lugha moja ya watanzania wote. Hapa namaanisha kuwa kiswahili kipewe msisitizo na nafasi ya kutosha kujidai. Itumike mashuleni; shule za msingi hadi vyuoni. Kiingereza kibaki kama lugha muhimu ambayo kila mmoja kwa wakati wake ataona kuna umuhimu wa kuifahamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni uamuzi mgumu kulingana na hali ya Taifa letu la utegemezi katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kielimu, kiutawala n.k. Watu wanaweza kufikiri kuwa muda wa mageuzi haya ya kihistoria ni bado, labda baada ya Tanzania kuwa imara kiuchumi kiasi cha kutokutegemea sana misaada. K ipindi ambacho tutakuwa tunawategemea wanasayansi wetu, kipindi ambacho tutakuwa miongoni mwa vyanzo vya teknologia mpya. Yote haya binafsi naona mwanzo wake ni mageuzi ya kihistoria ya kuthubutu kutumia Kiswahili katika nyanja zote za kimaendeleo; kuanzia elimu na shughuli zote rasmi na zisizo rasmi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni uamuzi mgumu ambao utahitaji muda, gharama na uvumilivu wa watu. Lakini mimi naona kuwa tuna haja ya kufanya hivi. Tumekuwa tegemezi kwa mambo mengi, ajabu sana hadi lugha tunakuwa tegemezi!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5955804785709676635?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5955804785709676635/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5955804785709676635&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5955804785709676635'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5955804785709676635'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/11/kiswahili-na-kiingereza-twazitaka-lugha.html' title='Kiswahili na Kiingereza; Twazitaka lugha hizi kwa pupa, na tunazikosa zote.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2773134578593050341</id><published>2010-11-14T17:00:00.005+03:00</published><updated>2010-11-15T12:40:32.535+03:00</updated><title type='text'>Jamii yangu; kijijini Siuyu.</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOigOaZI/AAAAAAAAAKg/4RY74pHMiyg/s1600/Pool%2Btable2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOigOaZI/AAAAAAAAAKg/4RY74pHMiyg/s400/Pool%2Btable2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5539406900724918674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kizazi cha sasa na upotezaji wa muda usio na tija yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOCyQU2I/AAAAAAAAAKY/-1CX8YwVCQk/s1600/Pool%2Btable.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOCyQU2I/AAAAAAAAAKY/-1CX8YwVCQk/s400/Pool%2Btable.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5539406892210606946" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Asubuhi ya leo vijana wakijiburudisha na pool table.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOo8W0wI/AAAAAAAAAKo/85ho3QC9tCw/s1600/Wazee.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOo8W0wI/AAAAAAAAAKo/85ho3QC9tCw/s400/Wazee.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5539406902453523202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wazee nao asubuhi hiyo hiyo wakicheza bao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwenye makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari kilichosema "NIPO SINGIDA" nilieleza kushangazwa na hali ya vijana na wazee kuonekana asubuhi wakicheza bao na pool table. Hali ndio kama muionayo pichani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu hii ni maarufu kidogo. Pamechangamka kwa kiasi, panaitwa "madukani" kwani  ni sehemu yenye maduka kadhaa yanayohesabika lakini. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha ajabu kabisa pamoja na uwepo wa maduka haya, hukuna duka liuzalo "mikate". Nakumbuka siku nilihitaji mkate na nilitembelea maduka yote bila mafanikio kama vile nilikuwa na mpango wa kuwasalimia wauzaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli kuwa mikate hiyo ikiwepo haitanunuliwa? Ingenunuliwa, na mimi ningekuwa miongoni mwao. Tatizo watu hawana elimu ya ujasiriamali. Vijana hawasomi majira ya wakati. Hawaumizi kichwa. Utaratibu ni ule wa bora kumekucha, nimepata ugali mlenda mchana, usiku ugali chumvi, siku imekwisha, Mungu anashukuriwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vijana hawa wenye nguvu asubuhi na mapema wanacheza pool table. Asubuhi yote wangeshaingiza pesa kwa kuuza bidhaa adimu ya mikate! Mkoa wa Singida una mawe mengi yapatikanayo kirahisi sana. Kungekuwa na wajasiriamali wa Dar es Salaam wawezao kufanikiwa kupitia mazingira ambayo mwanzoni yalionekana  yasiyowezekana, wangeshatumia mawe haya kujipatia kipato kwa kuyageuza kuwa kokoto kwa kadiri ya nipatavyo hisia za wajasiriamali hawa wa Dar es Salaam. Maisha ya Dar es Salaam hakika yanamlazimisha mtu kuumiza kichwa hasa! Watu wanawalazimisha wengine kuingia gharama ya vitu wasivyokuwa wanavitegemea kupitia ubunifu wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani ambaye angeamini kuwa  "chenchi" ipo siku zingeuzwa badala ya mtaka "chenchi" kupewa bure? Ukihitaji  chenchi ya elfu moja leo hii hususani jijini Dar, muuzaji anakupa mia tisa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo pia wale wanaouza betri za simu zilizokwisha tumika na vifaa vingine vya simu vilivyokwisha tumika pia kule kariakoo. Ni kazi ambazo pengine mtu anaweza kuona wauzaji wanapoteza muda, lakini ndio kazi waitegemeayo na wanaridhika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vijana wa hapa naona hawajui maana ya ujasiriamali na nini wanatakiwa kukifanya. Wanaweza kuhisi kuwa hakuna watakaonunua mikate mathalani, pindi watakapoanza kuiuza, au hawatapata wateja wa vocha za kurusha, kwani nalo ni tatizo sana hapa. Hawajajua ujasiriamali wahitaji kutafuta soko, wahitaji kuwalazimisha au kuwashawishi watu kununua bidhaa husika pamoja na kuwa haukuwa utaratibu wao. Bado hawajatambua haya.&lt;br /&gt;Binafsi naona nina wajibu wa kuzungumza na vijana wenzangu hawa na kupata mawazo yao. Na hili bila shaka panapo wasaha nitalifanya.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2773134578593050341?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2773134578593050341/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2773134578593050341&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2773134578593050341'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2773134578593050341'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/11/jamii-yangu.html' title='Jamii yangu; kijijini Siuyu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TN_tOigOaZI/AAAAAAAAAKg/4RY74pHMiyg/s72-c/Pool%2Btable2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3766015877981382484</id><published>2010-11-10T22:06:00.005+03:00</published><updated>2010-11-12T18:33:03.364+03:00</updated><title type='text'>Baraza la mitihani la Taifa (NECTA), umakini zaidi  watakiwa.</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TNvEEPxWi6I/AAAAAAAAAKI/GmoGYBcnnOg/s1600/top_logo.gif"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 92px; height: 92px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TNvEEPxWi6I/AAAAAAAAAKI/GmoGYBcnnOg/s320/top_logo.gif" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5538235744014207906" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao kunaweza kuchangiwa na mambo mengi. Wengi tujuavyo au tuzanivyo; mwanafunzi akifeli mitihani hususani ile ya taifa, tunachukulia kuwa ni uzembe wake kwani  hakuzingatia vyema masomo au  uwezo wake darasani ni mdogo. Ndivo ambavyo wazazi/walezi hata na walimu wengi wajuavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli, hizi zaweza kuwa ni sababu lakini zipo sababu nyingine ambazo watu wengi huwa hawazidhanii kuwa zaweza kusabisha mwanafunzi kufeli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo nina nia moja tu ya kuzungumzia uzembe ujitokezao mara kwa mara katika mitihani ya taifa, yani ile ya kumaliza shule ya msingi na sekondari(kidato cha nne na cha sita). Uzembe niuongeleao ni huu wa kukosewa kwa baadhi ya maswali ya mitihani ya taifa inayosimamiwa na baraza la mitihani la taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mitihani hii pamoja na umuhimu wake kwa watahiniwa( kwani ndio inayoamua mustakabali wa watanzania wengi kimasomo na kimaisha kwa wale waliopata bahati ya kusoma na wale waliopata bahati ya kusomesha), imekuwa ikija na makosa mbali mbali ambayo mengine yanaweza kupelekea wanafunzi kuchanganyikiwa na kushindwa kufanya mitihani yao ipasavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka wakati ninafanya mtihani wangu wa Chemistry wa kumaliza kidato cha sita, kuna swali lilikuwa limeandikwa hivi,  .... 25cm3 of solution was prepared, and from that solution, 250cm3 was taken and titrated against..... Kiuhalisia haiwezekani kuchukua sentimita za ujazo 250 kutoka kwenye sentimita za ujazo 25. Ni kosa la uchapaji lakini kosa kama hili kwa hakika halikustahili na kama kungekuwa na umakini, pengine marekebisho yangewezekana kabla au wakati wa mtihani. Hakukuwa na marekebisho yoyote na hadi leo sijui baraza liliangaliaje swali hilo kwa wale waliolifanya. Na pia sijui kwa wale ambao hawakulifanya waliangaliwa vipi. Swali likuwa ni rahisi, lakini kwa kuwa lilikosewa na hakukuwa na marekebisho yoyote, basi yawezekana wapo wengi walioliacha na kulazimika kufanya maswali wasiokuwa na uhakika nayo wa kutosha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kosa kama hili, bila shaka lina athari kubwa tu kwa watahiniwa. Huu ni uzembe kwa baraza la mitihani na pengine wizara ya elimu. Inashangaza mitihani hii muhimu kuwa na makosa kama haya. Maswali ya hisabati mathalani, yanakosewa na wanafunzi wanatumia muda mwingi kufikiria na kukokotoa maswali yasiyowezekana, halafu mwisho wa siku wanaanguka na somo la hesabu linachukuliwa kuwa ni gumu. &lt;br /&gt;Kukosewa huku kwa mitihani kunakatisha tamaa kwa wanafunzi walio na roho nyepesi. Maswali yanaonekana ni magumu kumbe yanaupungufu. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Practical ya somo la fizikia katika mtihani wa kidato cha nne mwaka huu ulileta kizaazaa pale ambapo maelezo ya utangulizi ya uandaaji wa practical hiyo yalipokuwa tofauti na miongoni mwa maswali yaliyokuwemo kwenye mtihani. Kuna "mass" iliyotakiwa kuandaliwa kabla, lakini maelezo ya awali hayakusema hivyo. Wanafunzi walipotaka kuitumia "mass" hiyo, hawakuiona na hapo ndipo kasheshe ilipoanzia.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ile iliwasumbua akili kwa kiasi chake. Juhudi za ziada ilibidi zifanyike kuwasiliana na wahusika ili kutatua kadhia hiyo. Hapa nalazimika kujiuliza kama mitihani hii huwa inafanyiwa uhakiki au la? Je, kama unafanyika, ni wa umakini kweli? NECTA yapaswa kuwa zaidi ya makini! &lt;br /&gt;Ni uzembe mkubwa kabisa kwa makosa kama haya kujitokeza,  hususani kwa mitihani hii muhimu inayoamua mustakabali wa mtu kimasomo na kimaisha.&lt;br /&gt;Kinachonishangaza zaidi ni kuwa, kwa makosa kama haya na mengine, vyombo husika, NECTA na wizara ya elimu huwa havitoi tamko lolote kuelezea yaliyotokea na pengine kutoa sababu na pia kueleza ni hatua gani watachukua na hata kuwaomba radhi watahiniwa, walimu na wananchi kwa usumbufu uliojitokeza. Kinyume chake, huwa wanapiga kimya na kufanya kwa kadiri ya wao waamuavyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wito wangu kwa baraza la mitihani na wizara ya elimu ni kuwa, umakini uongezwe katika swala zima la kuandaa mitihani ya taifa. Mitihani ile inapaswa ije na ukamilifu wake. Mitihani ya taifa kama haitaandaliwa vizuri kwa umakini, basi hata hatma ya wanafunzi nao ni wazi haitakuwa na nzuri. Kuna wanafunzi ambao kwa sasa wapo kwenye mazingira magumu ya kushindwa kuendelea na masomo baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye mitihani yao ya taifa na yawezekana ni kwa sababu ya uzembe wa vyombo husika. Kwa mfumo wetu wa elimu, baraza la mitihani lazima mtambue ninyi mna mustakabali wa watahiniwa wa kila mwaka, kimasomo na kimaisha, hivyo muwe makini katika utaratibu mzima wa uandaaji mitihani ili basi watahiniwa wasilazimike kucheza mchezo wa patapotea. NECTA ijitahidi na ihakikishe haiwi miongoni wa sababu za wanafunzi kufeli.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3766015877981382484?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3766015877981382484/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3766015877981382484&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3766015877981382484'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3766015877981382484'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/11/baraza-la-mitihani-la-taifa-necta.html' title='Baraza la mitihani la Taifa (NECTA), umakini zaidi  watakiwa.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/TNvEEPxWi6I/AAAAAAAAAKI/GmoGYBcnnOg/s72-c/top_logo.gif' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8957658018276749565</id><published>2010-10-31T16:25:00.001+03:00</published><updated>2010-10-31T16:31:18.154+03:00</updated><title type='text'>Mashaka katika kituo cha kupigia kura cha Siuyu namba mbili chenye namba 00014472 jimbo la Singida Mashariki.</title><content type='html'>Kituo hiki kinahisiwa kuwa, mawakala wawili wa Chadema ambao pia walitiliwa mashaka na wanachama wa chama hiki wakati wa kuapishwa, ni wafuasi wakubwa wa chama tawala. Tetesi zinazidi kudokeza kuwa mawakala hawa ni washirika wakubwa wa mgombea mmoja wa chama cha mapinduzi (CCM), na inasadikiwa kuwa wamepandikizwa kwenye uwakala wa chadema ili kufanikisha uchakachuaji wa kura pale inapobidi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukaribu huu wa mawakala hawa wa Chadema na mgombea huyu wa CCM ndio hasa unaoelezwa kuleta kujiuliza kwingi na kuwafanya wazungumzaji kuwa na hofu juu ya kura za wagombea wa chama chao kutokuwa katika hali ya usalama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wito wangu ni kuwa, yasemwayo yapo na kama hayapo, yaja. Uangalizi makini bado wahitajika. Kila mmoja kwa nafasi yake hana budi kuhakikisha kuwa haki yake haipindishwi. Kama kweli hali hii ipo, bila shaka si kwenye kituo kimoja tu, bali yawezekana ni vituo vingi, na hili laweza kugharimu vyama vya upinzani, hususani Chadema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitazidi kutoa taarifa kwa kadiri ya inavyowezekana, japokuwa ni taarifa ambazo sizo zilizothibitishwa, lakini zina mchango mkubwa katika kujua tulikuwa wapi na sasa tupo wapi. &lt;br /&gt;Pengine ufuatiliaji wa mambo kama haya kwa kina, ni jambo la msingi zaidi katika kutambua ukweli wa haya yaliyo mtaani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8957658018276749565?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8957658018276749565/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8957658018276749565&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8957658018276749565'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8957658018276749565'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/10/mashaka-katika-kituo-cha-kupigia-kura.html' title='Mashaka katika kituo cha kupigia kura cha Siuyu namba mbili chenye namba 00014472 jimbo la Singida Mashariki.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3991019308082835135</id><published>2010-10-29T20:10:00.004+03:00</published><updated>2010-10-30T15:57:33.128+03:00</updated><title type='text'>Mchakato wa kuapishwa kwa mawakala Jimbo la Singida Mashariki-Uchakachuaji ukatishao tamaa</title><content type='html'>Jana nilikuwa kwenye mchakato wa kuapishwa kwa mawakala watakaosimamia na kuangalia kura za wagombea ili zisiende kusikokusudiwa na kusiko kwa matakwa ya wapiga kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shughuli hii ilifanyikia katika shule ya Msingi Makiungu. Mbali na zoezi hili, pia kulikuwa na semina kwa ajili ya wasimamizi wa uchaguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi hili la kuapishwa kwa mawakala halikwenda vizuri hata kidogo. Mchakato huu ulikuwa na dosari mbalimbali na ambazo kwa kiasi kikubwa zitakuwa na adhari sana kwa vyama vya upinzani na hasa chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majina mengi ya watu waliojitolea kuwa mawakala wa vyama walijikuta wakikosa nafasi hizo na badala yake kuchukuliwa na watu wengine bila hata kuwa na sababu za kueleweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa wananchi wanasema kuwa majina ya watu waliotakiwa kuapishwa ni yale yaliyotolewa na ofisi ya tume ya uchaguzi ngazi ya wilaya ambayo yaliwasilishwa na wagombea wa vyama husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kasoro nyingine iliyojitokeza ni ile ya mtu mmoja kuwa wakala wa vyama viwili kwa wakati mmoja wakati wapo wale waliojitolea kwa dhati katika kusimamia na kulinda kura za vyama husika kizalendo na kwa moyo wote, lakini wakaikosa nafasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa mawakala wa Chadema, wapo mawakala wawili ambao watu hawakuweza kuwafahamu kabisa na ilibidi wafuatiliwe kwa ukaribu ili kuweza kutambua uhalali wao wa kuweza kuwa mawakala wa Chadema pamoja na kuwa walikuwa wameshaapishwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliwashuhudia mawakala wa Chadema muda mfupi kabla ya kuapishwa. Ni ukweli usiopingika kuwa, wengi wao walikuwa ni wazee na akinamama ambao wengi walionekana wasio na uelewa wa mambo ya uchaguzi na ambao wataweza kurubuniwa kirahisi mno. Tetesi zinasema kuwa chama tawala katika jimbo hili kimetenga takribani Tsh 800,000 kwa kila kituo cha uchaguzi kwa ajili ya kuhonga endapo mambo yatakuwa sivyo kwa upande wao. Kama hili ni la kweli, basi kwa hali ya mawakala wa Chadema kwa jinsi nilivyowaona na namna walivyopatikana, basi kuna hatari kubwa sana ya Chadema kuangukia pua. Na kwa hili, Chadema itabidi ijilaumu kwani wawakilishi wa chadema waliokuwa wanasimamia zoezi hili angalao nao walitakiwa wapewe list ya majina ya mawakala waliokubalika na chama na ambayo pia ndiyo iliyotumwa kwenye ofisi ya Tume ya uchaguzi ngazi ya wilaya kama kweli utaratibu huu ulikuwepo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nilikuwa miongoni mwa watu niliojitolea kusimamia kura za Chadema lakini kwa bahati mbaya ama nzuri, jina langu halikuonekana. Hakukuwa na sababu za kueleweka kwa nini ikawa hivyo. Kilichonishangaza zaidi ni kuwa, mawakala wa chadema walikuwa wengi, na mara baada ya majina kutajwa, ya wale watakaoapishwa, basi kundi lile likawa kama limegawanywa mara mbili. Yani ikawa kama vile idadi ya mawakala ilichukuliwa mara mbili zaidi ya wale waliokuwa wanahitajika. Hapa nina wasiwasi sana wa kuwepo kwa"mapandikizi" ambayo yataweza  kufanikisha kirahisi wizi wa kura. &lt;br /&gt;Kwa utafiti mdogo nilioufanya, mawakala walioachwa, walionekana kujua nini wangetakiwa kufanya na waliokuwa na ujasiri, walikuwa ni watu waliokuwa tayari kusimamia haki na kukitetea chama chao. Inasemekana watu hawa waliwekwa kando kwa makusudi kamili na hili linadhaniwa kuwa lilifanywa baada ya majina yaliyokubaliwa chamani kuwasilishwa kwenye ofisi ya tume ya uchaguzi ngazi ya wilaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo jingine ambalo nililishuhudia ni hili la mawakala kuhamishwa kwenda kusimamia vituo ambavyo hawakujiandikisha. Hili nililiona kwa mawakala wa Chadema, sijui kwa mawakala wa vyama vingine kama hali hii ilijitokeza. Hii inamaanisha kuwa, mawakala waliopangwa kwenye vituo tofauti na walivyojiandikisha, wataikosa fursa ya kupiga kura. Kwa maana hii, kama kuna mchezo mchafu, na kama mawakala hawa ni wakereketwa wa kweli wa Chadema, basi kwa mtindo huu, kura nyingi za Chadema zitapotea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna swali la kujiuliza hapa, Chadema ilikuwaje wasiwapatie madiwani wao ambao pia wanagombea (ambao ndio walionekana kuwa watendaji wakuu kwenye zoezi hili) nakala za majina ambayo chama kiliyaafiki? Pengine kwa hili, hawana budi kujilaumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kusema kuwa, kwa hali niliyoiona katika mchakato huu wa kuapishwa mawakala, kama hali ndio hii kwenye vingi ya vijiji vyetu, basi upinzani hususani Chadema wanaweza kupoteza kura nyingi ambazo zilikuwa halali yao. Na urahisi huu wa kuweka mapandikizi hususani vijijini ni miongoni mwa sababu zifanyazo mara nyingi vijijini vyama vya upinzani kuangukia pua na hatimaye watu wanasema kuwa CCM inapendwa na watu wa vijijini eti kwa sababu ni chama cha Mwalimu Nyerere.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3991019308082835135?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3991019308082835135/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3991019308082835135&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3991019308082835135'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3991019308082835135'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/10/mchakato-wa-kuapishwa-kwa-mawakala.html' title='Mchakato wa kuapishwa kwa mawakala Jimbo la Singida Mashariki-Uchakachuaji ukatishao tamaa'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5063821916367292603</id><published>2010-10-21T22:31:00.001+03:00</published><updated>2010-10-21T22:51:16.591+03:00</updated><title type='text'>Nipo Singida</title><content type='html'>Kati ya vitu nivipendavyo katika maisha ni kusafiri,  hususani kutembelea sehemu ambazo ni ngeni machoni mwangu. Pamoja na sababu nyingine muhimu, hili nalo limekuwa miongoni mwa sababu zinifanyazo kwa sasa nirindime nikiwa hapa Singida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nipo kijijini Siuyu. Ni mbali kidogo na Singida Mjini. Nauli ya kwenda na kurudi ni shilingi za kitanzania Elfu nne. Ni pesa nyingi hizi, kwa kuzingatia hali halisi ya asilimia kubwa ya wakazi. Barabara iunganishayo mji na kijiji hiki pamoja na vya jirani haipo katika kiwango cha lami, si nzuri ya kuridhisha, hivyo magari ya abiria ni machache. &lt;br /&gt;Kwa kuzingatia uchache wa magari yapitayo katika barabara hii, magari hayo pamoja na kuchukua abiria, lakini pia yamekuwa yakibeba hata mizigo mingine kama nondo, mbao, mabati n.k Hakika swala la usafiri katika kijiji hiki na vijiji jirani kama Unyamikumbi, Ughaugha, Ngaghe na Unyaghumpi pamoja na vijiji vingine bado ni tatizo kubwa. Gari la abiria laweza kusubiriwa hata kwa zaidi ya masaa mawili hadi matatu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Heka heka za uchaguzi zipo kwa kiasi kidogo sana. Ni mara chache sana utawakuta watu wamekaa wakijadili hili na lile kuhusu uchaguzi mkuu. Uelewa wa wanakijiji kwenye swala zima la uchaguzi si wa kuridhisha sana. Nilishangaa pale nilipomdadisi mama mmoja kuhusu wagombea wa kiti cha uraisi, aliponiuliza maswali kadhaa kuhusu dokta Slaa  ambaye kwa mujibu wa huyu mama alisema kuwa amekuwa akimsikia sikia kwenye redio. Maswali aliyonitupia mama huyu ni kama, dokta Slaa anatokea wapi, ana elimu gani na anagombea nafasi gani ya uongozi. Niliwaza kama kosa ni la mwanakijiji huyu au ni la mgombea ameshindwa kumfikia mwananchi huyu. Hili bila shaka ni changamoto kwa wapinzani. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Karibu na ninapoishi, kuna eneo lenye maduka na sehemu ya vinywaji. Mida ya jioni vijana kwa wazee huonekana kwa wingi. &lt;br /&gt;Vikundi vya wazee huonekana mida ya kuanzia saa kumi jioni wakicheza bao. Nilishangaa sana kuwaona vijana muda wa mchana wakicheza pool table na vijana wengine vijiweni wakicheza karata. Ni hatari kwa maendeleo yao na ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wa wakazi wa hapa wanaonekana kutokuwa na kazi maalumu za kufanya. Mengi ya makazi ya wakazi bado ni duni kwa hakika. Maliwato kwa mfano, nyingi zikiwa ni zile zilizozungushiwa  matawi ya miti kama namna ya kuwasitiri watumiaji.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilifanikiwa kupita kwenye baadhi ya vijiji kama Ngaghe, Unyaghumpi na Makyungu. Vijiji viwili nilivyotangulia kuvitaja hali yake si ya kuridhisha hata kidogo. Makazi ni duni hasa. Hali ngumu ya upatikanaji wa maji na huduma nyingine za kijamii.  Katika vijiji hivi, kwa sehemu nilikopita, sikubahatika kuona nyumba yenye kutumia nishati ya umeme. Ajabu kabisa, niliona juu ya baadhi ya nyumba za tembe, bendera za CCM zikipepea. Niliwaza sana nini maana ya bendera  hizo. Kwamba tumaini lao limelala hapo, au ni ushabiki tu, au wameridhika kwa mema waliyofanyiwa, au hasa ni nini? Tatizo la makazi, usafiri na shida ya maji, vyote vyawakabili  wanakijiji hawa wapeperushao bendera za CCM juu ya nyumba zao za tembe. Nyaya za umeme niliziona zikiambaa ambaa kuelekea kijiji cha Makyungu chenye mwamko mkubwa wa maendeleo. Kaya karibu zote za vijiji vya Ngaghe na Unyaghumpi hazitumii nishati hii ya umeme.    &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kijiji cha Makyungu, nilifurahi kuona nyumba nyingi zenye hadhi nzuri na ubora tofauti na vijiji vingine ambapo makazi  bora yanahesabika. Kulikuwa na shughuli mbalimbali za kibiashara. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamii kubwa kabisa ya wakazi wanyeji hawa ni wanyaturu. Asilimia kubwa ya mawasiliano hufanywa kwa kinyaturu, kuanzia wazee, vijana na watoto. Hakika walimu wa shule za msingi wana kazi kubwa ya kuhamasisha watoto kuongea kiswahili na ndipo ifuate tena kazi nyingine ya kufundisha kiingereza. Hili ni tatizo sana hususani kwa waalimu ambao sio wazawa. Bila shaka tatizo hili lipo hata kwa shule za sekodari za kata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kuwajuza wachaga, hususani wanaume. Eti wanasema mchaga mwanaume akishaingia Singida harudi, hususani kwa wanyaturu. Wanawake wa kinyaturu kwa mujibu wa wenyeji ,huona fahari sana kuolewa na wachaga, sijajua ufahafari hasa watokana na nini. Ati siku moja nilishangaa kuambiwa kuwa ile "laki saba" ya mahari imekwisha, wanategemea kupokea nyingine kutoka kwangu.&lt;br /&gt;Inamaana nami sitatoka tena huku? &lt;br /&gt;Hadi wakati mwingine, ni  "Chasaka" mimi, jina nijipalo kwa kuwa tu nipo ugenini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5063821916367292603?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5063821916367292603/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5063821916367292603&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5063821916367292603'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5063821916367292603'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/10/nipo-singida.html' title='Nipo Singida'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2804927670193132496</id><published>2010-09-16T16:54:00.001+03:00</published><updated>2010-09-16T16:54:13.344+03:00</updated><title type='text'>Uchaguzi wa mwaka huu.....</title><content type='html'>...binafsi hauniumizi kichwa, kwani lengo langu ni kuona chama tawala na wanaokijenga wanabwaga manyanga.&lt;br /&gt;.....natamani kuona chama cha upinzani kikishika hatamu. Natamani kuona upande wa pili wa shilingi.&lt;br /&gt;.....sina haja ya kusikiliza chama tawala kinasema nini kwenye kampeni zake kwani wameongea kwa miaka mingi na bado hali ya taifa letu hairidhishi. &lt;br /&gt;.....nashangaa kuuona umati mkubwa wanaoshangilia kwenye kampeni za chama tawala. Hawa hawa ndio wale wanaolalamika kuhusu hali duni ya maisha inayowakabili pamoja na kuwepo kwa neema kubwa ya hazina ya rasilimali nyingi ndani ya nchi yetu. &lt;br /&gt;......nawaza kama maendeleo ya taifa letu yanayojongea kwa mwendo wa kinyonga unawiana na miaka yooooote ya utawala wa chama tawala baada ya uhuru hadi leo hii.&lt;br /&gt;......nawaza kama watanzania tunajua tulipotoka, tulipo na tunapokwenda ili tupate kujua kuwa tunahitaji mabadiliko ya utawala na watawala wa chama tawala au la.&lt;br /&gt;.....Natamani kumwona Dr Slaa anachukua kiti cha uraisi. Huu ndio upande mwingine wa shilingi ninaoutamani. Sukari haionjwi kwa kuitazama, wala chumvi, wala pili pili. Natamani kuona upitanzani utafanya nini. Asemayo Dr Slaa si kigezo kwangu, natamani kuona atafanya nini. Natamani watu wangeniunga mkono kwa wazo langu hili. Natamani watu wangelitamani badiliko hili bila kujali sana kile Dr Slaa akisemacho kwenye kampeni zake japokuwa ayasemayo ni muhimu katika maamuzi ya mpiga kura. Chama tawala si kimeshasema mengi? Mimi nadhani yanatosha sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchaguzi wa mwaka huu.....&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2804927670193132496?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2804927670193132496/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2804927670193132496&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2804927670193132496'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2804927670193132496'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/09/uchaguzi-wa-mwaka-huu.html' title='Uchaguzi wa mwaka huu.....'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6400999718489891574</id><published>2010-08-21T15:49:00.001+03:00</published><updated>2010-08-21T15:49:23.209+03:00</updated><title type='text'>Kampeni zinaanza.</title><content type='html'>Ni wakati wa kutoa ahadi za kukamilisha ukarabati wa vipande vya barabara, ni wakati wa kusikia ahadi za kukamilisha vyumba vya madarasa, ni wakati wa kutoa ahadi za kusaidia vituo vya watoto yatima, ni wakati wa kuelezea namna rasilimali za nchi zinavyotafunwa, ni wakati wa kuahidi kuchimba visima vya maji. Huu ndio wakati wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kweli ni wakati mwingine tena wa ahadi kemkem ambazo kwa kuzisikiliza tu,  zina kila aina ya ushawishi. Ajabu kabisa, watu wanakuja na matatizo yanayolikabili eneo fulani na kugongea msumari hapo hapo. Wananchi kwa kutambua kuwa matatizo yao yatakwisha, wanafurahia kwa chereko na vifijo. &lt;br /&gt;Ndio utaratibu wetu wa kampeni. Ni kampeni za mfumo wa ahadi. Wananchi nasi twabweteka, baada ya uchaguzi, twasubiria yaliyoahidiwa kuja kutimizwa. Mwishowe tunarudi kule kule kwa mjomba aliyechukua vipimo vya miguu kwa kamba kwa lengo la kutuletea viatu, baada ya miaka minne anakuja kutuambia tuliopimwa tusihofu, viatu vitaletwa, tuwe na subira. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi natamani kuona wale wanaofundisha mbinu za kutuwezesha kujichimbia visima, wale wanaotupa mbinu za kutuwezesha sisi wenyewe kujijengea madarasa kwa ajili ya wanetu, wale wanaotupa uhuru wa kuzisimamia rasilimali zetu wenyewe. Nawapenda wale wasionipa fedha, bali wanaoniwezesha ili nami niweze kujitafutia mwenyewe.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Natamani sera namba moja ya kila mgombea ingekuwa ni ya kuhimiza uzalendo kwa taifa, uzalendo kwa watanzania, uzalendo kwa rasilimali zetu. Sera inayohimiza umoja wa kitaifa. Mbali na watanzania wenyewe kutambua kuwa wanatakiwa kujijengea moyo wa uzalendo na mshikamano, lakini pia wagombea nao wanatakiwa waitumie fursa hii ya kukutana na jamii kubwa ya Watanzania kuhimiza uzalendo  na umoja/mshikamano. Hakuna chuo wala shule ifundishayo uzalendo wala umoja wa kitaifa, hakuna. Basi kwa wagombea, hii iwe ni fursa ya pekee. Watanzania mbali ya wao wenyewe kujijengea moyo wa kujituma kulitumikia taifa kiuzalendo, wagombea nao waitumie fursa hii ya pekee kuiamsha ari ya uzalendo na umoja kwa taifa na kwa watanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uzalendo binafsi nauona kuwa ni silaha muhimu sana kwa maendeleo yetu. Mwanajamii mwenye uzalendo atalitumikia taifa na watanzania kizalendo. Mzalendo wa kweli, hatafuja rasilimali za taifa, hataomba rushwa au kupokea rushwa, atakuwa mwadilifu na mchapa kazi kwa moyo wake wote. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa kampeni usiwe ni wakati wa kutoa ahadi, uwe ni wakati wa kupanda mbegu za uzalendo, wakati wa kujenga umoja wa kitaifa. Uwe ni wakati wa kusema mambo ambayo utimizaji wake utawahusisha wananchi moja kwa moja na si ahadi ambazo huwabwetesha wananchi na kubaki wakisubiria ahadi zitimizwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Dunia nzima.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6400999718489891574?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6400999718489891574/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6400999718489891574&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6400999718489891574'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6400999718489891574'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/08/kampeni-zinaanza.html' title='Kampeni zinaanza.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7129756609278472620</id><published>2010-07-19T01:59:00.003+03:00</published><updated>2010-07-30T23:46:08.659+03:00</updated><title type='text'>Mashaka ya namna Malaria isivyokubalika.</title><content type='html'>Asilimia kubwa kabisa ya vita dhidi ya malaria imeelekezwa kwenye matumizi ya vyandarua vyenye ngao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kila mmoja akitumia chandarua chenye dawa ya ngao, ni kweli kuwa malaria itakuwa imeshadhibitiwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi kwa mtizamo wangu nasema hapana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kutilia msisitizo wa matumizi ya vyandarua vyenye dawa ya ngao, kama njia kubwa ya kupambana na malaria, ni ishara au ni kidokezo kuwa kwa asilimia kubwa watu hupata malaria wakiwa wamelala. Kuna ukweli hapa? Sijui kama kuna tafiti yoyote kuhusiana na hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu anaweza kuumwa na mbu aenezaye malaria akiwa amekaa chumbani, pembeni mwa kitanda, sebuleni, barazani na mahali popote pale ambapo mbu waenezao malaria wapo. Hii ni kusema kuwa mahala popote mtu anaweza kupata malaria, si wakati akiwa amelala tu! Huu ni ukweli mtupu ambao hata hauhitaji utafiti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kulizingatia hili mimi nadhani, vita kubwa ingeelekezwa kwenye kuwaangamiza wadudu hawa huku watu wakisisitizwa kutumia vyandarua vyenye dawa kwa uhakika zaidi. Ila matumizi ya vyandarua vyenye dawa isiwe ndio sera na kuchukuliwa kama ndio suluhisho la kipekee la kutokomeza malaria. Nasema hivi kwani hata wahisani wameelekeza nguvu zao kwenye matumizi ya vyandurua vyenye dawa kwa asilimia kubwa kabisa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zile dawa za kuchoma siku hizi hazitumiki tena, ati watu wanatumia vyandarua. Dawa za kupuliza nazo hazitumiki kuwaua mbu, twaridhika kuwapo ndani ya vyandarua, kumbe tukitoka twawakuta mbu wanatusubiri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwenye televisheni, tunaona matangazo yanayohamasisha matumizi ya dawa za kuwaangamiza mbu. Hapo hapo unasikia na mende, kunguni, na wadudu wote wanaoruka na kutambaa ndani. Mwanzo wa tangazo utadhani ni tangazo la vita dhidi ya malaria kumbe ni tangazo la kibiashara, kampuni inatangaza bidhaa yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuugua malaria ni kitu kingine na kufa kwa sababu ya ugonjwa wa malaria ni kitu kingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi kubwa ya watu wanaokufa kwa malaria ni ishara kuwa adui mbu tumeshindwa kumdhibiti kwa kiwango kinachotakiwa, na pia huduma bora na za haraka kwa wagonjwa wa malaria pamoja na elimu/uhamasishaji kuhusu kuchunguza afya zetu bado ni kitendawili.  Mimi nadhani vita ingeelekezwa kwenye kumwangamiza mbu na makazi yake kuliko kujikinga na kutoumwa na mbu kwani sebuleni, kwenye veranda n.k hakuna vyandarua hivyo uwezekano wa kupata malaria bado unakuwepo na ni mkubwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malaria ina tiba, sasa iweje iangamize idadi kubwa ya watu pengine kuliko hata ukwimwi usio na tiba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikubwa nikionacho ni kutokupata tiba ya mapema ya malaria. Hapa uzembe ni wa mgonjwa na jamii inayomzunguka kwa upande mmoja. Kwa upande mwingine, serikali nayo inawajibishwa kwa hili. Upatikanaji wa huduma bora na za haraka kwenye hospitali, zahanati na vituo vya afya bado ni tatizo. Maabara nyingi bado hazijakuwa na vifaa bora vya kurahisisha uchunguzi na kutoa majibu ya uhakika. Kuna baadhi ya maabara zinatisha kwa uduni wa vifaa na hata majengo, haziko katika hali bora  inayoendana na umuhimu wa kinachotendeka kule!  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mikakati sahihi ya kukabiliana na idadi kubwa ya wagonjwa wa malaria nadhani bado haipo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka fulani iliyopita, bila shaka magonjwa ya tumbo yalishamiri sana  Tanzania. Nakumbuka wauguzi na watu wengine walikuwa wakipita nyumba hadi nyumba kukagua usafi. Walihakikisha kila mtu anachoo kizuri na kisafi, mashimo ya taka  n.k&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika vita dhidi ya malaria, sisemi iwe hivi, bali mkakati angalao unaofanana na huu. Kwa mfano, kungekuwa na utaratibu angalao wa kila mtu kupima afya yake mara mbili kwa wiki. Hili laweza kufanikiwa kama kutakuwa na vituo vya afya vya kutosha kila kijiji, mobile laboratories zingeweza kusaidia mkakati huu bila kusahau elimu muafaka kuhusiana na ugonjwa huu. Mkakati huu kama ungewezekana, mimi naamini idadi kubwa ya watu wasingepoteza maisha kwa malaria pamoja na idadi kubwa kuambukizwa ugonjwa huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali hii, tungepata nguvu kazi kubwa zaidi ya kupambana na mdudu huyu na bila shaka taratibu kama hizi zingevuta hisia kubwa miongoni mwa wanajamii katika vita dhidi ya malaria. Hili mimi naamini laweza kufanikiwa kupitia kwa wahisani hawa hawa walioweka nguvu kubwa kwenye kutoa vyandarua vya bure pamoja na nguvu  ya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi naishauri serikali na wanajamii kuelekeza nguvu kubwa kwenye kumwangamiza mdudu huyu kuliko kujikinga kutokuumwa naye. Pia, litiliwe mkazo swala hili la utaratibu wa kuchunguza afya mara mbili kwa wiki au niseme mara kwa mara bure kupitia vituo vya afya mijini na vijijini vikisaidiwa na mobile laboratories, na elimu zaidi kuhusu ugonjwa huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu mdau, hivi ni namna ambavyo mimi naliona tatizo, yawezekana nawe waliona tatizo kwa namna nyingine. Nawe wakaribishwa kutoa maoni juu ya ugonjwa huu kwa namna ulionavyo tatizo hili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7129756609278472620?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7129756609278472620/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7129756609278472620&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7129756609278472620'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7129756609278472620'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/07/mashaka-ya-namna-malaria-isivyokubalika.html' title='Mashaka ya namna Malaria isivyokubalika.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-4914148146105840035</id><published>2010-07-10T20:15:00.003+03:00</published><updated>2010-07-10T20:15:08.129+03:00</updated><title type='text'>Tunazingatia matumizi ya Lazima na Hiari kwa pato letu?</title><content type='html'>Ni mda mrefu ulipita sikuonekana katika ulimwengu huu wa ku-blogu. Nilibanwa na baadhi ya majukumu, na sasa nimerudi tena na tupo pamoja. Niombe radhi kwa kutokuweka wazi juu ya adimiko langu.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naam, wakati wa adimiko, nilipata kujifunza mengi, na leo naona ni vema nigusie kidogo matumizi ya pato la mtanzania mmoja mmoja na mchango wake katika kuendeleza wimbi la umasikini au kuweza kujikwamua na umasikini. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Popote pale Tanzania, mjini na vijijini, asilimia kubwa ya watanzania  wenye uwezo wa kufanya kazi huonekana katika pilikapilika za hapa na pale. Wapo wafanyao kazi halali na wale wasiofanya kazi halali, lakini mwisho wa siku kila mmoja anapata ujira wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo waliojiajiri na pia walioajiriwa. Waliojiajiri, mwisho wa siku huweka chao kibindoni na wale walioajiriwa husubiri mwisho wa mwezi ndipo waweke chao  kibindoni. Maisha haya humgusa yeyote yule ambaye si tegemezi katika familia au sehemu aishiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko mijini, watu huonekana kila mmoja na pilika yake ilimradi mkono uingie kinywani. Kila aina ya kiwezekanacho kufanyika hufanyika. Wapo wafanyabiashara wakubwa, wafanya biashara ndogondogo kama  wamachinga, wang'arisha viatu, wauza karanga, wauza maji n.k na wale wa maofisini. Vijijini nako hali kadhalika, watu na pilika zao. Kote huku, ni imani yangu kuwa kila mmoja anapata ujira wake, mdogo, usioridhisha na pia wapo wanaopata pato kubwa na la kuridhisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninachojiuliza hapa ni kuwa; pato la kila mmoja hulitumia ipasavyo? Watu huwa na malengo sahihi ya pato lao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matumizi yetu yanalenga mambo ya lazima na kuacha kupoteza pato letu kwa mambo ya hiari (yasiyo ya lazima)?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo watu wahangaikao mchana kutwa kutafuta pesa na usiku huzitumia kujiburudisha kwa kunywa pombe, kuhongea wanawake/wanaume, uvutaji bangi, n.k na asubuhi huamka bila hata shilingi moja na huanza kutafuta tena, na utaratibu unakuwa ndio huo huo miaka na miaka. Hata wale wasubiriao mshahara mwisho wa mwezi, hulimbikiza madeni kwa mtumizi yasiyo ya lazima na mwisho wa mwezi hujikuta wanamalizia mshahara wao kwa kulipa madeni ya mtumizi ambayo hayakuwa na ulazima.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mwenendo huu, ni dhahiri maendeleo hayatapatika na kama yatakuja, basi ni kwa pole pole sana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wengi waishio maisha haya, na hali hii imechangia sana watu kuishi katika hali duni ya kimasikini.Wapo wazingatiao matumizi sahihi ya kipato chao kwa kutoa kipau mbele kwa mambo ya lazima na kutotoa nafasi kwa mambo ya hiari,yale yasiyo ya lazima. Kwa kiasi kikubwa, watu husonga mbele kimaendeleo, kwani kila kukicha hupiga hatua kadhaa za kimaendeleo kwa kutimiza kwanza mambo yao ya lazima, yaani yale yenye umuhimu stahiki yakilinganishwa na mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matumizi ya lazima na hiari kwa kipato chetu, binafsi nadhani ni miongoni mwa nyenzo muhimu sana zitakazo tusaidia kupigana na adui umasikini. Wengi tuna utajiri wa kujituma lakini wengi wetu tuna umasikini wa namna sahihi ya kutumia kipato chetu kidogo ama kikubwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna haja ya kuanza kununua soksi wakati hatuna kiatu, vilevile, haitakuwa busara kuanza kununua nguo ya ndani wakati hatuna suruali,itakuwa haina maana.&lt;br /&gt;Tuyape kipau mbele mambo ya "lazima" na tuwe makini na utumiaji wa pato letu kwa mambo ambayo ni ya "hiari" ambayo kutoyatimiza hakutapelekea mabadiliko yoyote  chanya katika maisha yetu, bali yatazidi kutudidimiza kwenye dimbwi la umasikini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-4914148146105840035?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/4914148146105840035/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=4914148146105840035&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4914148146105840035'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4914148146105840035'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/07/tunazingatia-matumizi-ya-lazima-na.html' title='Tunazingatia matumizi ya Lazima na Hiari kwa pato letu?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7506031571963702260</id><published>2010-05-19T20:18:00.005+03:00</published><updated>2010-05-19T20:49:11.633+03:00</updated><title type='text'>Mwonekano wa kilele cha mlima Kilimanjaro kulingana na mahali mtu alipo mkoani Kilimanjaro.</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S_QfboAyogI/AAAAAAAAAHQ/6SGS2RxzGwk/s1600/Mlima.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S_QfboAyogI/AAAAAAAAAHQ/6SGS2RxzGwk/s200/Mlima.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473034006619660802" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muonekano wa kilele cha mlima Kilimanjaro kwa hapa mkoani Kilimanjaro hutegemea na mahali unapouangalia mlima huu. Wilaya ya Moshi(mjini na vijijini), Rombo, na baadhi ya maeneo wilayani Hai, (Siha, Mwanga na Same sijawahi ku-view mlima Kilimanjaro hivyo sitaweza kuzungumzia mwonekano wa kilele cha Mlima kwa sasa. Pengine mwonekano hautatofautiana na wa Rombo au Moshi) kilele cha mlima huonekana kama jinsi picha inavyoonyesha hapo juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa baadhi ya maeneo kama Masama wilayani Hai na baadhi ya maeneo mkoani Arusha yanayopakana na mkoa wa Kilimanjaro. mwonekano wa kilele cha mlima ni tofauti kwani pale juu kabisa kunaonekana kuna bonde, kiasi kwamba mtu aliyeko Masama N'guni mathalani, akiambiwa achore kilele cha mlima kwa kadiri ya namna akionavyo kilele, atachora kama kinavyoonekana kwenye picha hapa chini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S_QIUg4eF8I/AAAAAAAAAHI/--j5CEnBd5A/s1600/Mlima+bonde.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S_QIUg4eF8I/AAAAAAAAAHI/--j5CEnBd5A/s200/Mlima+bonde.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473008595679188930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nashindwa kuelewa ni kwa nini kilele ambacho ni "Iconic" ndicho ambacho huonyeshwa na hutumika zaidi kwenye picha na maonyesho mengi yahusuyo mlima huu. Kama sikupata fursa ya kufika Masama wilayani  Hai kijijini Ng'uni, nisingekaa kujua kuwa mwonekano wa kilele cha mlima unatofautiana kutegemea na mahali mtu alipo ktk mkoa wa Kilimanjaro kwani nilizoea kuona kilele cha mlima ambacho ndicho hicho hicho nilichozoea kukiona hata  kwenye picha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(samahanini picha hazijakuwa na mwonekano mzuri sana)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7506031571963702260?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7506031571963702260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7506031571963702260&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7506031571963702260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7506031571963702260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/05/muonekano-wa-kilele-cha-mlima.html' title='Mwonekano wa kilele cha mlima Kilimanjaro kulingana na mahali mtu alipo mkoani Kilimanjaro.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S_QfboAyogI/AAAAAAAAAHQ/6SGS2RxzGwk/s72-c/Mlima.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3455989757900869477</id><published>2010-05-01T07:58:00.002+03:00</published><updated>2010-05-01T08:01:33.841+03:00</updated><title type='text'>Uyoga huu wa Ajabu! hatua ya awali kabisa katika uotaji wake.</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9uuKleK7zI/AAAAAAAAAGo/dlhPcuZsgVk/s1600/Bolus.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9uuKleK7zI/AAAAAAAAAGo/dlhPcuZsgVk/s200/Bolus.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5466154069624811314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ndio hatua ya awali kabisa ya uotaji wa Uyoga niliouelezea katika posti niliyoipa kichwa cha habari "Uyoga huu wa Ajabu".  Hatua hii ya awali kama inavyoonekana, ina umbo kama la kiazi mviringo. Ni ligumu sana na ndani kuna layer mbili,moja ya rangi nyeusi na nyingine ni nyekundu. Rangi hii nyekundu bila shaka ndio inayokuja kuwa rangi ya uyoga na hii layer nyeusi ndiyo hasa inayokuja kutanda kwenye tip ya uyoga na ndio hasa iletayo harufu mbaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadiri ya uyoga huu unavyozidi kukua ndivyo na umbo hili kama la kiazi mviringo linavyozidi kupungua(bila shaka sehemu kubwa ya kilichohifadhiwa ndani ni chakula kisaidiacho ukuaji wa uyoga huu). Baada ya uyoga kukua,sehemu ya nje ya umbo hili kama kiazi mviringo ambayo ni nyeupe, kama picha inavyoonyesha, huonekana kama ngozi na huwa laini ambapo ile sehemu ya ndani iliyokuwa ngumu, inabadilika na kuwa maji mazito.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni hayo kwa leo niliyokukusanyia ndugu msomaji kuhusiana na uyoga huu mimi niuonao wa ajabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wengi kama mimi, waliokuwa wanasubiria maelezo kutoka kwa wataalamu wanaoufahamu uyoga huu. Basi, kwa niaba ya wote waliofaidika na maelezo aliyoyatoa mtaalamu kaka Bennet, nitumie muda huu kumshukuru na kumkaribisha tena na tena hapa kibarazani. Shukrani saaana kaka Bennet.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3455989757900869477?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3455989757900869477/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3455989757900869477&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3455989757900869477'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3455989757900869477'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/05/uyoga-huu-wa-ajabu-hatua-ya-awali.html' title='Uyoga huu wa Ajabu! hatua ya awali kabisa katika uotaji wake.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9uuKleK7zI/AAAAAAAAAGo/dlhPcuZsgVk/s72-c/Bolus.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6115490685488833737</id><published>2010-04-25T06:17:00.000+03:00</published><updated>2010-04-25T06:18:00.178+03:00</updated><title type='text'>Lijue na hili</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9OuWEnPSfI/AAAAAAAAAGg/8bQFQ20VYfo/s1600/Ng%27ombe.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9OuWEnPSfI/AAAAAAAAAGg/8bQFQ20VYfo/s200/Ng%27ombe.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463902467149220338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati mwingine wanyama(wafugwao majumbani na hata wale wa kwenye hifadhi) wanapopatwa na matatizo(mfano ugonjwa), inakuwa vigumu kutambua. Kwa kiasi kikubwa unahitajika utaalamu na uzoefu ili kuweza kugundua  mapema kabla hali haijakuwa mbaya na hata kupelekea kumpoteza mnyama. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, wafahamu dalili  ya awali kabisa pale ng'ombe anapokuwa amepatwa na ugonjwa fulani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama unajua,ni vema,utanisadia kuboresha,na kama ulikuwa hujui,basi, ni wakati wako mzuri wa kujifunza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida ng'ombe  mwenye afya njema pua yake huwa na unyevunyevu wakati wote. Kwa ng'ombe ambaye ameanza au anayeshambuliwa na ugonjwa, pua yake huwa kavu kabisa. Kwa hiyo pindi uonapo pua ya ng'ombe imekuwa kavu, chukua hatua za haraka za kumuita mtaalamu kwa uchunguzi zaidi na matibabu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6115490685488833737?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6115490685488833737/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6115490685488833737&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6115490685488833737'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6115490685488833737'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/04/lijue-na-hili.html' title='Lijue na hili'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9OuWEnPSfI/AAAAAAAAAGg/8bQFQ20VYfo/s72-c/Ng%27ombe.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1689063333479658707</id><published>2010-04-24T14:01:00.002+03:00</published><updated>2010-04-24T14:04:03.776+03:00</updated><title type='text'>Uyoga huu wa Ajabu!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9LG5VnjjgI/AAAAAAAAAGQ/kydn6LM_KW8/s1600/Uyoga+.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 120px; height: 160px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9LG5VnjjgI/AAAAAAAAAGQ/kydn6LM_KW8/s200/Uyoga+.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5463647986311728642" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dunia ina mengi ya kufurahisha na pia ya kustaajabisha kama sio kushangaza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi nikiwa nyumbani nimejipumzisha chini ya mti wenye kivuli kizuri huku nikipata upepo mwanana,ghafla nilianza kuhisi harufu kama ya mzoga(mnyama aliyekufa). Harufu ile iliniwewesesha kwa kweli na ndipo iliponilazimu kuanza kufuatilia huo mzoga ambao nilijua lazima utakuwa ni wa mnyama tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilifuatilia kwa makini katika eneo lile na kwa msaada wa kundi la inzi(ati wanasema inzi wana busara sana,huwa wako makini sana kutujulisha pale penye mzoga au kinyesi ili tusikanyage au kusogea karibu) niliweza kuona ulipo mzoga huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilisogea karibu pamoja na harufu kali ya mzoga. Kinyume na matarajio yangu, niliuona UYOGA unaostawi vizuri ndio huo hasa uliokuwa umezingirwa na nzi pale nchani. Niliona ni vema niupige picha na kisha nikauondoa nikaenda kuutupa mbali na harufu ile ikawa imetoweka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku tatu baadae nikaihisi harufu ile na cha kwanza nilichofanya ni kwenda eneo lile na kukagua kama kuna uyoga wa aina ile. Kweli niliikuta miwili na nzi walikuwa wameizingira. Ilinibidi kwa mara nyingine tena iiondoe na kwenda kuitupa mbali na harufu ile inukayo kama ya mnyama aliyekufa ikakoma na hali ya hewa ikawa safi na mpaka sasa sijaona uyoga huo na sijahisi tena harufu hiyo kali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni uyoga wa ajabu kwa kweli, na kama kuna yeyote aliyewahi kukutana nao au wenye utaalamu kuhusu uyoga(bila shaka ndugu Bennet,mzee wa Mitiki ni miongoni mwao)watupe maelezo ya kina kuhusu uyoga huu kwa kadiri wawezavyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1689063333479658707?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1689063333479658707/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1689063333479658707&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1689063333479658707'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1689063333479658707'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/04/uyoga-huu-wa-ajabu.html' title='Uyoga huu wa Ajabu!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S9LG5VnjjgI/AAAAAAAAAGQ/kydn6LM_KW8/s72-c/Uyoga+.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5657412900271779250</id><published>2010-03-30T20:10:00.001+03:00</published><updated>2010-03-30T20:22:10.270+03:00</updated><title type='text'>Mmea wa Mlonge- "Moringa  Oleivera"</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S7InjxoMF6I/AAAAAAAAAEA/-M9hyBzASJk/s1600/Milonge.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S7InjxoMF6I/AAAAAAAAAEA/-M9hyBzASJk/s200/Milonge.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454465594269898658"img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 150px; height: 200px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S7ImktKXanI/AAAAAAAAAD4/dJB93tKeBrA/s200/Usharika.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454464510739311218" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umewahi kuusikia au kuuona mmea uitwao Mlonge? Au kwa lugha ya kilatini "Moringa Oleivera"? Binafsi niliwahi tu kuusikia na kwa bahati nzuri hivi majuzi nilibahatika kuuona. Mmea unaoonekana pichani wenye shina kubwa ndio Mlonge wenyewe kwa mujibu wa aliyenionyesha kwani mimi sikuwahi kuuona kabla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mmea huu ni dawa na unaaminika  kutibu magonjwa mengi yawasumbuayo binadamu pengine hata na wanyama wengine. Majani yake,matunda yake,magome yake,maua na mizizi hutumika kama dawa, kila sehemu ya mti kwa umuhimu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inasemekana matunda yake yanatumika kama mboga kwa kukatakata kama kabichi na majani yake pia hutumiwa kama mboga kwa kupika kama mchicha. Majani yake hutibu magonjwa mbalimbali na kuongeza virutubisho vya mwili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maganda(magome) ya Mlonge husaidia  kusafisha maji(water treatment).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Mizizi hutumika kutibu watu walio na malaria sugu au watu wanaopata homa ya usiku au wanaotiririka sana jasho wakati wa homa. Mizizi hutumika kwa kusaga unga wake na kutumia kijiko cha chai mara tatu kwa siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa mujibu wa nilikodesa,mmea huu hutibu magonjwa mengi kama shinikizo la damu,kupooza viungo au kufa ganzi,homa ya matumbo(typhoid),kuwashwa mwili,vidonda vya tumbo,malaria sugu, enia, upele n.k. Ni magonjwa mengi yaliyoorodheshwa hadi na ukimwi. Sasa sijui ilikuwa ni kutaja tu magonjwa yote yaliyopo au vipi,mimi sijui.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dozi ya Ukimwi.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa desa lililo na maelezo ya mmea wa mlonge, dozi ya ukimwi  ni kutumia unga wa majani kijiko cha chai mara tatu kutwa kwa muda wa siku arobaini na tano sawa na wiki sita. Pia mgonjwa anatakiwa kutafuna mbegu tatu mara tatu kwa muda wa siku arobaini na tano sawa na wiki sita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unahamasishwa na kushauriwa angalao nyumbani kwako uwe na mashina kadhaa ya mmea huu kwa matumizi yako.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5657412900271779250?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5657412900271779250/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5657412900271779250&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5657412900271779250'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5657412900271779250'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/03/mmea-wa-mlonge-moringa-oleivera.html' title='Mmea wa Mlonge- &quot;Moringa  Oleivera&quot;'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S7InjxoMF6I/AAAAAAAAAEA/-M9hyBzASJk/s72-c/Milonge.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5316180428061551715</id><published>2010-03-05T14:28:00.001+03:00</published><updated>2010-03-05T14:31:52.527+03:00</updated><title type='text'>Matatizo ndani ya ndoa Vs Matatizo ya ndoa.</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S5C3wrPRkaI/AAAAAAAAADI/WHUg64Vg8uY/s1600-h/Picha..jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 256px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S5C3wrPRkaI/AAAAAAAAADI/WHUg64Vg8uY/s320/Picha..jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5445053996359324066" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka ya sasa maisha ya ndoa yamekuwa ni ya siri kubwa na vijana wamekuwa wakiingia ktk maisha haya bila uelewa mzuri na wa kutosha. "Ambao hawajaingia katika maisha ya ndoa wanatamani kuingia na wale walio ndani ya ndoa wanatamani kutoka". Kwa bahati mbaya sana mafunzo ya jando na unyago kwa jamii ya sasa hayapo,na kama yapo ni kwa sehemu ndogo kabisa ya jamii. Hivyo vijana wengi wanaingia ktk maisha haya bila uewelewa wa kutosha na wanajikuta wanakabiliana na changamoto ambazo hawakuzitegemea. Binafsi nimeshawishika kujiuliza ni kwa nini wanandoa wanaishia tu kuwaambia vijana kuwa wanatamani  kutoka ktk ulimwengu wa maisha ya ndoa, ni vile tu maji  yameshayavulia nguo hivyo ni sharti wayaoge. Nilibahatika kukaa na wanandoa kadhaa ili kutaka kujua huwa wana maana gani pale wasemapo wanatamani kutoka ktk maisha ya  ndoa ilihali vijana tuna mcheche wa kuingia huko tena kwa kujiamini. Katika kuvinjari  akili kadhaa za wanandoa,nilipata  kujuzwa mambo makuu mawili;  "matatizo ndani ya ndoa" na "matatizo  ya ndoa".  "Wivu" nilipata kujuzwa kuwa ni miongoni mwa matatizo ya ndoa. "Kushindwa kuridhishana ktk tendo la ndoa" ni miongoni mwa matatizo ndani ya ndoa. Binafsi nilionyesha kukubali kuwa nilielewa lakini kiukweli ilikuwa ni kwa shingo upande kwani "matatizo ya ndoa" na matatizo ndani ya ndoa" sikuweza kutofautisha kwa ufasaha. Nimeona ni vyema nikiwashirikisha ili tuweze kuelimishana kwa kadiri ya inavyowezekana. Tunaweza pia kuoanisha na kisa cha Kaka Mlachaombwani ambacho dada Yasinta alikiweka pale kwenye blog yake ya Maisha na  Mafanikio siku chache zilizopita. Kwamba kilicholeta kutokuelewana baina ya wanandoa wale ni "matatizo ndani ya ndoa" au "ni matatizo ya ndoa" ? Au yalianzia kwenye matatizo ya ndoa na kisha yakakua na kufikia matatizo ya ndani ya ndoa? (kinyume chake pia yawezekana ni kweli). Je, ni kweli kuna category hizi za matatizo  katika ndoa?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5316180428061551715?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5316180428061551715/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5316180428061551715&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5316180428061551715'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5316180428061551715'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/03/kwa-miaka-ya-sasa-maisha-ya-ndoa.html' title='Matatizo ndani ya ndoa Vs Matatizo ya ndoa.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S5C3wrPRkaI/AAAAAAAAADI/WHUg64Vg8uY/s72-c/Picha..jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6514734578519952894</id><published>2010-03-04T23:39:00.001+03:00</published><updated>2010-03-04T23:39:12.528+03:00</updated><title type='text'>Chemsha bongo</title><content type='html'>Utachukua uamuzi gani pale mlinzi wako wa usiku anapokusimulia ndoto aliyoota usiku wa leo na anakutaka uahirishe safari yako kwani safari yako kulingana na ndoto yake inaonyesha basi utakalosafiria litapata ajali na watu wote watapoteza maisha? Fikiria kuwa umeahirisha safari na kweli ajali ikatokea,kwa maana kuwa ameokoa maisha yako. Utamfukuza kazi au utaendelea kuwa naye?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6514734578519952894?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6514734578519952894/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6514734578519952894&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6514734578519952894'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6514734578519952894'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/03/chemsha-bongo.html' title='Chemsha bongo'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-843446142465348914</id><published>2010-02-22T17:03:00.000+03:00</published><updated>2010-02-22T17:39:51.319+03:00</updated><title type='text'>Shikamoo tumeienzi, isiwe  viboko jamani!</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S4KPK5mG_5I/AAAAAAAAACw/WhH6M0lmL1Y/s1600-h/Fimbo.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S4KPK5mG_5I/AAAAAAAAACw/WhH6M0lmL1Y/s320/Fimbo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5441068717239107474" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lundo la fimbo kwa ajili ya kuwachapia wanafunzi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ni ofisi ya waalimu ktk shule moja ya sekondari ktk wilaya ya Hai,  na mlionalo ni lundo la fimbo kwa ajili ya kuwaadabisha wanafunzi. Binafsi nilipoliona rundo hilo nilistaajabu kwa kweli. Nilipata taswira ya jinsi mababu zetu walivyokuwa wakichapwa kwa makosa ambayo hata hayakustahili bali wakoloni walifanya hivyo kwa minajili ya kunyanyasa tu na kuwafanisha mababu zetu na wanyama. Binafsi naamini kuwa wanafunzi wanaweza kuelekezwa yale yafaayo na wakaelewa bila ya viboko! Adhabu mbadala ambazo zitawajenga kiakili na kimaisha hazina budi kutumiwa kuliko kuendelea kuenzi unyanyasaji huu ambao wakoloni waliutumia kuwashurutisha na kuwatesa waafrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wewe ungekutana na hali hii katika ofisi mojawapo ya shule ya sekondari ungelifanya nini?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-843446142465348914?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/843446142465348914/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=843446142465348914&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/843446142465348914'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/843446142465348914'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2010/02/lundo-la-fimbo-kwa-ajili-ya-kuwachapia.html' title='Shikamoo tumeienzi, isiwe  viboko jamani!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/S4KPK5mG_5I/AAAAAAAAACw/WhH6M0lmL1Y/s72-c/Fimbo.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6255148298406930797</id><published>2009-12-20T13:43:00.001+03:00</published><updated>2009-12-20T13:43:30.381+03:00</updated><title type='text'>Kikao cha dharura</title><content type='html'>"Mawasiliano", kitaalam wanaita "communication"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"utunzaji wa mazingira" kitaalam wanaita "environmental conservation"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"kiziwi" kwa lugha ya kitaalam wanaita "deaf"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kichocho" kwa lugha ya kitaalam wanaita "Bilhazia"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"kukohoa" au kwa lugha ya kitaalam "coughing".&lt;br /&gt;"mmen'genyo wa chakula" au kitaalam "food digestion"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mifano ni mingi, na watu wengi huwa wanafanya hivi mara kwa mara. Najiuliza ni kwa nini lugha ya kitaalam iwe ni Kiingereza.  Binafsi sipati mantiki ya tafsiri hii ya kubadilisha maneno kiswahili, pengine yaliyojitosheleza na kuyapeleka kwenye lugha nyingine( kiingezera) na kisha kulitunuku neno hilo kuwa ni la kitaalam. Likiwa katika lugha ya kiswahili , haliitwi la kitaalam.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sijui niite ni dharau za wazi kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, au ni ishara ya wazi ya upungufu wa uzalendo tulio nao?&lt;br /&gt; Binafsi bado sijapata maana halisi ya kwa nini maneno ya kiswahili pindi yageuzwapo pamoja na kuwa na maana ile ile huitwa ya kitaalam. Kwa nini "mawasiliano" lisiwe neno la kitaalam? Au kiziwi? Au kukohoa? Au " mmen'genyo wa chakula?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lugha ya Taifa yenye kupewa msisitizo mdogo nayo ni changamoto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja hiyo hapo ndugu wajumbe,  kikao kinaendelea.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6255148298406930797?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6255148298406930797/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6255148298406930797&amp;isPopup=true' title='13 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6255148298406930797'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6255148298406930797'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/12/kikao-cha-dharura.html' title='Kikao cha dharura'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>13</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6167587380005827248</id><published>2009-12-17T23:12:00.001+03:00</published><updated>2009-12-17T23:21:01.386+03:00</updated><title type='text'>Tanzania; tuwezeshwe kujitafutia fedha na si kupewa fedha!</title><content type='html'>Tanzania ni kati ya nchi nyingi barani Afrika ambazo hutegemea sana ufadhili wa kifedha kutoka nchi za Magharibi. Asilimia nzuri tu ya bajeti ya Tanzania inatoka na ufadhili huu. Misaada mingi ya kifedha kwa bahati mbaya imekuwa ikielekezwa kwa mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yamekuwa si ya kutuwezesha kupiga hatua ya kimaendeleo bali kujaribu kutusaidia mizigo mbali mbali.  Misaada mingi imekuwa ikielekezwa kwenye vita dhidi ya ukimwi na Malaria. Pamoja na jitihada hizo bado idadi kubwa ya watu wanaangamia kwa magonjwa haya na mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninachojiuliza hapa ni kwamba ni kwa nini wasitujengee misingi ya kuweza kujitegemea kuliko kutupa fedha na kisha kutupumbaza kuwa sisi ni masikini tunaohitaji kusaidiwa kila saa na dakika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini wasitujengee viwanda vya kusafisha na hatua nyingine sipasayo madini kabla ya kuingia sokoni? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini wasituboreshee viwanda vyetu ili tutumie malighafi lukuki tulizo nazo hapa nchini?&lt;br /&gt;Kwa nini wasiboreshe njia za mawasiliano kama mabarabara ili maeneo mbalimbali yafikike kwa urahisi na kuwezesha urahisi wa biashara?&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hapa kuna mengi ya kujiuliza, yapo mengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nina mashaka sana na misaada hii. Si ya kutusaidia bali yazidi kutukandamiza na kuzidi kuitwa masikini. Najiuliza serikali yetu itaishi kwa kusaidiwa tu hadi lini? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kutuwezesha kupata fedha kwa kutumia rasilimali tulizo nazo, wao wanatupa hela kiasi, kisha wao wanazitumia rasilimali zetu, wanarudisha maradufu ya walichotoa kama msaada. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania ni kama kampuni ambayo nchi za Magharibi zina vipande vyao vya hisa, ambapo kila mmoja anachukua mafao yake kwa kadiri ya hisa zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamani, tuwezeshwe kupata fedha kwa kutumia rasilimali tulizo nazo na si kwa kudanganywa kuwa tunapewa misaada kumbe ni shukrani kwa kuwaruhusu kutumia rasilimali zetu kwa manufaa yao zaidi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6167587380005827248?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6167587380005827248/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6167587380005827248&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6167587380005827248'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6167587380005827248'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/12/tanzania-tuwezeshwe-kujitafutia-fedha.html' title='Tanzania; tuwezeshwe kujitafutia fedha na si kupewa fedha!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7408862456554718358</id><published>2009-11-28T19:34:00.001+03:00</published><updated>2009-11-28T19:48:46.412+03:00</updated><title type='text'>Peruzi blogs kiganjani mwako!</title><content type='html'>Dunia sasa imekuwa kama kijiji, au niseme kamtaa fulani  hivi.Ikidhaniwa kama ni mduara basi naweza kusema kuwa kipenyo chake kimepunguzwa kwa kiwango kikubwa kabisa. Twashukuru, ukuaji wa teknolojia ya intaneti umefanikisha hili kwa kiasi kikubwa kabisa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanzoni, miaka kadhaa iliyopita teknologia ya intaneti ilikuwa ni kwenye kompyuta tu, lakini hivi sasa huduma hii ipo hadi kwenye simu za viganjani.Uwezo wake wa kufanya kazi unategemea na uwezo wa simu yenyewe. Unaweza kutuma email,kupokea jumbe za email, online chat,unaweza kufungua tovuti yoyote na ukasoma vilivyomo na mambo mengine mengi yahusuyo intaneti. Kwa mantiki hii hakuna atakayeshangaa  nikisema inawezekana kutembea huku ukiblog, yawezekana kupitia blogs za wadau mbalimbali  kupitia mtandao wa simu. Waweza kuweka posti, hata kuanzisha blogs kupitia mtandao huu wa simu. Inawezekana. Unaweza kuongeza ufanisi wa simu kwa kutumia phone applications ambazo zinaonekana  ni msaada mkubwa hasa kwa upande wa blogs. Najua wapo wanaofahamu matumizi niliyoyataja ya intaneti ktk simu, pengine hii ni kwa manufaa ya wasiofahamu. &lt;br /&gt;Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo huduma ya intaneti kupitia komputa bado ni ya hali ya chini sana na kupata huduma hii kwa uzuri bado ni gharama sana, watu wengi hawawezi kumudu kulipia gharama hizo. Lakini  kwa kiasi fulani wapo watu wengi wenye simu na zenye uwezo wa intaneti na kwa bahati mbaya  hawana ufahamu  wa kuitumia huduma hiyo. Wanaona tu ufahari wa kuwa na simu ya gharama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kutumia phone application,(kiwezesha simu) sina hakika kama ndio kiswahili chake, iitwayo OPERA MINI,  mtu anaweza kupitia blogs na mambo mengine kwa uzuri kabisa, ila yategemea na uwezo wa simu. Ni phone application nzuri ambayo mbali na blogs, mambo mengine lukuki kama kusoma mambo yahusuyo masomo ya darasani kwenye intaneti, kupitia magazeti mengine ya habari mbali na blogs na mambo mengine mengi. Ina uwezo wa kupunguza pages kwa kiasi kikubwa, yani mambo yaliyotakiwa kuwepo kwenye pages tano, yanaweza kuwa kwenye page moja. Application hii ilikuweza kuitumia huna budi kui-download ktk simu. Kuna versions nyingi, lakini Opera mini 4.2 na operamini 5 beta ni versions za hivi karibuni na zina uwezo mkubwa. Yeyote atakayependa kuwa na application hii katika simu yake aielekeze hapa, Mini.opera.com. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ipo phone application nyingine iitwayo SNAPTU. Nayo ni nzuri, inamwezesha mtu kupitia yaliyoandikwa bloguni, lakini bila ya kuwa na uwezo wa kuchangia. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si lengo langu kutangaza miradi hii ya watu, bali ni katika kuangalia ni kwa namna gani  watu wengi (hususani watanzania) wataweza kuwa na uwezo wa kupitia blogs na kupata yale yanayojiri humo. Pengine  hatua hii yawezekana ikawa ni msaada mkubwa na ikafanikisha kuongeza idadi ya wazifahamuzo na pia wazisomazo blogs.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kwa yeyote mwenye ufahamu zaidi kuhusu namna nzuri zaidi ya kuweza kuzipitia blogs kwa kutumia mtandao wa simu anaweza kuweka bayana  ili hatimaye mpaka kule  Uru Mruwia, Shimbwe, Ngudu, Bumbuli na kwingineko blogs ziweze kupaza sauti.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7408862456554718358?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7408862456554718358/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7408862456554718358&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7408862456554718358'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7408862456554718358'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/11/peruzi-blogs-kiganjani-mwako.html' title='Peruzi blogs kiganjani mwako!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5725677941553553004</id><published>2009-11-08T07:36:00.001+03:00</published><updated>2009-11-08T08:08:32.617+03:00</updated><title type='text'>Ukosefu wa UZALENDO, sumu ya Mafanikio Tanzania.</title><content type='html'>Tanzania ni nchi ambayo imebarikiwa kwa kuwa na rasilimali za kutosha kabisa ambazo zikitumika vizuri zinaweza kubadilisha hali mbaya ya uchumi na umasikini tulionao watanzania tulio wengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ya "umimi" kwa viongozi  wengi wa serikali inakithiri kila kukicha, hili lajidhihirisha kwa namna watu wanavyotumia kila mbinu kupata uongozi kuliko kutafakari hali halisi ya watanzania.Watu wanazitafuta nafasi za uongozi kwa manufaa yao binafsi na kulisahau taifa. Tujiulize viongozi wastaafu mathalani maraisi,wana mchango gani baada wao  kuachia ngazi? Wengine wanasahaulika kabisa kama walishakuwa maraisi!Hivi baada ya Nyerere kung'atuka alipotelea mitini kabisa? Umimi, ukosefu wa "uzalendo" kwa viongozi wetu ni tatizo kubwa na ni sumu ya maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi nasi twahitaji kuwa  wazalendo pia.Yashangaza sana,tena sana kwa baadhi ya wananchi kushabikia chama kuliko uwezo wa mgombea ktk uongozi. Utamsikia mtu anasema mimi ni CCM damdam kwani kila mwaka inashinda tu,hawashindwi hawa,hata kama ni kwa kuiba kura ilimradi wanashinda! Yasikitisha ushabiki wa mchezo wa mpira wa miguu ndio watumika hata kwenye siasa,yani ni sawa na mtu aseme kuwa  ametokea tu kuipenda Simba sport club kwa sababu mpaka sasa ktk msimu huu wa ligi inashinda tu. Utaratibu huu kwenye michezo ni sawa kabisa lakini si kwenye siasa.Utaratibu huu wa ushabiki wa michezo unapoingizwa kwenye siasa, ni hatari na ndio unachangia sana kuchagua viongozi wasio na uzalendo na walio na umimi uliokithiri na ambapo ni matokeo ya wananchi wasio na uzalendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Misingi ya uzalendo miongoni mwetu sisi kama wananchi na miongoni mwa viongozi wetu ni muhimu sana kwa maendeleo chanya ya Taifa letu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5725677941553553004?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5725677941553553004/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5725677941553553004&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5725677941553553004'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5725677941553553004'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/11/ukosefu-wa-uzalendo-sumu-ya-mafanikio.html' title='Ukosefu wa UZALENDO, sumu ya Mafanikio Tanzania.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1168998208942828617</id><published>2009-10-18T18:21:00.001+03:00</published><updated>2009-10-18T18:44:59.425+03:00</updated><title type='text'>Nimechoka!</title><content type='html'>Sijachoka kuelimisha, sijachoka kuelimishwa,sijachoka kuburudisha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimechoka na ubabaishaji wa huduma za serikali.BiMA YA AFYA kwa mfano,utaambiwa ugonjwa huu bima ya afya haiwezi kutibu, dawa hizi,kwa bima ya afya hutaweza kuzipata, walazimika kwenda kununua! Msaada wake nini sasa! Kweli nimechoka!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimechoka na sera nzuri na zenye mvuto kwa kuandikwa na kusemwa tu pasipo kuwa na utekelezaji.Sitamani kuzisikia wala kuzisoma popote tena! Miaka arobaini na saba na bado hatuoni nafuu! Mimi nimechoka kwa kweli!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimechoka kumpa kura ya kwenda kula mbunge wangu.Huwa namwona  wakati wa  chaguzi tu.  Nikijaribu kufikiria kwa kipindi cha miaka yote ya ubunge kanifanyia nini ambacho atakapokuja tena kuomba kura atajivunia nacho na wananchi watafurahi kumwona tena, sikipati.Binafsi nimechoka! Nimechoka!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umeme wakosekana masaa ishirini na matano na si mara moja kwa wiki!.Hakika haya ni masihara! Kwa hali hii lazima ningechoka tu!&lt;br /&gt;Na nimeshachoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli chama kimoja chashinda kwa halali miaka nenda uje? Kwa hali iliyopo, ni kweli watanzania ndio huwa wanakipigia kura! Ubabaishaji, rushwa, ufisadi,umasikini, kujengewa dhana ya kuwepo kwa amani lakini ni fujo na vurugu kila kukicha!Hivi, Yote haya kwa watanzania ni wimbo mzuri unaotufurahisha au ni nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimechoshwa! Nimechoshwa! Na kweli nimechoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi,&lt;br /&gt;kinachotuchosha watanzania ni, chama, mtu, watu au ni serikali? Au ni mfumo wa utawala?&lt;br /&gt;Kwa vyovyote vile  nimechoshwa na kweli nimeshachoka!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kifaranga niliyetelekezwa, najitafutia kula mwenyewe, pori nijualo, kwa namna niwezayo. Kweli kwa hali hii maasi yatakwisha! Hali kama hizi si vichocheo tu vya matukio kama mauaji ya albino,wizi wa mabenki,uporaji, watu kuvamiwa majumbani na matukio mengine lukuki dhidi ya binadamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nimechoka!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1168998208942828617?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1168998208942828617/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1168998208942828617&amp;isPopup=true' title='12 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1168998208942828617'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1168998208942828617'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/10/nimechoka.html' title='Nimechoka!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>12</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5414826857313962269</id><published>2009-09-05T17:19:00.001+03:00</published><updated>2009-09-05T17:36:34.909+03:00</updated><title type='text'>Kutoka Bloguni.</title><content type='html'>Ni dhahiri kuwa mengi yaandikwayo na kuzungumzwa kwenye blogs zetu hayawafikii watu wengi ipasavyo.Wengi wanaosoma yanayoandikwa bloguni ni wale wenye internet access katika kompyuta na wenye uwezo wa kuzitumia pia.Wimbi la hali ngumu ya maisha lasabisha wachache kuweza kwenda kwenye internet cafe ili kuweza kutumia intenet.Mbali na niliyoyaeleza hapo juu, ufahamu wa blogs ni mdogo kwa jamii kubwa ya watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuhakikisha kuwa asilimia kubwa ya watu wanazifahamu blogs na angalao kuweza kupitia yaliyoandikwa(hata kama ni blogs chache) kuna jambo moja ambalo nalifikiria.Yawezekana hili lilishadokezwa lakini si vibaya nikilikumbushia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazo hili ni la kubandika post fulani kwenye magazeti kutoka katika blog yoyote ilimradi tu post ile iwe ni ya kufunza au kuburudisha jamii.Si tu kwenye magazeti,hili lawezekana hata kwenye vituo vya televisheni na vituo vya redio,kwani naamini sehemu hizi zina huduma za internet.Kwa hiyo blog inaweza kufunguliwa na ikasomwa na hatimaye yaliyoandikwa kuwafikia watu wengi.Kwa utaratibu huu blogs zitafahamika na  naimani kuwa wengi watahamasika ktk kuzipitia kwani kwa blog ambayo post yake itawekwa kwenye gazeti au kurushwa hewani kupitia radio au televisheni,naamini ile url nayo itarushwa vilevile ili kwa wanaotaka kujisomea kwa wakati wao waweze kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamini kuna waandishi wa habari wengi tu ambao wanamiliki blogs hivyo  kwa namna moja ama nyingine wataweza kuliwekea mkazo na ufuatiliaji ili hatimaye liweze kufanikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wewe kama mwanablog au mdau wa blogs utajisikiaje pale ambapo unasoma gazeti au wakati unaangalia televisheni au kusikiliza redio ukiona au kusikia kichwa hiki cha habari? &lt;br /&gt;"kutoka bloguni"   &lt;br /&gt;"zisemavyo blogs" &lt;br /&gt;"yanayojiri bloguni" n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wazo tu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5414826857313962269?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5414826857313962269/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5414826857313962269&amp;isPopup=true' title='14 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5414826857313962269'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5414826857313962269'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/09/kutoka-bloguni.html' title='Kutoka Bloguni.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>14</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5735504134162079275</id><published>2009-08-29T15:45:00.001+03:00</published><updated>2009-08-29T15:45:31.217+03:00</updated><title type='text'>Kuelekea uchaguzi mkuu.</title><content type='html'>Waonaje kama wananchi kwa pamoja wakikusanyika pamoja ili kujadili na kuchambua sera moja baada ya nyingine za wagombea watakaopita katika eneo lao ili kutambua kama sera hizo ni hai,zatekelezeka na zitawafaa na kuwafikisha mbali kimaendeleo kuliko kazi hii kufanywa na mtu mmoja mmoja?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Si tu kujadili sera bali hata kuwajadili viongozi wenyewe juu ya utendaji wao wa kazi,ufanisi,kama walishakuwa viongozi, walifanya nini na mambo kama hayo ambayo yataweza kutusaidia katika kuwapata viongozi bora na ambao ni wazalendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba niliwasilishe hili kwenu na tulijadili kwa pamoja.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5735504134162079275?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5735504134162079275/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5735504134162079275&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5735504134162079275'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5735504134162079275'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/08/kuelekea-uchaguzi-mkuu.html' title='Kuelekea uchaguzi mkuu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7226358289311955543</id><published>2009-08-25T21:42:00.001+03:00</published><updated>2009-08-25T21:47:06.411+03:00</updated><title type='text'>Wito kwa wazazi/ walezi.</title><content type='html'>Inafahamika kuwa waislam wote wako katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.Mfungo huu huwahusisha watu wazima na watoto. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa watoto wale wanaosoma nimegundua kuna tatizo.Wanafunzi wanalala madarasani na wakiulizwa wanasema wamefunga.Wengine hulalamika kwa maumivu ya tumbo na hivyo kushindwa kuzingatia masomo ipasavyo.&lt;br /&gt;Kimsingi wale wote wanaofunga wanatakiwa wawe na furaha wakati wote na taratibu za kawaida za kila siku hazitakiwi kukwama kwa kigezo cha kufunga.&lt;br /&gt;Hivyo wazazi wawe makini na watoto wao,wawaelekeze  yapi ya kuzingatia kwa wale wanaofunga.Pia wazazi lazima wawe makini kwani kuna watoto wasioweza kuhimili mfungo hivyo wazazi hawana budi kuwatambua na kuwaelekeza nini cha kufanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nawatakia waislam  wote mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7226358289311955543?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7226358289311955543/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7226358289311955543&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7226358289311955543'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7226358289311955543'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/08/wito-kwa-wazazi-walezi.html' title='Wito kwa wazazi/ walezi.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-468594488370226785</id><published>2009-08-22T14:40:00.001+03:00</published><updated>2009-08-22T15:44:52.499+03:00</updated><title type='text'>"Sidanganyikii!!"</title><content type='html'>Sio mimi nasema hivi bali ni kijana wa kike ambaye huwa anasikika kwenye vituo mbalimbali vya redio na pia kuonekana kwenye vituo vya televisheni.&lt;br /&gt;Kijana huyu anasikika na kuonekana katika tangazo ambalo limethaminiwa/andaliwa na Umoja wa wanahabari wanawake Tanzania.Tangazo hili linawafundisha watoto wa kike hususani wa shule za msingi kukataa ofa zitolewazo na wanaume ambao lengo lao ni kuwahadaa KIMAPENZI.&lt;br /&gt;Binafsi huwa napata maswali mengi kutoka ktk tangazo hili.&lt;br /&gt;Huwa najiuliza kama neno "sidanganyiki" ni rahisi kutoka kwa mtoto wa kike ambaye hana malezi bora.Mbali na hilo kuna changamoto za umasikini zinazomkabili kijana huyu kama za kifedha, lishe bora,n.k. Sasa kwa hali hii "sidanganyiki" itaweza kutoka kweli na atamkaye atakuwa anamaanisha kweli? Kuna wakati miili yao inawatuma na kwa upande mwingine wako wanaume wakware na vijizawadi vidogovidogo.Kwa hali hii kijana huyu hawezi kushawishika na kuona kuwa ni neema juu yake kwani mbali na  kutaka kutimiza matakwa ya mwili wake pia anajua atapata vizawadi?&lt;br /&gt;Je, kijana huyu wa kike amewekewa uwezo gani wa kuweza kushinda matakwa ya mwili wake na kuweza kutamka "sidanganyiki" kutoka moyoni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba si wote wenye uwezo wa kutamka neno hili na likiwa na maana kweli ya kwamba hawadanganyiki.Kwa nini kuna tofauti hizi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nadhani kinacholeta tofauti ni malezi ya watoto ktk familia na mazingira waliopo watoto hawa kwa ujumla.Vijana hawa lazima wajengewe misingi imara ya kukabiliana na changamoto na si kuwekewa "conditions" ambazo kuna mazingira ambayo ni vigumu sana kutumika na kufanikiwa kukwepa vishawishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho kabisa nasisitiza kwa kusema kuwa vijana hawa wajengewe misingi imara ya kuwawezesha kusema kuwa "hawadanganyiki"  ili watambue kuwa wana maana gani kwa kusema hivyo na hatimaye "sidanganyikii!!" iwe ni ya kumaanisha kwelikweli.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-468594488370226785?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/468594488370226785/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=468594488370226785&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/468594488370226785'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/468594488370226785'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/08/sindanganyikii.html' title='&quot;Sidanganyikii!!&quot;'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1997597231512437650</id><published>2009-08-07T10:00:00.001+03:00</published><updated>2009-08-07T10:09:53.278+03:00</updated><title type='text'>Hofu ipo kwa watoto</title><content type='html'>Katika blog yangu ya Mashairi(mashairi-kissima.blogspot.com) niliandika shairi lililokuwa na kichwa cha habari kinachosema "dini zetu ni kikwazo".Nilieleza jinsi dini inavyoweza kuwa kikwazo kwa wapendanao,pia wazazi wasivyokubaliana na watu wa dini tofauti kuoana.&lt;br /&gt;Nawashukuru wale waliochangia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani si tatizo sana kwa wawili wale wa dini tofauti kuishi pamoja bali changamoto kubwa inakuja kwa watoto watakaozaliwa.Msimamo wao kiimani utakuwa ni upi kama wazazi watakuwa na  dini tofauti?.Ni dhahiri kabisa kuwa wapo wenye uzoefu na hili au wapo waliokwisha kuishi  au kuwa karibu na familia za mchanganyiko huu.Mchango wenu wa kimawazo ni wa muhimu sana kwani utasaidia sana si tu kuweka imani kubwa kwa msemo huu "mapenzi hayachagui dini" bali pia kunusuru mahusiano ya wapenzi walio ktk imani tofauti za kidini.Karibuni tuweze kulijadili hili kwa kina.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1997597231512437650?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1997597231512437650/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1997597231512437650&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1997597231512437650'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1997597231512437650'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/08/hofu-ipo-kwa-watoto.html' title='Hofu ipo kwa watoto'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8396168199291336622</id><published>2009-07-30T20:15:00.001+03:00</published><updated>2009-07-30T20:15:55.100+03:00</updated><title type='text'>NI KULWA AMA NI KURWA?</title><content type='html'>Wote twafahamu kuwa watoto mapacha wana majina yao maalumu ambayo ni Kurwa(Kulwa) na Doto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi nimezoea kutumia jina la Kurwa.Lakini nilishangaa sana  siku moja mtu alinikosoa na kuniambia kuwa si Kurwa bali ni Kulwa.Hapo kulitokea mabishano wengine tukisema ni Kulwa na wengine walisema huwa wanaitwa Kulwa na si Kurwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo waliosema kuwa Kurwa limetoholewa tu na watu wa kanda ya ziwa, jina Kulwa wao hutamka Kurwa, vile vile wapo waliosema Jina sahihi ni Kurwa na hili Kulwa ni lafudhi tu ya watu wa Pwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa nijuzeni, kipi ni kiswahili fasaha? KURWA AMA KWULWA?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8396168199291336622?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8396168199291336622/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8396168199291336622&amp;isPopup=true' title='13 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8396168199291336622'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8396168199291336622'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/ni-kulwa-ama-ni-kurwa.html' title='NI KULWA AMA NI KURWA?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>13</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-4169985026627327073</id><published>2009-07-26T13:57:00.001+03:00</published><updated>2009-07-26T14:55:41.315+03:00</updated><title type='text'>WAKOLONI WALIONDOKA LAKINI MIFUMO YA KIKOLONI LEO, JANA NA KESHO.</title><content type='html'>Ukijaribu kutafakari kwa makini utagundua kuwa  asilimia kubwa ya maisha yetu yanatawaliwa sana na mifumo ya kikatili ya kikoloni  iliyokuwa inatumika kuwakandamiza mababu zetu.Mababu zetu walizoea hali hizi na ikawa utaratibu wa kawaida wa maisha kiasi kwamba hata baada ya kuondoka kwa wakoloni mifumo hii iliendelea na kurithiwa vizazi na vizazi.Mifumo hii ya kikoloni hadi leo hii ipo na kwa vile imeshachukuliwa kuwa ni sehemu ya maisha inakuwa ni vigumu sana kuitambua ambapo kuibadilisha kazi kubwa yahitajika.Hebu tutazame hili kwa kuzingatia maeneo yafuatayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MASHULENI NA MAJUMBANI.&lt;br /&gt;Mwanafunzi au mtoto akikosea, fimbo hutumika kumuadhibu ili kujenga maadili.Ukatili huu ulifanywa na wakoloni kwa watu waliokuwa wanakwenda kinyume na matakwa ya wakoloni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CHEO:&lt;br /&gt;Utashangaa sana mzee anamsalimia kijana kwa vile kijana ni bosi wa mzee.Unyenyekevu ambao mababu zetu walilazimishwa kuuonyesha kwa wakoloni bila kujali umri ndicho kinachoendelea hata leo hii.Leo hii waweza kuingia kwenye ofisi ya mtu na kukaa kwenye kiti, mbele ya meza ya bosi &lt;br /&gt;na usishangae sana kuambiwa unakaa kama nani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SALAMU:&lt;br /&gt;"Shikamoo" kwa ninavyofahamu mimi maana yake ni "niko chini ya miguu yako". Salamu hii kwa nchi ambayo iko huru si vema kuitumia.Ijapokuwa salamu hii imezoeleka lakini enzi za ukoloni salamu hii ilikuwa ni ya udhalilishaji kwamba lazima watu watambue kuwa wakoloni ndio kila kitu na wakawa wanakiri kupitia salamu hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KWENYE DINI&lt;br /&gt;Dini zilizo nyingi haziruhusu mtu kuhoji lolote kuhusiana na dini na mambo yahusuyo imani.Watu walifunzwa unyenyekevu  na kunyimwa uhuru wa kuhoji lolote na hatimaye dini zikafanikiwa sana kurahisisha utawala wa kikoloni kwani watu walilainika na kukosa misimamo kutokana na mafundisho ya dini.Binafsi nina mashaka sana na imani tulizorithi kwani naona kama tunachokiita imani ni kanuni na taratibu zilizowekwa ktk dini maelfu na maelfu ya miaka iliyopita  ili zifuatwe.Kwa sababu watu walilazimishwa,walizoea kanuni na taratibu hizo na hatimaye kurithishwa vizazi na vizazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namna viongozi wetu wanavyoendesha serikali ni utaratibu ule ule wa kikoloni, ukandamizaji, kutowajali wananchi na mambo chungu mbovu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najaribu kufikiri ni kwa namna gani  na ni lini tutaachana na mifumo ya kikatili ya kikoloni isiyojali utu wala ubinadamu lakini sipati jibu.Ukweli ni kwamba kwa ulimwengu wa sasa tunahitaji fikra mpya kabisa na kuachana na fikra mbovu za kikoloni.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-4169985026627327073?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/4169985026627327073/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=4169985026627327073&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4169985026627327073'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4169985026627327073'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/wakoloni-waliondoka-lakini-mifumo-ya.html' title='WAKOLONI WALIONDOKA LAKINI MIFUMO YA KIKOLONI LEO, JANA NA KESHO.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8375744141269043162</id><published>2009-07-19T20:02:00.001+03:00</published><updated>2009-07-19T20:18:12.718+03:00</updated><title type='text'>BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU, Mmh!</title><content type='html'>Hivi karibuni bodi ya mikopo ya elimu ya juu imetangaza kuwapa ufadhili wa asilimia mia kwa wanafunzi wa elimu ya juu watakaojiunga kwenye vitivo vya  SAYANSI.Utaratibu huu umepangwa kuanza mapema mwezi wa tisa mwaka huu kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2009/2010&lt;br /&gt;Bila shaka mpango huu umechukuliwa katika mitizamo tofauti tofauti kulingana na interests za kila mmoja. Wapo walioufurahia bila shaka wote wale watakaojiunga na vitivo vya sayansi na pia wapo wale ambao hawajaridhika na mpango huu pengine wakiwemo wale ambao hawasomi masomo haya ya sayansi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu serikali, sababu hasa ya kutoa kipaumbele hiki ni kuwahamasisha wanafunzi  wengi wajiunge na masomo ya sayansi ili hatimaye wapate wataalamu wengi ktk fani hii.Binafsi hapa ndipo hasa pamenifanya nigune.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi wanafunzi hawa wanaopewa asilimia mia ya mkopo wanajua mazingira waliyopitia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kipaumbele kinawekwa hapa juu bila kuangalia wanasayansi hawa wanaanzia wapi.Shule nyingi za sekondari hususani za kata hazina maabara, zenye maabara vifaa vyake havifai na wala hivyo visivyofaa havitoshi.Walimu wa haya masomo hawana mazingira mazuri ya kazi zao,vitabu vya ziada na kiada vya masomo haya havitoshi.&lt;br /&gt; Je mwanasayansi anayeandaliwa ktk mazingira haya ataweza kukidhi haja ya wanasayansi ambao serikali inawataka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali imefanya jambo jema kuipa kipao mbele sayansi lakini sehemu waliyoweka kipaumbele hiki nadhani haikuwa sehemu sahihi.&lt;br /&gt;Ningependelea sana kama kipaumbele hiki kiwekwa kwenye msingi wa masomo haya hususani kwenye shule za sekondari kwa maana kwamba mazingira mazuri ya masomo haya yaandaliwe na nadhani wanafunzi wengi watashawishika kusoma masomo haya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naweza kusema kuwa wanafunzi wanaojiunga na vitivo vya sayansi wamepatikana kwa bahati kwani mazingira waliyopitia yanatisha kupita kiasi na pia wanafika vyuoni wakiwa hawana msingi mzuri wa masomo haya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hayo inaonekana kuwa ufadhili huu wa asilimia mia ume concentrate fedha za mkopo ktk kundi moja na hivyo kupelekea wanafunzi wa vitivo vingine pamoja na vigezo vya kuwawezesha kujiunga na vyuo lakini mkopo unaweza kuwa ni tatizo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8375744141269043162?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8375744141269043162/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8375744141269043162&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8375744141269043162'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8375744141269043162'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/bodi-ya-mikopo-ya-elimu-ya-juu-mmh.html' title='BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU, Mmh!'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7285855107377223223</id><published>2009-07-17T17:06:00.001+03:00</published><updated>2009-07-17T17:06:17.614+03:00</updated><title type='text'>KWA NINI HISABATI(MATHEMATICS) HUCHUKIWA?</title><content type='html'>Kwa hapa Tanzania, mathematics linaonekana na kuchukuliwa kuwa ni somo gumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi sidhani kama kuna yeyote alizaliwa akiwa anajua hesabu.&lt;br /&gt;Ni kwa nini utakuta yule apendaye hesabu hapendi history? Au apendaye Chemistry hapendi kiswahili? Na wakati huo huo wako wanaopenda kiswahili na Chemistry au Mathematics na  histori na wanafaulu vizuri?(hapa naongelea O- level ambapo mtu anaweza kusoma masomo haya kwa pamoja) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamini kuwa hakuna aliyezaliwa akiwa ni wa kuja kusoma masomo ya arts au science.Mkondo ya masomo ambayo mtu atakwenda nayo inategemea tu na mazingira atakayokutana nayo pindi atakapoanza shule na hata mazingira ya atokapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali kadhalika kwa somo la hesabu, inategea sana mwanafunzi toka aanze kujua kuna hesabu alikutana na walimu wa aina gani,yani inategemea kama mwalimu wa kwanza aliweza kumshawishi vizuri mtoto ktk hesabu. Hapa namaana kwamba huyu mwalimu aliweza kumfundisha kwa uzuri yale aliyopaswa kufundishwa.Ina maana kwamba kama hakuweza kumshawishi, na mwanafunzi huyu akapata mwalimu wa somo jingine ambae ataweza kumshawishi vizuri, atalipenda lile somo na kujikuta anakwenda nalo mpaka ngazi za juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uvumi wa kuwa mathematics ni ngumu huwaathiri sana wanafunzi wengi. Wakiwa majumbani hupata uvumi kuwa somo hili ni gumu na hata wakiwa shuleni na hivyo huingia darasani wakiwa na uvumi huu na hali hii huweza kuweka wigo ktk uelewaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiujumla, tatizo kubwa ktk somo hili ni msingi wake.Wanafunzi wanakosa ushawishi toka awali na hivyo hukata tamaa mapema pale wanapokuwa na msingi mbovu. Hili huathiri sana kutokana na topics zake kutegemeana sana kadiri mtu anavyoenda ngazi za juu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7285855107377223223?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7285855107377223223/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7285855107377223223&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7285855107377223223'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7285855107377223223'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/kwa-nini-hisabatimathematics-huchukiwa.html' title='KWA NINI HISABATI(MATHEMATICS) HUCHUKIWA?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8787328687195839036</id><published>2009-07-16T23:03:00.001+03:00</published><updated>2009-07-16T23:03:22.565+03:00</updated><title type='text'>Naomba nikung'ate sikio.</title><content type='html'>Msingi wa penzi ni kuridhika.Ukiridhika naye utamjali, utamlinda,hutompa sababu za kumpenda,hutompenda kwa maneno bali utampenda kwa vitendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkubali, mpende kama ulivyomkuta,usiridhike na mazuri yake, hayo yapo, yadumishe na umwongezee mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Penzi laundika na lajengeka.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8787328687195839036?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8787328687195839036/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8787328687195839036&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8787328687195839036'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8787328687195839036'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/naomba-nikungate-sikio.html' title='Naomba nikung&apos;ate sikio.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2632701217258213237</id><published>2009-07-14T11:17:00.000+03:00</published><updated>2009-07-14T11:25:51.463+03:00</updated><title type='text'>Jukwaa jipya.</title><content type='html'>Ndugu wanablog kuna jukwaa jipya nimelianzisha. Haliko mbali sana na hapo ulipo.Jukwaa lenyewe hili hapa&lt;br /&gt;www.mashairi-kissima.blogspot.com.(samahanini sijaweza kuweka direct link)   &lt;br /&gt;Wote nawakaribisha hapa kwa MWANAMALENGA  tupate kuelimika, kujifunza na pia kuburudika.&lt;br /&gt;Karibuni sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2632701217258213237?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2632701217258213237/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2632701217258213237&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2632701217258213237'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2632701217258213237'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/jukwaa-jipya.html' title='Jukwaa jipya.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3029499733560773954</id><published>2009-07-11T19:43:00.001+03:00</published><updated>2009-07-11T19:43:51.503+03:00</updated><title type='text'>NIPENI JIBU</title><content type='html'>Wengi hutamka mara kwa mara kuwa wanawapenda wake zao, waume zao na hata wapenzi wao. Ni vema na ni haki kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali: Utamwelewaje(utamchukuliaje)  akuorodhesheaye sababu za kukupenda wewe?&lt;br /&gt;Ni sahihi kufanya hivyo?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3029499733560773954?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3029499733560773954/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3029499733560773954&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3029499733560773954'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3029499733560773954'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/nipeni-jibu.html' title='NIPENI JIBU'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5660946188049262387</id><published>2009-07-06T18:33:00.001+03:00</published><updated>2009-07-06T18:33:31.445+03:00</updated><title type='text'>JE, UNAO UHURU WA KUTAFAKARI Na KUIKOSOA   IMANI YAKO  YA DINI?</title><content type='html'>Ukweli ni kwamba kila dini ina imani yake ambayo kimsingi kila muumini anatakiwa kuifuata.Imani hii kwa dini nyingi haupaswi kuhoji kusuhu lolote lihusianalo na imani hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matokeo ya kuhoji imani hizi kila mmoja anayajua.Wapo wengi waliohoji na matokeo yake wamezikimbia dini zao na kuanzisha kama si dini mpya basi madhehebu mapya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi nadhani utaratibu huu ndio uliokuwa unatumiwa na wazungu kwamba unatakiwa kukubali tu bila kuhoji lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dini zinatakiwa zibadilike kulingana na maisha yanavyokwenda.Asilimia kubwa ya watu wa sasa wameelimika na wanauwezo mkubwa wa kupambanua mambo na kujua uongo na ukweli.Dini zinatakiwa kutambua hili na kufahamu kuwa zinatakiwa kuakisi maisha halisi ya sasa na ya wakati ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali hii ya kutokupewa uhuru wa kutafakari kuhusu imani zetu  ina matokeo mawili makubwa, mojawapo likiwa hili la kuanzishwa kwa dini mpya au madhehebu mapya na pia watu kuishi bila ya kufuata dini yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, unao uhuru wa kutafakari na kuikosoa  imani yako?&lt;br /&gt; Au huwa unatekeleza kwa kadiri dini inavyotaka?&lt;br /&gt;Ni hatua zipi huzichukua pale unapogundua kuwa kuna makosa fulani ktk imani?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5660946188049262387?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5660946188049262387/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5660946188049262387&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5660946188049262387'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5660946188049262387'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/je-unao-uhuru-wa-kutafakari-na-kuikosoa.html' title='JE, UNAO UHURU WA KUTAFAKARI Na KUIKOSOA   IMANI YAKO  YA DINI?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1895652112606770687</id><published>2009-07-02T20:18:00.001+03:00</published><updated>2009-07-02T20:23:50.921+03:00</updated><title type='text'>Homework ya Mwl. Klyson</title><content type='html'>Kwanza naomba mwl Klayson anisamehe kwa kutumia jina lake bila idhini na pili anisamehe kwa kuchelewa kumpa majibu ya home work aliyonipa.Home work hili alinipa kwenye mjadala uliokuwa na kichwa cha habari  "JARIBU UJIONEE"  ilikuwa ni kuangalia kivuli chako wakati wa mchana kwa muda  na kisha kuangalia mawinguni.Basi mwalimu naye alinipa homework ya kuchora msalaba wa njano kwenye karatasi nyeupe na kisha kuungalia kwa dakika moja na kisha kufumba mcho halafu niseme nitakachokiona.Nilifanya hivyo na niona na kugundua yafuatayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliangalia msalaba huo wa nyano niliouchora kwenye karatasi ya nyeupe kwa dakika moja, ila kabla ya dakika kuisha niliona kivuli cha rangi ya Violet nyuma ya msalaba ule.Nilimaliza dakika moja na kufumba macho.Niliona ule msalaba ukiwa mdogo na ukiwa na rangi ya violet kama ya kivuli nilichokiona nyuma nya msalaba niliouchora kwenye karatasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilitumia rangi nyingine kuchora misalaba na niliona yafuatayo.&lt;br /&gt;Msalaba wa rangi ya kijani niliona kivuli cha pinki nyuma yake, msalaba wa pinki na nyekundu niliona kivuli cha light blue nyuma ya msalaba niliouchora na msalaba mweusi niliona kivuli cheupe ambacho ni angavu zaidi ya ile karatasi nyeupe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1895652112606770687?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1895652112606770687/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1895652112606770687&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1895652112606770687'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1895652112606770687'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/07/homework-ya-mwl-klyson.html' title='Homework ya Mwl. Klyson'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8259573039698580241</id><published>2009-06-28T16:30:00.001+03:00</published><updated>2009-06-28T16:30:06.136+03:00</updated><title type='text'>Kisa mkasa</title><content type='html'>Hodi tena ndani humu,&lt;br /&gt;salamu ndugu salamu,&lt;br /&gt;hakika kitu muhimu,&lt;br /&gt;kisha tegeni yenu,&lt;br /&gt;masikio jama kuna kitu,&lt;br /&gt;kipi kilonisibu,&lt;br /&gt;kipi kisa na mkasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku zilipita,&lt;br /&gt;bloguni sikupita,&lt;br /&gt;katu sikujificha,&lt;br /&gt;mtandao sio kisa,&lt;br /&gt;majukumu kisa mkasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliuliza dada Yasinta,&lt;br /&gt;moyoni wengi walijiuliza,&lt;br /&gt;kulikoni Kissima,&lt;br /&gt;bloguni kakosekana,&lt;br /&gt;namba moja fungu latanabaisha,&lt;br /&gt;majukumu kisa mkasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kishindo nimerudi,&lt;br /&gt;mengi nitayafaidi,&lt;br /&gt;hakika ya bloguni,&lt;br /&gt;yatakuwa hayanipiti,&lt;br /&gt;kweli tupu sijitetei,&lt;br /&gt;majukumu kisa mkasa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8259573039698580241?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8259573039698580241/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8259573039698580241&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8259573039698580241'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8259573039698580241'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/06/kisa-mkasa.html' title='Kisa mkasa'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-4520523864856490376</id><published>2009-05-30T17:24:00.001+03:00</published><updated>2009-05-30T17:24:21.510+03:00</updated><title type='text'>Tule papai  kivingine kabisa.</title><content type='html'>Papai bichi linaweza kutumika kama mboga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Twendeni jikoni pamoja. Hata wanaume tunaweza, eti haturuhusiwi kuingia jikoni! Mke akiugua au akisafiri!&lt;br /&gt;Twende pamoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Chukua mapapai yako mabichi yaliyokomaa ila bado kuiva.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Yaoshe, kisha yachonge vizuri halafu uyaoshe tena kwani yatakuwa na utomvu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3. Yakwangue na kikwaruzio cha karoti, hapo utapata saizi ndogo ndogo kama wakati unapokwaruza karoti. Baada ya hapo, chemsha kwa muda mfupi na maji kidogo, kisha epua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;5. Kaanga kitunguu pembeni kisha weka nyanya kulingana wingi wa mboga zako, pia na karoti kama zipo, acha mchanganyiko huu uive vizuri mpaka kupata rojo ya nyanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;6.Weka mchemsho wako wa mapapai kisha, changanya vizuri na acha mboga yako iive vizuri, pia usisahau kuweka chumvi kwa kadiri ya kipimo chako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wale wanaoweza kupata mapapai, wajaribu kupika mboga hii, ni tamu sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimtakie kila mmoja atakayesoma hapa wakati mzuri na muwe na furaha kila sekunde ya maisha yenu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-4520523864856490376?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/4520523864856490376/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=4520523864856490376&amp;isPopup=true' title='12 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4520523864856490376'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/4520523864856490376'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/05/tule-papai-kivingine-kabisa.html' title='Tule papai  kivingine kabisa.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>12</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2547302383283981841</id><published>2009-05-24T18:47:00.001+03:00</published><updated>2009-05-24T18:54:24.282+03:00</updated><title type='text'>JARIBU UJIONEE.</title><content type='html'>Wakati wa mchana ukiangalia kivuli chako kwa muda wa kama sekunde kumi hadi ishirini hivi, na kisha bila kuchelewa ukiangalia mawinguni(sky)utakiona kile kivuli chako(mwonekano wake ukiwa ni wa rangi nyeupe) kikiwa kimekuzwa zaidi.Ukiangalia sehemu nyingine mbali na kwenye mawingu hutakiona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaribu ujionee mwenyewe! Sababu hasa ni ipi?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2547302383283981841?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2547302383283981841/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2547302383283981841&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2547302383283981841'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2547302383283981841'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/05/jaribu-ujionee.html' title='JARIBU UJIONEE.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5420241272647554315</id><published>2009-05-10T21:27:00.001+03:00</published><updated>2009-05-10T21:32:40.172+03:00</updated><title type='text'>Inawezekana.</title><content type='html'>Kuchemsha maji kwa kutumia mfuko wa nailoni(plastic material). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Chukua mfuko wako wa nailoni, ujaze maji, ikiwezekana kusiwe na hewa yoyote ndani, yani nafasi yote ya mfuko ichukuliwe na maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2.Washa moto  na tafuta namna ya kushikilia mfuko wako kwenye moto.&lt;br /&gt;Maji yatapata moto bila mfuko huo kuyeyuka au kuungua.&lt;br /&gt;Jaribu!&lt;br /&gt;Pia unaweza kuchemsha maji kwa kutumia chupa yoyote ya plastiki ilimradi uhakikishe hakuna hewa(air bubbles) ndani ya chupa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5420241272647554315?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5420241272647554315/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5420241272647554315&amp;isPopup=true' title='13 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5420241272647554315'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5420241272647554315'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/05/inawezekana.html' title='Inawezekana.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>13</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6655167285306646459</id><published>2009-05-01T09:54:00.001+03:00</published><updated>2009-05-01T10:03:19.761+03:00</updated><title type='text'>Jiulize, kisha nipe jibu.</title><content type='html'>Katika mihangaiko yako hapa duniani, ni kitu gani hasa unakitafuta? &lt;br /&gt;Je, ni mali nyingi,?&lt;br /&gt;Pesa nyingi?&lt;br /&gt;Au unatafuta tu kuishi na watu vizuri?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukipata ajira nzuri, ukajenga nyumba,ukaoa/ ukaolewa, je kuna cha zaidi utakuwa unahitaji?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu akikupa nyumba nzuri tu ya kuishi yenye kila kitu, na akakupa kila unachohitaji, je utaridhika, utajisikia kuwa ulichokuwa unakitafuta umeshakipata? Ukifanya jambo fulani, ni kitu gani huashiria mafanikio? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mihangaiko yako, mwisho wake unategemea nini? Kama ni maisha mazuri, kama ni mshahara mzuri, kama ni pesa, kama ni mali, vyote hivi vinaashiria nini?&lt;br /&gt;Jiulize, kisha nipe jibu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6655167285306646459?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6655167285306646459/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6655167285306646459&amp;isPopup=true' title='59 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6655167285306646459'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6655167285306646459'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/jiulize-kisha-nipe-jibu.html' title='Jiulize, kisha nipe jibu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>59</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-620148007452467998</id><published>2009-04-25T08:29:00.001+03:00</published><updated>2009-04-25T19:59:31.314+03:00</updated><title type='text'>Wazo la leo</title><content type='html'>"usipoteze muda wako katika kujiridhisha kuwa ninajua, bali tumia muda wako mwingi katika kuvielewa vile ninavyovijua"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haiwezekani wewe kufanya jambo kama hili.&lt;br /&gt;Mawazo haya kamwe si yako, ngoja tu, nitachunguza ili nijue kama ujuzi huu ni wako au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wako watu wa aina hii, wenye kuongea ama kuwaza maneno kama haya.Watu hawa hakika hawapendi mafanikio ya wenzao wala mafanikio yao wenyewe kwani hawapendi kujifunza kutoka kwa wenzao bali wanaishia kuhakikisha kuwa fulani kweli anajua, na baadae kutafuta hata njama za kukufanya uonekane hujui.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-620148007452467998?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/620148007452467998/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=620148007452467998&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/620148007452467998'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/620148007452467998'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/wazo-la-leo.html' title='Wazo la leo'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8981285336342634621</id><published>2009-04-19T17:22:00.001+03:00</published><updated>2009-04-19T17:29:53.355+03:00</updated><title type='text'>Tafakari yangu.</title><content type='html'>"UKWELI na HADHI ya mtu, ama ya kitu,  ni kama mafahali wawili wasioweza kukaa kwenye zizi  moja"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utamsikia mtu anasema "kwa vile ni wewe, la si hivyo, ungekiona cha mtemakuni, mwingine utamsikia, "ninalinda heshima yako tu, vinginevyo ningekupa ukweli"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"ningesema kila kitu ila niliamua kutunza heshima ya chama"  kuna kipindi aliwahi kusema mkubwa mmoja. "hakuna haja ya kumweleza kwani atakata tamaa"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine ni rahisi sana kwa uongo kutumika katika kulinda hadhi! &lt;br /&gt;Tafakari kuhusu hili kwani haya ni mawazo yangu tu, unaweza kunikosoa, kuafikiana nami n.k.&lt;br /&gt;Usiogope ati kisa mimi mwanablog, tunafahamiana n.k, kama hili limekugusa, changia ukifikiriacho kuhusiana na hili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8981285336342634621?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8981285336342634621/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8981285336342634621&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8981285336342634621'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8981285336342634621'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/tafakari-yangu.html' title='Tafakari yangu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-9122057294281646815</id><published>2009-04-15T17:22:00.001+03:00</published><updated>2009-04-15T17:22:23.225+03:00</updated><title type='text'>Je wajua hili?</title><content type='html'>Usishangae, ni akili ya binadamu tu, chukua kalamu, au kalkuleta, fanya hesabu hili,&lt;br /&gt;chukua 259 x( umri wako) x 39 = jibu utakalopata lazima ni namba tatu zinazofanana, kila moja ikitaja umri wako bila kukosea! Jaribu kisha uniambie.,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;hivii, ni kati ya siri zilizo ndani ya namba, au ni dhihirisho la uwezo wa akili ya binadamu katika kucheza na namba?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-9122057294281646815?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/9122057294281646815/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=9122057294281646815&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/9122057294281646815'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/9122057294281646815'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/je-wajua-hili.html' title='Je wajua hili?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-6394602160184155010</id><published>2009-04-14T14:25:00.001+03:00</published><updated>2009-04-14T14:25:04.714+03:00</updated><title type='text'>TAJIRI WA AKILI AMBAYE NI FUKARA WA KIPATO.</title><content type='html'>Umeshawahi kukutana au kuishi na mtu mwenye sifa hizi?&lt;br /&gt;Watu wa aina  hii wapo kweli au ni mawazo ya kusadikika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wewe utajivunia kuwa na sifa hizi?&lt;br /&gt;Binafsi ni bora niwe na moja kati ya sifa hizi mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili wewe unalionaje, unalizungumzia vipi?&lt;br /&gt;Karibu sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-6394602160184155010?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/6394602160184155010/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=6394602160184155010&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6394602160184155010'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/6394602160184155010'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/tajiri-wa-akili-ambaye-ni-fukara-wa.html' title='TAJIRI WA AKILI AMBAYE NI FUKARA WA KIPATO.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3572817779511087684</id><published>2009-04-10T08:06:00.001+03:00</published><updated>2009-04-10T08:06:17.505+03:00</updated><title type='text'>Thamani ya Binadamu.</title><content type='html'>Binadamu ni kiumbe ambaye anastahili kupewa thamani ya hali ya juu kabisa kuliko kuliko kiumbe yeyote yule na hata kitu kingine chochote kile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika dunia ya leo thamani ya binadamu imepotea kupita kiasi huku thamani hiyo ikihamishiwa kwenye vitu.Hili linajidhihirisha pale ambapo binadamu anauliwa na viungo vyake kuchukuliwa na kwenda kuuzwa ili kupata pesa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hilo ulimwengu wa sasa umetawaliwa na matukio mengi ya mauaji.Mfano hapa Tanzania kwenye taarifa nyingi za habari matukio mengi ya mauaji yamekuwa yakiripotiwa.Cha kusikitisha hapa ni kwamba sababu za mauaji haya ni zile za kudaiana pesa, wivu wa kimapenzi n.k., yani kuutoa uhai wa binadamu imechukuliwa ni jambo la kawaida kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunashuhudia pia binadamu wanavyonyanyasa binadamu wengine. Watu wanafanyishwa kazi za sulubu,mshahara mdogo na hata kutotimiziwa mahitaji muhimu ya binadamu kama chakula,malazi na hata mavazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na binadamu kwa binadamu kutothaminiana pia kuna binadamu wasiojithamini wenyewe.Mfano mzuri ni wale binadamu wanaouza miili yao katika kujipatia kipato., nikimaanisha makahaba na hata mashoga.Mtu anaweza kujitetea na hali ya umasikini lakini hizi si njia muafaka za kukabiliana na umasikini kwani kuna mengi ya kufanya yasiyoondoa thamani ya utu wa binadamu.Binadamu wa hali hii wanajishushia thamani yao na kuukana utu wao kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu anaweza kuwa katika matatizo lakini mwenzake akashindwa kumsaidia akihofia pesa zake kutumika bila kujali thamani ya mtu mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kipi kina thamani kubwa kati ya hivi?&lt;br /&gt;Uhai wa binadamu na pesa,?&lt;br /&gt;dhahabu na uhai wa binadamu?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha kusikitisha ni kwamba binadamu hupewa thamani kubwa atakapokufa.Wkati wa mazishi wengi watakusanyika,michango mingi, jeneza lililopambwa vizuri na hata kaburi kujengewa vizuri, huku wakati wa uhai mtu huyu aliishi katika mazingira magumu na hakuna aliye jali. Mtu akifa huthaminishwa sana kwani wakati wa historia yake ni mazuri yake tu yataongewa na mabaya kufichwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kati ya vitu vya kufurahia na kushukuru kila kukicha, kila sekunde, kila dakika na kila siku ni kumwona binadamu mwenzako akiwa hai na kisha kumthamini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3572817779511087684?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3572817779511087684/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3572817779511087684&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3572817779511087684'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3572817779511087684'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/thamani-ya-binadamu.html' title='Thamani ya Binadamu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5291934476934875138</id><published>2009-04-08T16:47:00.001+03:00</published><updated>2009-04-08T17:05:33.135+03:00</updated><title type='text'>UKWELI NDIO HUU</title><content type='html'>Hata kama kwa sasa hutakubali,&lt;br /&gt;una muda wa kutafakari,&lt;br /&gt;kisha afikiana nami.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;usijiite tajiri,&lt;br /&gt;kama huwezi nisaidia mia mbili,&lt;br /&gt;usiuweke mbele ubinafsi,&lt;br /&gt;wape wenzako nafasi, &lt;br /&gt;utajiri wako utaufaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;aliyechoka kutafuta,&lt;br /&gt;labda kesha pata,&lt;br /&gt;au tamaa kesha kata,&lt;br /&gt;asiyeona,&lt;br /&gt;labda kapofuka,&lt;br /&gt;au macho kayafumba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ukweli usipounena,&lt;br /&gt;kimya lazima kitakubana,au&lt;br /&gt;uongo lazima utausema,&lt;br /&gt;kama nakupiga kamba,&lt;br /&gt;lawama mimi nazibeba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Thamani ya dhahabu,&lt;br /&gt;zaidi ya ya binadamu,&lt;br /&gt;kweli hii ni aibu,&lt;br /&gt;pesa zalindwa kwa mtutu,&lt;br /&gt;albino wafa kila siku,&lt;br /&gt;toka lini dili likawa binadamu,&lt;br /&gt;wafanyao ushenzi huu,&lt;br /&gt;kwa Mungu ipo adhabu,&lt;br /&gt;ukweli ndo huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wachache wajilimbikizia,&lt;br /&gt;pesa wasizojua zilipotokea,&lt;br /&gt;tena hawawezi tuhurumia,&lt;br /&gt;njaa twajifia,&lt;br /&gt;wao mabilioni wajichotea,&lt;br /&gt;ipo siku puani yatawatokea,&lt;br /&gt;tayari tumeanza jionea&lt;br /&gt;na Mungu aliyejuu anatupigania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulevi si wa pombe pekee,&lt;br /&gt;intaneti, musiki nikwambie,&lt;br /&gt;kusoma,kuandika,kula nikuhabarishe,&lt;br /&gt;vyote ni ulevi utambue,&lt;br /&gt;visipokuwa na kiasi nikwambie,&lt;br /&gt;kote muda unalika ujue,&lt;br /&gt;kote lazima pesa itumike,&lt;br /&gt;hili lazima ulijue.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uzuri wa tabia,&lt;br /&gt;sura majaliwa,&lt;br /&gt;vigezo wakati wa kuchagua,&lt;br /&gt;makinisha hapa nakwambia,&lt;br /&gt;maisha ya ndoa,&lt;br /&gt;mwenzangu usijeyajutia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;niache nikae kimya,&lt;br /&gt;usitake mimi kuongea,&lt;br /&gt;badala kuongea,&lt;br /&gt;naweza lia ukastajabia,&lt;br /&gt;ukiuhitaji ukimya,&lt;br /&gt;naweza n'kacheka,&lt;br /&gt;usilohusika,&lt;br /&gt;liachie litapita,&lt;br /&gt;likuhusulo fuatilia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huu ndio ukweli, &lt;br /&gt;nikwambie kama hujabaini,&lt;br /&gt;kwa kina tafakari,&lt;br /&gt;kisha ukweli ubaini,&lt;br /&gt;nawe wayatambua yalokweli,&lt;br /&gt;nijulisheni nami&lt;br /&gt;yalo hakika niyafaidi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5291934476934875138?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5291934476934875138/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5291934476934875138&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5291934476934875138'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5291934476934875138'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/ukweli-ndio-huu.html' title='UKWELI NDIO HUU'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3528254055442240331</id><published>2009-04-05T18:49:00.001+03:00</published><updated>2009-04-05T19:09:17.410+03:00</updated><title type='text'>"Hekima si umri"</title><content type='html'>Hekima uwezo binafsi,&lt;br /&gt;mkubwa mdogo wote wana nafasi,&lt;br /&gt;haijalishi ukata wala ukwasi,&lt;br /&gt;hekima kama safari,&lt;br /&gt;upana'we kama bahari,&lt;br /&gt;akilini mwako tafakari,&lt;br /&gt;hekima kamwe sio umri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maarifa'yo yeza changia,&lt;br /&gt;hekima'yo kujitengenezea,&lt;br /&gt;mazingira'yo kukurahisishia,&lt;br /&gt;gumu kwako lajiishia,&lt;br /&gt;wakubwa'ko wakutembelea,&lt;br /&gt;makubwa yao  kuwatatulia,&lt;br /&gt;wadogo'zo wakufurahia,&lt;br /&gt;mazuri'yo wayachangamkia,ukubwa  zaidi heshima,&lt;br /&gt;upeo waikamata hekima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Heshima ishi mda mrefu,&lt;br /&gt;siikubali dhana potofu,&lt;br /&gt;wadogo wajulia wapi machafu,&lt;br /&gt;wenye umri wacheza rafu,&lt;br /&gt;umri si mali kitu,&lt;br /&gt;hekima yategemea utu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Poleni kina dada,&lt;br /&gt;wenye umri kuwawinda,&lt;br /&gt;hekima gani kuwahadaa,&lt;br /&gt;wanaukombozi twajiandaa,&lt;br /&gt;njuga twalivalia,&lt;br /&gt;unyanyasaji kijinsia,&lt;br /&gt;hekima upeo tutajionea,&lt;br /&gt;hekima umri tutashuhudia,&lt;br /&gt;hekima utajiri tutatambua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Angalizo tilieni maanani,&lt;br /&gt;wako wakubwa wenye hekima jamani,&lt;br /&gt;hekima zao zatufaa maishani,&lt;br /&gt;dhana potofu nataka ondoa vichwani,&lt;br /&gt;gumu lako jambo,&lt;br /&gt;akuzidi'ye mwaka mwisho wa gumzo,&lt;br /&gt;hekima, umri ni fimbo,&lt;br /&gt;hekima, upeo ni nguzo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sijachoka kuandika,&lt;br /&gt;pumzi kidogo naivuta,&lt;br /&gt;kalamu wino haujaisha,&lt;br /&gt;wenzangu nawakaribisha,&lt;br /&gt;yenu kuwasilisha,&lt;br /&gt;hekima kama ni umri,&lt;br /&gt;hekima kama si umri,&lt;br /&gt;mawazo yako nayasubiri,&lt;br /&gt;mzizi fitna ukatwe, bila kubashiri.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3528254055442240331?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3528254055442240331/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3528254055442240331&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3528254055442240331'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3528254055442240331'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/04/hekima-si-umri.html' title='&quot;Hekima si umri&quot;'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-8677698194438847145</id><published>2009-03-29T15:45:00.001+03:00</published><updated>2009-03-29T15:45:14.837+03:00</updated><title type='text'>TULIANGAZIE HILI</title><content type='html'>"kufaulu kwa mwanafunzi si kipaji bali utayari wake katika masomo"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kweli kwa masomo yote ayasomayo mwanafunzi hapatakuwepo na ambayo hataweza kuyamudu au tu ni kutokuwa tayari kusoma? Vijana wengi siku hizi wanaona kwenda shule ni utaratibu/sheria,ilimradi tu wamefika shule na wameonekana, kwa maana kwamba hawana malengo yoyote.Ni wachache sana wanaofahamu nini maana ya  kwenda shule.Pengine wazazi/walezi pamoja na walimu wanawajibu wa kuwakumbumbusha wanafunzi wanatakiwa wafanye nini na ni yapi hasa malengo ya elimu iliyokusudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wewe unaonaje?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Karibu sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-8677698194438847145?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/8677698194438847145/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=8677698194438847145&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8677698194438847145'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/8677698194438847145'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/tuliangazie-hili.html' title='TULIANGAZIE HILI'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7945642232036848929</id><published>2009-03-28T15:01:00.001+03:00</published><updated>2009-03-28T15:01:55.687+03:00</updated><title type='text'>Umeshajitambua/jielewa?</title><content type='html'>Kama ndio, umetumia vigezo gani? &lt;br /&gt;Kama bado, kwa nini?&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba wapo wanaoishi ktk maisha ya kujielewa/kujitambua lakini hawafahamu  kuhusu dhana hii ya kujielewa, hawa wamejielewa? Mimi nafikiri hawajajielewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia wapo ambao hawayaishi maisha ya kujielewa  na wala hawajui kuwa kuna kujitambua/kujielewa, hawa nao hawajielewi.&lt;br /&gt;Mtu atajitambua vipi? Vigezo gani atumie kufahamu kuwa amejielewa?&lt;br /&gt;Mimi nafikiri kujielewa hakuna mipaka bali ni kama kujifunza kusiko na mwisho. Tunatakiwa kila kukicha tuongeze kiwango chetu cha kujielewa.&lt;br /&gt;Kujielewa ni namna ambayo humfanya mtu kuufikia ukamilifu(perfectness) ktk maamuzi, uhusiano na watu,utendaji kazi na uhusiano wa mhusika na mazingira kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namshukuru Bwaya kwa Falsafa yake hii ya jielewe kwani kupitia kwake nimeweza kujifunza  mengi na ndio maana nimeweza kupata changamoto nyingine(zaweza kuwa ni ngeni au ni za kawaida) ambazo nazo zikijadiliwa zinaweza kuleta uelewa zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"kujitambua hakuna mwisho lakini jitahidi kuongeza kiwango chako cha kujitambua kwa kadiri uwezavyo"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7945642232036848929?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7945642232036848929/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7945642232036848929&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7945642232036848929'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7945642232036848929'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/umeshajitambuajielewa.html' title='Umeshajitambua/jielewa?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-3794904410509545085</id><published>2009-03-22T16:24:00.001+03:00</published><updated>2009-03-22T16:24:36.074+03:00</updated><title type='text'>Nimesikia mengi lakini hili!  lanitisha.</title><content type='html'>Duniani inaonekana kuna mengi ni vile tu hatuwezi kuyafahamu yote.&lt;br /&gt;Eti watoto waliozaliwa mapacha,mmoja akifa huwa hakuna matanga? &lt;br /&gt;Kwani nilisikia siku moja watu wakiliongelea hili.&lt;br /&gt;Katika maongezi yao niliwasikia wakisema kuwa siku ya matanga ni siku ambayo mtu aliyefariki husahauliwa kabisa na kuamini mtu yule hayuko tena duniani na ndio maana hata kila chake kinachoweza kurithiwa hugawanywa siku hiyo(sina hakika kama hii ni definition nzuri  ya matanga,ni kwa mujibu wao).Mmoja wao aliendelea kusema kuwa kama matanga yatafanyika basi pacha aliyebaki atafariki tarehe na mwezi ambao pacha mwenzake alifariki lakini mwaka unaofuata.&lt;br /&gt;Binafsi siliamini hili lakini niliachwa na mshangao mkubwa na maswali mengi;&lt;br /&gt;je hii ni imani ya hawa wachache?&lt;br /&gt;Kipi hasa kinachowaunganisha wawili hawa? na hali hii kuwakuta kama kuna ukweli?&lt;br /&gt;Sayansi ina nafasi hapa?&lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya sikuweza  kuhojiana nao kuhusu hili na nakaona ni bora niliweke hapa na kama kuna mwenye wazo lolote kuhusu hili atuwekee bayana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-3794904410509545085?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/3794904410509545085/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=3794904410509545085&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3794904410509545085'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/3794904410509545085'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/nimesikia-mengi-lakini-hili-lanitisha.html' title='Nimesikia mengi lakini hili!  lanitisha.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-603532340062663619</id><published>2009-03-17T23:36:00.001+03:00</published><updated>2009-03-17T23:36:33.220+03:00</updated><title type='text'>Sikio ling'atwe wakati gani?</title><content type='html'>Kumnong'oneza mtu ni kumwambia jambo ambalo ni la usiri,ambalo linatakiwa kujulikana na watu wachache kwa kadiri iwezekanavyo.&lt;br /&gt;Hivi kuna maana gani ya  kumng'ata mtu sikio mbele za watu?&lt;br /&gt;Likitokea jambo baya ktk yale mazingira,wanong'onezanao hadharani hawawezi kuwa matatani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakisogea sehemu isiyo na watu, kuna haja tena ya kunong'onezana?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi nadhani kumnong'oneza mtu ni mwanzo wa kufichuka kwa siri iliyotaka kufichwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-603532340062663619?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/603532340062663619/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=603532340062663619&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/603532340062663619'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/603532340062663619'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/sikio-lingatwe-wakati-gani.html' title='Sikio ling&apos;atwe wakati gani?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-5096324683511299309</id><published>2009-03-08T15:28:00.001+03:00</published><updated>2009-03-08T15:28:07.691+03:00</updated><title type='text'>Siku ya wanawake duniani; changamoto   tatu.</title><content type='html'>1. Uwezeshwaji wa wanawake(women empowerment) dhana hii inawasaidiaje wanawake?&lt;br /&gt;Sio kwamba dhana hii inaweza kuwapa kiburi ktk kujituma?&lt;br /&gt;Wanawake kuikubali dhana hii si kwamba wamekubali kwamba wao ni wadhaifu?&lt;br /&gt;Viongozi wanawake walipata uongozi kama kuwezeshwa,au kwa vile walionyesha uwezo ktk utendaji wa kazi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Katika ndoa kuna dhana ya mwanaume kuchukuliwa kama kichwa na mwanamke kama mkia.Wawili wameungana na kuwa kitu kimoja,matabaka haya ya nini? Mwanamke kufananishwa na mkia kuna maanisha yeye atatakiwa kufuata ya mme wake.&lt;br /&gt;Kwa wanaopendana kweli kuna umkia na ukichwa?&lt;br /&gt;Kwa nini ukichwa na umkia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;3.Katika kuanzisha uhusiano wa kimapenzi inaonekana wanawake huwa wanasikiliza tu sera za wanaume,na kisha huzipitia na kukubaliana au kutokukubaliana nazo,yani sisi wanaume ni kama wanasiasa wanaonadi sera zao ili wakubalike kwa wapiga kura,hapa namaanisha kwamba wanawake hawana nguvu ya kumwambia mwanaume kuwa anampenda.Pengine labda ukichwa na umkia ndio unaanzia huku?&lt;br /&gt;Au sababu wanaume ndio tunaotoa mahari?&lt;br /&gt;Pengine labda kwa mwanaume itakuwa ni aibu,?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-5096324683511299309?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/5096324683511299309/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=5096324683511299309&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5096324683511299309'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/5096324683511299309'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/siku-ya-wanawake-duniani-changamoto.html' title='Siku ya wanawake duniani; changamoto   tatu.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-658987132288207983</id><published>2009-03-07T07:15:00.001+03:00</published><updated>2009-03-07T07:15:04.845+03:00</updated><title type='text'>Nikiwazacho.</title><content type='html'>"hekima  haiko huru, inategemea sana na muktadha au mazingira"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"wisdom does not stand on its own, it largely depends on the situation"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tafakari kuhusu hili,niambie kuna ukweli kiasi gani, unaweza kulitumia wazo hili ktk maisha?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-658987132288207983?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/658987132288207983/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=658987132288207983&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/658987132288207983'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/658987132288207983'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/nikiwazacho.html' title='Nikiwazacho.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-2685863958959260914</id><published>2009-03-06T23:57:00.000+03:00</published><updated>2009-03-06T23:58:04.711+03:00</updated><title type='text'>TAFAKARI YANGU</title><content type='html'>"mtu mwenye hekima ni yule mwenye uwezo wa kufikiri kwa haraka na kutoa jibu ambalo ni fasaha"   kissima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"a wise person is the one with fast thinking and with accurate solution"   kissima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unaweza kukubaliana au kutokukubaliana na msemo huu, onyesha msemo huu una ukweli kwa kiasi gani, unaweza pia kupendekeza msemo wako mwenyewe(yasiwe mawazo ya mwingine) unaohusiana na hekima.&lt;br /&gt;Amani,furaha na upendo vitawale kati yenu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-2685863958959260914?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/2685863958959260914/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=2685863958959260914&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2685863958959260914'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/2685863958959260914'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/03/tafakari-yangu.html' title='TAFAKARI YANGU'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-50480556505418708</id><published>2009-02-22T16:36:00.001+03:00</published><updated>2009-02-22T16:36:33.142+03:00</updated><title type='text'>MTANZANIA,  UNAMTIZAMO GANI KUHUSU  DHANA YA "KIZAZI KIPYA"?</title><content type='html'>Vijana wa kileo ndio wanaitwa wa kizazi kipya?&lt;br /&gt;Kwa nini waitwe hivyo?&lt;br /&gt;Hivi Dhana hii inajali rika?&lt;br /&gt;Wanaitwa wa kizazi kipya kwa sababu ya mambo mengi mapya?&lt;br /&gt;Au kwa sababu wamezaliwa wakati wa teknologia huru na iliyopiga hatua nyingi mbele ukilinganisha na zamani?&lt;br /&gt;Wanaitwa wa kizazi kipya kwa sababu wanamawazo tofauti? Au kwasababu wana mfumo wao tofauti wa maisha?&lt;br /&gt;Kwa kiasi fulani "kizazi kipya kinahusishwa na musiki wa bongo fleva,vp kwa vijana wasiopenda bongo fleva? Wawekwe wapi? Kuna wazee wanaozipenda bongo fleva kweli kweli, hawa nao ni wa kizazi kipya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtizamo wako ni upi kuhusu "kizazi kipya" ukirejea hapa Tanzania?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-50480556505418708?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/50480556505418708/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=50480556505418708&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/50480556505418708'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/50480556505418708'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/02/mtanzania-unamtizamo-gani-kuhusu-dhana.html' title='MTANZANIA,  UNAMTIZAMO GANI KUHUSU  DHANA YA &quot;KIZAZI KIPYA&quot;?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-803916482406951442</id><published>2009-02-14T08:30:00.001+03:00</published><updated>2009-02-14T08:30:51.867+03:00</updated><title type='text'>WENGI HUWA HAWANA MALENGO YA KUWA WALIMU, WANALAZIMIKA.</title><content type='html'>Kulingana na tafiti niliyoifanya siku za hivi karibuni,niligundua kuwa asilimia kubwa ya waalimu wa kuanzia shule za msingi ,sekondari na hata vyuo hawakupenda kuwa walimu.Walilazimika kuwa walimu baada ya malengo yao mengine kama ya kuwa madaktari,mainjinia,wahasibu,wanasheria n.k kushindwa kutimia kutokana na kushindwa kufaulu vizuri ktk mitihani ya mwisho ya taifa kuanzia ile ya darasa la saba(kwa zamani), form four na ile ya kidato cha sita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo hali ya kusikitisha ni kwamba walimu wengi wanachukulia kuwa ualimu ni daraja tu na wanaamini kuwa ipo siku wataachana na kazi hiyo kwa kujiendeleza kusoma na hatimaye kufikia malengo yao ya awali.Hii hupelekea mashuleni kuwepo na walimu wasio na nia,yani bora liende,yani amekuwa mwalimu kwa sababu ilibidi.Hili liko wazi kabisa kwani waalimu wengi wameshajiendeleza na wengi wameshakuwa wahasibu,wanasheria na kadhalika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha kusikitisha zaidi ni kwamba hata jamii inaunga mkono hali hii.Mtoto anaweza kuwa na malengo ya kuwa mwalimu,lkn anapofika form six na akifaulu vizuri ,mathalani division one,na akiwaambia wazazi kuwa ana mpango wa kujiunga na vyuo vya ualimu, wazazi utashangaa kuwa wanamwambia mtoto wao kuwa anapotea njia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya waalimu hawafikirii ni kwa namna gani wataongeza ufanisi ktk kufundisha bali huwa wanafikiri ni kwa namna gani wataachana na kazi hii.Jambo hili ni lakawaida kabisa kwa kizazi cha sasa tofauti kabisa na zamani ambapo ualimu ulikuwa ni wito. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hii nitatizo kubwa sana ktk sekta ya elimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ni kwa namna gani hali hii  itatokomezwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je,hali hii inaathari zipi kwa wanafunzi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Nina ndoto ya kwamba itafika wakati nafasi za ualimu zitapiganiwa na hapo ndipo waalimu wa kweli wataanza kupatikana na elimu ya kweli itaanza kutolewa"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-803916482406951442?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/803916482406951442/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=803916482406951442&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/803916482406951442'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/803916482406951442'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/02/wengi-huwa-hawana-malengo-ya-kuwa.html' title='WENGI HUWA HAWANA MALENGO YA KUWA WALIMU, WANALAZIMIKA.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7371652335740842943</id><published>2009-01-28T03:17:00.001+03:00</published><updated>2009-01-28T04:30:42.131+03:00</updated><title type='text'>HALI HIZI ZINAPELEKANA PABAYA, ZISAIDIANE VIPI?</title><content type='html'>Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanafunzi wanasomea shida.&lt;br /&gt;Hali hii hupelekea asilimia kubwa ya wanafunzi na wanajamii kuichukulia elimu kama njia ya pekee ktk kuondokana na umasikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umasikini ni miongoni mwa sababu ya msingi sana inayopelekea mfumo duni wa elimu hapa Tanzania, wakati huohuo elimu duni hii tunayoipata ktk mfumo huu duni ndio hiyohiyo inayotegemewa ktk kuuondosha umasikini tulionao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali mbaya ya uchumi wa nchi(lakini mabilioni ya EPA kupotea bila serikali kugundua! Kulipa kampuni hewa, richmond,mafisadi,nk, vyote hivi vinahusisha pesa za serikali, muda wote serikali isigundue ufujaji huu mkubwa wa pesa! kama kweli hali ya uchumi haijakaa vizuri?)  unasababisha mashuleni kusiwepo na vifaa vya kutosha ktk kufundisha,maabara za kisasa zenye kila kitu muhimu,nyumba bora za walimu,maktaba zenye vitabu vya kutosha na vyenye kukidhi haja za wanafunzi,nk.&lt;br /&gt;  Cha kushangaza watanzania masikini.masikini ndio tunashurutishwa tena kujenga mashule wenyewe(shule za kata) na kuyaendesha wenyewe kwa kiasi kikubwa! Shule zisizo na ubora hata chembe.&lt;br /&gt;Hali hizi mbili(mfumo duni wa elimu na umasikini) naweza kuzifanisha na wanandoa wawili ambao wanapendana hakuna mfano ambao kuwatenganisha ni kazi kweli kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuanze kutatua kipi?au vyote kwa pamoja? Inawezekana? Kwa namna gani? Elimu iwe kama silaha pekee?,yani tuboreshe mfumo wa elimu uwe mzuri na ndipo elimu tutakayoipata itusaidie kuondokana na umasikini,au tupambane na hali mbaya ya umasikini wa serikali  na wananchi wake kwanza ili baadae basi tuwe na uwezo wa kuboresha kiwango cha elimu ili tufikie mahala wanafunzi wawe wanapata elimu yenye ubora unaotakiwa?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7371652335740842943?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7371652335740842943/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7371652335740842943&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7371652335740842943'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7371652335740842943'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/01/nani-aanze-kumwokoa-mwenzake.html' title='HALI HIZI ZINAPELEKANA PABAYA, ZISAIDIANE VIPI?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-1003659708257331778</id><published>2009-01-25T17:56:00.001+03:00</published><updated>2009-01-25T17:56:12.513+03:00</updated><title type='text'>HIVI AMANI INAYOONGELEWA NI IPI?</title><content type='html'>Tanzania inaaminika kuwa ni miongoni mwa nchi zenye amani na utulivu barani Afrika na hata ulimwenguni kote.&lt;br /&gt;Na ndio maana hata viongozi wetu mbali na (pengine) vipaji walivyojaliwa na Mungu hupewa nafasi ya kuwa wasuluhishi katika nchi nyingine hususani za kiafrika.&lt;br /&gt;Migogoro ya kielimu kuanzia shule za msingi hadi elimu ya juu,kwa msisitizo ,vurugu iliyopo sasa kati ya Vyuo vikuu na serikali,&lt;br /&gt;Wastaafu wanavyohangaikia mafao yao miaka nenda rudi bila mafanikio,watu wenye ulemavu wa ngozi(albino) wanavyoishi kwa uhuru mdogo mara mia pungufu ya ule alionao swala awapo kwenye mbuga yenye simba wenye njaa,wananchi wanaokufa kwa njaa huku wakubwa wakiisahau njaa na kuneemeka kwa jasho la huyu huyu mnyonge,umasikini uliokithiri mpaka umekuwa kama utambulisho wetu kwa mataifa mengine,ufisadi uliokithiri ambao naweza kuufananisha na  dactari anayepiga operesheni bila  ganzi,yani hana huruma ya utu hata kidogo,&lt;br /&gt;Haya ni maeneo machache nimeyagusa,mtanzania mwenzangu  una mifano hai mingi sana! Sisi wenyewe ni wahusika,tunashudia na tunafahamu ni kwa kiasi gani tunaikosa amani!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watanzania tuliowengi tunaunga mkono kauli hii(tanzania tuna amani),  pasipo kutambua.Hali hii ndio inayopelekea sisi kuridhika na maneno ambayo  utekelezwaji wake ni ndoto pamoja na kukandamizwa pasipokugundua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mengi nimeyaandika,lakini hoja yangu inabaki palepale,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amani inayoongelewa ni ipi hasa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani darubini kali inatakiwa kuliangazia jambo hili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-1003659708257331778?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/1003659708257331778/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=1003659708257331778&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1003659708257331778'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/1003659708257331778'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/01/hivi-amani-inayoongelewa-ni-ipi.html' title='HIVI AMANI INAYOONGELEWA NI IPI?'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-6133720164610544108.post-7394959062544443605</id><published>2009-01-18T17:13:00.001+03:00</published><updated>2009-01-18T18:44:45.135+03:00</updated><title type='text'>BAADA YA KICHAA KUPEWA RUNGU.</title><content type='html'>Leo katika pitapita zangu katika mji wa Moshi nilikutana na kisanga kimoja ambacho kilinifanya niwe na hisia za aina yake kuhusiana na hawa waliopewa jukumu la kuangalia ama kusimamia usalama wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kushuhudia kisanga hicho,  katika pitapita nilifanikiwa kuwaona makuruta(recruits)  vijana wanaopata mafunzo ya upolisi katika chuo cha polisi(ccp)tawi la Moshi.Nafikiri vijana hawa wanakaribia kutunukiwa vyeti vyao vya upolisi na wako kwenye  mafunzo kwa vitendo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Nikiwa nimeweka pozi sehemu fulani,mara niliona kundi kubwa la wanausalama hawa watarajiwa takribani ishirini hivi wakiwa wanawakokota vijana wanne huku wakiwa wamefungwa na kuunganishwa pamoja kwa kutumia mashati yao(kimsururu,yani kwa kufuatana),huku mkong'oto wa hapa na pale ukiendelea,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilijiuliza,hata kama mtu kakosea ndio achukuliwe kinamna ile kweli,? Kwani pale waliuondoa utu wa mtu kabisa kabisa!!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikajiuliza tena,au ni namna ya kupunguza hasira za mazoezi makali wayapatayo chuoni? Kama vijana walikuwa wanaleta ukorofi,mimi naamini katika mafunzo ya huko chuoni ,kuna mbinu ambazo hufundishwa ktk kukabiliana na hali kama hizo na si kupiga na kumdhalilisha mtu. &lt;br /&gt;Naomba msinielewe vibaya,hapa siwatetei wahalifu ,bali najaribu kuongelea namna ambavyo binadamu wanavyowatreat binadamu wengine bila kujali utu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Au pengine hali hii ni kwa sababu hata wahalifu wenyewe pia huwa hawajali utu? Je hiki chaweza kuwa kigezo cha  wanausalama hawa kuwatreat vibaya wahalifu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hizi za kuwatreat watu vibaya si tu katika nyanja hii ya usalama bali hata ktk nyanja nyingine kama za uongozi .nk.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi,rushwa na mambo mengine  ya hujuma ni baadhi ya mambo ambayo huashiria kupotea kwa haki za watu.Kwa vile mtu ni kiongozi basi anatumia kila mbinu katika kujinufaisha yeye mwenyewe.Hii imetawala sana kwa viongozi wengi duniani.Wanawekwa na wananchi madarakani lkn  huwa wanajali maslahi yao zaidi na hata ikiwezekana kuwakandamiza wananchi kwa manufaa yao huku wananchi wakibaki na ahadi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/6133720164610544108-7394959062544443605?l=nderumo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://nderumo.blogspot.com/feeds/7394959062544443605/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=6133720164610544108&amp;postID=7394959062544443605&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7394959062544443605'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/6133720164610544108/posts/default/7394959062544443605'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://nderumo.blogspot.com/2009/01/hata-kichaa-akipewa-rungu-si-lazima.html' title='BAADA YA KICHAA KUPEWA RUNGU.'/><author><name>Albert Kissima</name><uri>http://www.blogger.com/profile/12931488222535021826</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='24' height='32' src='http://2.bp.blogspot.com/_UThAjg6b_wA/SrNpC6YBX8I/AAAAAAAAAB0/aTThU9rU7sQ/S220/Image003.jpg'/></author><thr:total>4</thr:total></entry></feed>
